P. Majaribu
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 1,192
- 625
Nashauri Ludo apewe ulinzi mara moja!, wasije kumnyamazisha hivyo akaikatishia story yake njia!.
Pasco
Mmeshindwa kumpa ulinzi mzee warioba anayetetea maslahi ya taifa,mnataka kumpa ulinzi huyu mjinga asiyejulikana hata ngazi ya kitongoji,kwasababu anaongea ujinga mnaoupenda.
NB
Msitutoe kwenye mjadala wa escrow