Mkanda upi huo tena
Naomba uje unibebe basi lakini usiniangushe na huu ubonge wangu
Kumekucha mama akeJamani ngoja kukuche basi katavi
Haya mamaa wewe ndio umeshka upini, una uamuzi wakunipa utamu utakavyo! Asanteh hata kwa huu utamu kidogo unaonipatia, unanichanganya vilivyo nawaza tu kama huu kidogo uko hivi je...?Kesho ni uongo hii story bado haijaisha ndio mana kuna viarosto flani tuvumiliane tu jamani hivyohivyo
Haya mamaa wewe ndio umeshka upini, una uamuzi wakunipa utamu utakavyo! Asanteh hata kwa huu utamu kidogo unaonipatia, unanichanganya vilivyo nawaza tu kama huu kidogo uko hivi je...?
Mh jamani
Kwahiyo hizi episode 6 jamani ni kidogo nipo2
Asante mke mweeeAsante kwa kushukuru nipo2 nakupenda ubarikiwe sana