Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 14,373
- 18,172
Kumekuchwa
Soraya haonekani kama atakuwa fundi sana Kwa bed kutokana na kutoona sehemu yeyote kwenye hadithi yako ukionesha labda atakuwa amepewa mafunzo ya unyagoWakina Soraya hao
Anatunyoosha mno,yeye kaenda kupata burudan ya mwenge sisi katuacha na arostoacha kabisa, Abou anajua kutunyosha
Na mpori pori anajua kumpa raha soraya mpk anataman wawe wanafanya kila siku😅😅😅Soraya haonekani kama atakuwa fundi sana Kwa bed kutokana na kutoona sehemu yeyote kwenye hadithi yako ukionesha labda atakuwa amepewa mafunzo ya unyago
Japo ameonekana Kwa juhudi zake binafsi kumudu mchezo wa kukata kiuno hasa kupitia filamu alizoona kabla 🤗
Hahaha.............Mwanaume ni pumzi tu, ukiwa na uwezo wa kujulia angle za kumfanya mtoto wa tajiri afike kibo Kwa Kila tendo basi unaweza hata kumwambia mtukane Talib nayeye akatii amri 🤗Na mpori pori anajua kumpa raha soraya mpk anataman wawe wanafanya kila siku😅😅😅
Hahahhahahhaaa umesahau kua humu ndani kuna Ke na Me pia,kipande cha soraya na higno utakiwi kukisoma ukiwa kwenye mkusanyiko wa watu utadhalilika 😅😅🙌Hahaha.............Mwanaume ni pumzi tu, ukiwa na uwezo wa kujulia angle za kumfanya mtoto wa tajiri afike kibo Kwa Kila tendo basi unaweza hata kumwambia mtukane Talib nayeye akatii amri 🤗
I'm sorry kumbe huu Uzi ni wa Vijana, ngoja Wazee tupite mbali 😜🚶🚶🚶
Hahaha........Uzi una hatari sanaHahahhahahhaaa umesahau kua humu ndani kuna Ke na Me pia,kipande cha soraya na higno utakiwi kukisoma ukiwa kwenye mkusanyiko wa watu utadhalilika 😅😅🙌
😅😅😅huu cha mtt,ana uzi wake mwingne unaitwa Asali haitiwa kidole aiseeeee uli ndo balaa usipokua makini unaweza kubaka.....sisi wengine tupo kwenye nchi za watu huku ndo tunapata mateso bila chuki😅😅😅Hahaha........Uzi una hatari sana
Kuna sehemu akawa anaelezea vile Soraya anachukua mchi kisha anaanza kuupalaza taratibu kwenye mashavu ya kinu chake kabla hajaingia kichwa cha mchi 🙌
Nilikuwa natembea barabara kuwahi Ofisi za Pension, nikajikuta Mnala wa Babeli unasimama kama Askari wa Posta
Kumbe hata Babu zenu tunaweza kurudia Ujana Kwa kusoma hadithi kama hizi 😜
Walinzi huwa nuksi sana sitasahau siku nilipoenda ofisi flani kuomba kazi alafu mlinzi akanizuia getini.Mlinzi kashajisahau na yeye anajiona ana sauti katika nyumba ya watu wakati kadhaelezwa kuna wageni wa mabosi zake na wakija atoe taarifa ye kaanza kwa kukoloma kwel kila mtu anataka kuonesha umuhimu wa nafasi yake
Mlinzi akajiona ndo boss😅😅😅Walinzi huwa nuksi sana sitasahau siku nilipoenda ofisi flani kuomba kazi alafu mlinzi akanizuia getini.
Ila we Babu🤣🤣🤣Hahaha........Uzi una hatari sana
Kuna sehemu akawa anaelezea vile Soraya anachukua mchi kisha anaanza kuupalaza taratibu kwenye mashavu ya kinu chake kabla hajaingia kichwa cha mchi 🙌
Nilikuwa natembea barabara kuwahi Ofisi za Pension, nikajikuta Mnala wa Babeli unasimama kama Askari wa Posta
Kumbe hata Babu zenu tunaweza kurudia Ujana Kwa kusoma hadithi kama hizi 😜
Atupe jibu kwakwelikumbe bado haijaja? Abou Shaymaa sema ukweli leo unaleta au huleti??
Nimefanyaje Mjukuu, huyu mtoa mada amefanikiwa kufanya nikumbuke enzi za Mwaka 47Ila we Babu🤣🤣🤣
Babu kaniacha hoi kwa maneno yake😅😅😅Ila we Babu🤣🤣🤣
Huo Uzi sijabahatika kuusoma, ngoja niutafute ili nijionee yaliyomo😅😅😅huu cha mtt,ana uzi wake mwingne unaitwa Asali haitiwa kidole aiseeeee uli ndo balaa usipokua makini unaweza kubaka.....sisi wengine tupo kwenye nchi za watu huku ndo tunapata mateso bila chuki😅😅😅
Ukiupata hautojutia kuusoma ila hakikisha unavyo husoma bibi awe pembeni yako😅😅😅.....genye nakomaa nazo tu mwenyew😩😩Huo Uzi sijabahatika kuusoma, ngoja niutafute ili nijionee yaliyomo
Ongea vizuri na wenyeji huko ulipo unaweza kupata kampani , otherwise unaweza kujikuta unamaliza sabuni ukienda bafuni 😜
Hadakwi mtu hapa labda higgnoTunasubili kwa hamu kuona kaka jambazi talib na wenzie wanavyo dakwa leo
🤣🤣🤣mpori pori awe makini asije kudhalilikaHadakwi mtu hapa labda higgno