Simwelewi huyu mwanaume

Simwelewi huyu mwanaume

Dalili moja wapo ya mwanaume kumpenda mwanamke ata mtambulisha kwa rafiki na ndugu.
Ukiona anaulizwa halaf ana cheka tuu jua hajakolea huyo.
Sasa usipanic kaa naye chini muongee. Majibu atakayo toa ndio yakufanye uondoke au ubaki
 
Hukumuuliza kwanini hakujibu kama yuko na wife wake?

Ila akiongea kwenye simu anawaambia nipo na wife amefika kunitembelea na ananipa simu pia niongee nao shida kuna siku mmama akamuuliza huyo ndo mke wako akatabasamu tu hakujibu chochote
 
Ila akiongea kwenye simu anawaambia nipo na wife amefika kunitembelea na ananipa simu pia niongee nao shida kuna siku mmama akamuuliza huyo ndo mke wako akatabasamu tu hakujibu chochote
Lady whats your problem!? Sioni tatizo hapo.
Acha kujipa stress huyo jamaa ana kupenda, kama ana fanya yote hayo kasoro mkiwa hadharani tuu, may be improve kdogo muonekano wako, piga pamba nzuri, punguza maneno kias. Jaribu kujiweka vzuri zaidi Eeh ukute mkiwa mbele za watu kuna vitu una vikosea sasa ana pata shda ku kuclaim moja kwa moja. Ujue susi wanaume si wazuri sana wa kufunguka.

Anza kujitafakari wewe. Ukisha badilisha ya kwako. Kaa naye chini.
 
Nimezaanae na bado nipo kwenye mahusiano nae hatuishi pamoja alifika kunichukua niende kwake kipindi nipo likizo lakini kule kwake akiulizwa huyo ni mke wako anakaa kimya hajibu anaweza akatabasam tu sijui shida nini
Ikiwa hajafunga ndoa bado hawezi kusema wewe ni mke wake. Hio kutabasamu inaitwa(jibu unalo) subiri mfunge ndoa ndio atasema huyu mke wangu. Kwani wewe ukiulizwa nani huyo unasema mumeo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom