Simulizi: Mke Wangu Juliana

Simulizi: Mke Wangu Juliana

Wivu lazima bwana [emoji1787][emoji1787] napigana na ninapigwa

Hahaha... Mara ya mwisho kupigana na ukapigwa ilikua lini?? Hahaha...

Next time ukipugana na kupigwa weka picha tuone...

Yeah wivu upo ofcoz ila siyo ule wa ngumi mkononi... Tatizo muda wa ugomvi unakosekana...


Cc: mahondaw
 
Hahahaha ila nayeye angekuwa anaweka hata vilike kukutia moyo dada muandishi...Mimi bila kuweka like najiona Kama sijasoma
Kibonge mwenzangu thread inasomwa na watu wengi hii wanaolikes watano tu nyie nyie wa kila siku mnajijua

Hao ghost followers wanaibuka kukiwa na arosto na kelele zao [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom