Simulizi za the Bold

Hongera sana Mkuu The bold .

Nlikuwaa katika pita-pita zangu nikaona nikungate sikio kwa haya machache kutoka kwa Jalaluddin Rumi;Anakuambia,

Cheza kama hakuna anayekuona,
Penda kama vile hujawahi kuumizwa roho,
Imba kama vile hakuna atakayekusikia,
Fanya kazi kama vile huna haja ya malipo,
Ishi kama vile mbinguni ni hapa duniani.

Napenda sana kusoma makala zako.Ubarikiwe.
 
Reactions: Lee

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…