Prof alvin
Senior Member
- Jun 11, 2016
- 146
- 482
Ina maana kuna ampendaye na anayetegemea kuwa mke wake.
anakupenda huyo labda hauvutii ila ana mipango na wewe usijali sisi wanaume tunapenda kuwatambulisha wapezni wetu wazuri ni kama nyie mkiwa na bwana mwenye pesa unaona raha kumtambulisha kwa mashosti zako.Ila Donaldson don nilishatolewa barua sasa sijui nifanyeje
Hahahaha ukwelo ulio uchi huu binti havutii kumbeanakupenda huyo labda hauvutii ila ana mipango na wewe usijali sisi wanaume tunapenda kuwatambulisha wapezni wetu wazuri ni kama nyie mkiwa na bwana mwenye pesa unaona raha kumtambulisha kwa mashosti zako.
Mfanye jamaa akuonee ww ni wa thamani kwake. Uzuri mna mtoto hebu mtumie km kiunganishi kwenu.Asante

Nimezaanae na bado nipo kwenye mahusiano nae hatuishi pamoja alifika kunichukua niende kwake kipindi nipo likizo lakini kule kwake akiulizwa huyo ni mke wako anakaa kimya hajibu anaweza akatabasam tu sijui shida nini