SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

Cha vichakani hakina maandalizi sijui et kisses muda huyo zinatoka wapi, wewe inama nikulenge huku shingo inaangalia huku na huko kama kuna wambea wanakuja
Aiseeeee ntatest na mm ili nipate burudan ya kichakani
 
Abou Shaymaa leta mzigo, ngoma inaenda mwisho hii, kubwa la maadui linaangushwa, Mzee Komba ataomba msamaha kwa mzee Frank na kufariki, Mama Hilda na Hilda wake wanaweza timuliwa kijijini kwetu Luhilo
Mzee Komba safari hii ametubu kikweli kweli. Abaki tu alee mjukuu.
 
Mzee Komba safari hii ametubu kikweli kweli. Abaki tu alee mjukuu.
ameyatimba, aliposikia ya babu Mabula akafikiria yeye anawaza tu ulanzi na kazi hawezi ndo yamemkuta
 
Back
Top Bottom