goldie ink
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 5,634
- 9,153
Fanya mambo yako mdada
mambo ganiFanya mambo yako mdada
mambo gani
Huyo mwanaume hampendi akili kichwani mwakemambo gani
Nonsense kabisa ...wewe kama unajirahisi hivyo..."alifika kunichukua" "nauli kila kitu alinigharamia"Alifika kunichukua nauli kila kitu alinighalimia na ya kurudi pia na ela kanipa ya kutumia
Hahahahaah kwahiyo huyu mdada atakuwa analadhimishaMapenzi huja automatic.![]()
![]()
Worry not, kama kwao wanataarifa na kwenu basi hakuna shida hapo, pengine hakupenda huyo mmama ajue mambo yenu, wamama wengine nuksi.Ila akiongea kwenye simu anawaambia nipo na wife amefika kunitembelea na ananipa simu pia niongee nao shida kuna siku mmama akamuuliza huyo ndo mke wako akatabasamu tu hakujibu chochote