Simwelewi mpenzi wangu

Simwelewi mpenzi wangu

Babycute

Member
Joined
Dec 30, 2013
Posts
81
Reaction score
16
Habarini wana JamiiForums.

Nina mpenzi ambae mwanzoni tulikua tunawasiliana vizuri mara kwa mara kujuliana hali na kujulishana yote yanayoendelea.

Hivi sasa amebadilika sana kiasi kwamba nikimtumia sms hajibu,anakaa kimya,nikimpigia anasema yupo bize au amelala amechoka.nikimuuliza sababu ya kuwa kimya hatoi jibu.

Anapotezea mwezi umeshaisha na hal hiyo bado inaendelea nifanye nini wadau.
 
Kama unafurahia kuwa rejected endelea kumganda kama luba.
 
Ushauri mnaoomba unaboa?
Hapo maamuzi unayo mwenyew ukitaka endelea naye ukitaka achana naye.
Mnatuchosha kweli si mlipendana wenyew? Kwan kuna mtu aliwaunganisha? Na kwann leo uje kwetu ambao hata hatukuweko?
Kokap
 
u cute wote huo bado unaachwa Babycute ??
kweli wanaume tu waajabu
haya ni pm nikupunguze stress
 
Last edited by a moderator:
Alishakupichua?? Kama jibu ni ndio jua kuwa ashakuchoka. Chapa lapa!
 
Labda unamsumbua sumbua sana bana....unakuta mtu upo kwenye meeting mara kriiii kriii kriii...ukikata anapiga tena saa hiyo hiyo yaan kama vile mnashindana.....ukimtumia msg nipo kwenye kikao...ye anaendelea kukuuliza kwa msg tena...wap uko na mbona hupokei simu angu.....aaargh....katia simu mbali uko.
 
Ndio maana tunaambiwa wanawake kama Mapolisi , kitu kipo waziii umeachwa wewe unatafuta ushahidi what for ? Endelea na maisha yako ...tena toka Nduki hana adabu huyo
 
Inamaana wewe hiyo akili yako imeganda kiasi kwamba huewezi kujiongeza?
umeachwa tena amekuacha kistaarabu kweli.
Haya nitafute kwenye PM nikurudishie amani moyoni maana na mimi ni me na niliachwa hivyohivyo kama unavyonukia kuachwa wewe.
 
kusoma huwezi hata picha pia huoni????....?? nashindwa kushangaa kwamba hujaelewa chezo
 
Back
Top Bottom