georgeallen
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 4,120
- 1,881
taratibu basi mkuu, usijeniharibia tena. kuna watu wamesusa huko, nataka niwape somo!juzi kati si ndo ulipost ule uzi wa sms za mwizi?! umeuona jamaa ameomba PM kama yule sista akiendelea kuzinguliwa na jamaa yake?! akaongezea na maneno ya kunogesha nogesha! chek utaona!!
mme wa mtu huyo.hawezi mfuata kwake.kasema atamfuata ofisini kwake
kwa nini usimfuate home kwake?unaogopa mkewe eeh.achana na mme wa mtu
Mmeshayazungumza?....kitu
kipya hakitamakiza huo msongo.....tulizana,,,,talk to Sir
God........think ur future,,,, huyo mlikuwa mnashereheshana tuu....usjie
kuwa kiburudisho cha wageni.....
una maanisha tukafanye 3some ama?ila tushayazungumza
shosti acha umbea utasutwaaa,potezea bana
tushaongea and tuko fresh,nilitaka kudata ujuee jamaa ni mkali kinomaaa
hahahaa! Mkali ndio
mzuri bwana, anakuchenjia then anakubembeleza.. Hahahaa unadekaje hapo
kwenye kubembelezwa!!
hahaha kanambia alikuwa anapima nimekolea kiasi gani,wajua it was about having fun xaxa akahakikisha ananikoleza then akakaa pembeni kutest kama stil namchukulia poa ama aje aje pale kati
Yesu angerudi muda huo jiulize ungekuwa wapi now?have a nice week end dogoha ha niende kwake kufanya nn?siogopi m2 mie,ni wake akiwa kwa mkewe,akitoka nje ni wa umma huyo,2day tumekutana lunch time hotel flan city centre tukachukua rum tukazungumza na kumalizia na make up s3x
Yesu angerudi muda huo jiulize ungekuwa wapi now?have a nice week end dogo