Hehehehehe..tukaushie Kama mwezi hivi uone ghost followers watakavyokuTag na malalamiko.Kibonge mwenzangu thread inasomwa na watu wengi hii wanaolikes watano tu nyie nyie wa kila siku mnajijua
Hao ghost followers wanaibuka kukiwa na arosto na kelele zao![]()
😀😀😀
Hahahahahaha.. vibonge hatunaga uchokozi..embu muwache shunie akeee ukoo..😀
Hahahaha..usitufanyie ivyo..tutakaoteseka Ni sisi followers wako waaminifu.Na ndio ninavyotaka kufanya na nilivyo mvivu sasa hivi kuingia jf yaani naingia jf kupost story tu
Binafsi nitateseka haswaa...maana Kuna wakati naingia humu hate sielewi..najikutaga kurudiarudia niliyoyasoma..sasa huo mwezi mzima si utaninyanyasa kiakili kibonge mwenzangu...usifanye ivyoYaani followers wangu waaminifu kama nawaona mtakavyoteseka
Binafsi nitateseka haswaa...maana Kuna wakati naingia humu hate sielewi..najikutaga kurudiarudia niliyoyasoma..sasa huo mwezi mzima si utaninyanyasa kiakili kibonge mwenzangu...usifanye ivyo




Umeongea kwa huruma kibonge mwenzangu mpaka nimejisikia vibaya😂😂😂😂😂😂😍Umeongea kwa huruma kibonge mwenzangu mpaka nimejisikia vibaya