Simwelewi huyu mwanaume

Simwelewi huyu mwanaume

Alifika kunichukua nauli kila kitu alinighalimia na ya kurudi pia na ela kanipa ya kutumia
Nonsense kabisa ...wewe kama unajirahisi hivyo..."alifika kunichukua" "nauli kila kitu alinigharamia"

Acha mbunye ichunwe kwanza usomeke halafu akudampu
 
Ila akiongea kwenye simu anawaambia nipo na wife amefika kunitembelea na ananipa simu pia niongee nao shida kuna siku mmama akamuuliza huyo ndo mke wako akatabasamu tu hakujibu chochote
Worry not, kama kwao wanataarifa na kwenu basi hakuna shida hapo, pengine hakupenda huyo mmama ajue mambo yenu, wamama wengine nuksi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom