Simulizi: Mama Vanessa

lotto3

Member
Dec 23, 2017
63
35
MAMA VANESSA

SEHEMU YA KWANZA

Muda ulikuwa umeenda sana macho ya Lucas Manyama yalianza kujifumba yenyewe ishara kuwa mwili wake ulikuwa umechoka na ulihitaji kupumzika. Saa yake ya ukutani ilionenesha kuwa ilikuwa ni saa 8 usiku na alikuwa anasoma story pendwa inayoitwaSECRET OF LOVE iliyotungwa na mtunzi maarufu kwa jina Eliado. Nia ya kusoma story hii usiku ni kupunguza mlundikano wa mawazo aliyokuwa nayo na kutafuta faraja kupitia matatizo ya wengine..Siku hiyo pia ni siku ambayo alikuwa na sress nyingi sana ambazo kwa yeye alihisi kuwa zilikuwa zinamzidi umri. Kwanza ni siku ya 6 tangu asimamishwe kazi kutokana na tuhuma za uwongo ambazo boss wake alijaribu kumbambikizia. Si kusimamishwa kazi tu bali pia mke wake kuondoka nyumbani kwa madai kuwa amemchoka. Ilikuwa haimuingii akilini kuwa eti mke wake amechoka na kuamua kumuacha katika kipindi hiki kigumu.

“Kwa nini hakunichoka kipindi nikiwa nina kazi? kwa nini hakuondoka kipindi hicho? nini kimemfanya aondoke?”Aliwaza Lucas bila kupata majibu. Usingizi kwake ulikuwa ni mgumu sana na alitamani hata asilale. Mziki wa taratibu ulitosha kabisa kuelezea ni jinsi gani alivyokuwa anakijisikia. Machozi yalitosha kabisa kulowanisha karatasi za kitabu cha story alichokuwa anasoma. Badala ya kufuatilia kitabu hicho ambacho kilikuwa ni kizuri alikuwa amekishika kama pambo na wala alikuwa haelewi kilichoandikwa. Alikuwa na huzuni iliyopitiliza. Alitamani hata kama asubuhi ingefika alione jua alihisi labda kuliona jua kungefanya roho yake kutulia. Alijawa na hisia kuwa giza la usiku huo lingeweza kumuathiri kwa kiwango kikubwa. Mvinyo wa kizungu aliokuwa anakunywa hakuweza hata kuusikia, alikunywa kama maji.

Alikunywa hakulewa.Kila alipokuwa anavuta kumbukumbu ya yaliyomtokea alilia kilio kisicho na machozi.

“Nilimpa kila kitu nilimpenda kupita vitu vyote lakini leo ananiacha?” aliwaza bila kupata majibu.

Huyu mwanamke alikuwa ni kila kitu kwake, huyo mwanamke alimtoa mbali, huyo mwanamke alikuwa na umuhimu sana maana kwake alikuwa kama mama na hii ni baada ya kumpoteza mama yake mzazi ambaye aliitwa na Mungu.Apumzike kwa amani mama yake mpendwa.

“Huyu mwanamke nilimsomesha kwa gharama zangu huyu mwanamke nilimwinua kutoka familia masikini mpaka akafikia hapo alipo. Hiyo kazi anayoringia ni sawa tu mimi ndio niliyomuwezesha kwa maana bila elimu niliyomsadia kuipata hasingekuwa hapo.Lakini kwa nini sasa hataki kuyatambua hayo. Kwa nini athamini mchango wake kwangu?”.

Manyama aliongea kwa nguvu utafikiri labda huyo mwanamke wake alikuwa hapo. Alinyanyua glass ya kinywaji kikali alichokuwa akinywa na kukidigida utadhani sio kilevi. Mara simu yake iliita na aliangalia kwa haraka maana sio kawaida yake kupigiwa simu usiku. Aliichukua simu ambayo ilikuwa kwenye chaji na kuipokea.

“Helow mambo Lucas” ilisiskika sauti nyororro sauti ya kike iliyojaa bashasha na furaha.

“Mambo poa, sijui naongea na nani?”.

“Jamani mbona unaharaka hivyo, mimi najua hunijui lakini utanijua maana ni zaidi ya malaika niliyetumwa na Mungu nije kukukomboa na kukuondoa kwenye upweke uliokuwa nao”.

“Makubwa kumbe kuna binadamu malaika..Utanisamehe kama huwezi kujitambulisha sitoweza kuongea na wewe.” Lucas alijibu kwa hasira na kukata simu.

Kama hiyo haitoshi aliamua kuizima kabisa, alivurugwa akavurugika.Alihisi kabisa walikuwa ni vibaraka wa mkewe Misheli walitumwa kumkejeli.Pamoja kuwa alichukua maamuzi hayo bado roho ilimsuta kwa jinsi sauti hiyo ya kike ilivyokuwa tamu masikioni mwake. Alitamani sana kumjua mwanamke huyo lakini hakutaka kuwasha simu. Alijitupa kitandani na kuanza kuutafuta usingizi ambao takribani wiki nzima alikuwa akiupata kwa shida sana. Aliendelea kuwaza vitu vingi sana ikiwa ni pamoja atapata wapi pesa ya kodi kwa sababu mwezi huo ndo ulikuwa wa kulipa kodi hili hali amesimamishwa kazi kwa sababu ambazo ni za kusingiziwa.

“Yaani Boss Yule mwanamke ni mchepuko wake tu je ingekuwa ni mke wake si angenifunga jela kabisa.Mwanamke mwenyewe hamtaki anataka vijana wezniye yeye kazi kuonga tu. Faidha ametamka kwa kinywa chake kuwa hampendi boss bali mimi sasa mimi ningefanyaje. Yaani mwanamke mzuri kama Faidha amejilengesha mwenyewe mimi nimwache kisa eti ni mchepuko wa boss ambaye hajawahi kulala naye?”.Manyama aliendelea kuwaza na kuwazua.

“Akafu mke wangu alijuaje yote haya yanayoendelea kazini?. Na kwa nini hakuniuliza akaamua kuondoka kimya kimya bila hata kuniambia sababu. Nimepiga simu mpaka nyumbani kwao hawapokei tatizo ni nini hasa?”.

Maswali yote hayo hayakuwa na majibu kwa kijana huyu. Alifikiria jinsi kupata kazi ilivyokuwa ngumu. Alifikiria kuwa hata kazi hiyo aliipata kwa msaada wa mjomba wake. Ni kweli elimu yake ilikuwa nzuri kuliko wafanyakazi wengine na hata utendaji wake wa kazi ulikuwa na ufanisi mkumbwa kuliko wengine. Tatizo kumbwa ni mfanyakazi mpya wa mambo ya masoko aliyeletwa hapo kazini kwao. Msichana huyu alikuwa mrembo kupita kiasi. Urembo wa Faidha ndo huo ulileta kizaazaa katika taasisi yao. Lucas Manyama ni mfanyakazi wa benki moja ya kibiashara mkoani Mara. Ni miezi 3 tu tangia apate kazi hiyo na katika muda huu mfupi ndo analetwa Faidha binti ambaye alimvutia kila mwanaume hapo benki. Boss naye alikuwa mtu aliyevutiwa na mfanyakzi huyo na yeye alitumia cheo chake kumshawishi na kutaka kuwa naye. Lakini Faidha alikuwa ni mwanamke mjanja sana bado aliangalia future yake. Ni msichana ambaye hakupenda kujihusisha kimauhusino na wazee.

Lakini moyo wake ulivutiwa na kijana Lucas ambaye alikuwa ni kipenzi cha wafanyaakzi wengi na wateja kutokana na ufanisi wake wa kazi kuwa uliotukuka. Hali hii ilijenga ukaribu sana na kupeleka kujikuta wakizama kwenye uhusiano bila kutajaria. Faidha alijua kabisa kuwa Lucas alikuwa na mke ambaye naye ni mfanyakazi wa taasisi nyingine hapo hapo Musoma. Wote waliingiwa na upofu ambao kwa kweli ulileta majanga makumbwa kwa upande wa Lucas. Lucas alijiuliza kama walifanya siri yeye na Faidha imekuwaje mkwe akajua na kuamua kuondoka. Mkewe aliondoka ghafla bila kutoa sababu yoyote na kipindi hiko tayari alishasimamishwa kwa kazi kwakile kilichoitwa ubadhilifu wa fedaha. Kitu kingine kilichokuwa kikumuuama ni kuwa Boss na mkewe walikuwa wakijuana maana walitoka mkoa mmoja na walikuwa karibu.

Lucas Manyama alihisi labda Boss ameamua kumwaga sumu kwa mkewe na ndio maana ameondoka. Alichokifanya alilala na asubuhi na mapema aliamka na kuelekea ukweni ambapo ni Bukoba. Aliamua kwenda ili kujua kama mke wake alirudi huko au la kuna sehemu ambayo alienda bila yeye kujua. Ila ile simu alivyoiwasha asubuhi hiyo alikutana na meseji nyingi za yule mwanamke aliyempigia simu usiku huku akijichkesha chekesha.

“Lucas najua upo katika kipindi kigumu sana, kipindi cha mawazo lakini mini mimi ndo naweza kukufumbua macho na kujibu maswali yako yote magumu yanayokutatanisha. Hata mimi nina maumivu sana ila naomba tushirikiane nitakufuta machozi na pia nitakufanya ujue ukweli kuhusu mkeo na boss wako..Ukiwa tayari tafadhali nitafute naitwa mama Vanessa.” Meseji ilisomeka hivyo na kumfanya Lucas hazidi kuchangnyikiwa. Alitamani kushuka kwenye gari lakini aliamua kuendelea na safari ya ukweni maana ingetoa mwanga pia kwa nini mkewe aliamua kuondoka tena kimya kimya…

********ITAENDELEA******
 
MAMA VANESSA

SEHEMU YA PILI
SEHEMU YA PILI

ILIPOISHIA

“Lucas najua upo katika kipindi kigumu sana, kipindi cha mawazo lakini mini mimi ndo naweza kukufumbua macho na kujibu maswali yako yote magumu yanayokutatanisha. Hata mimi nina maumivu sana ila naomba tushirikiane nitakufuta machozi na pia nitakufanya ujue ukweli kuhusu mkeo na boss wako..Ukiwa tayari tafadhali nitafute naitwa mama Vanessa.” Meseji ilisomeka hivyo na kumfanya Lucas hazidi kuchangnyikiwa. Alitamani kushuka kwenye gari lakini aliamua kuendelea na safari ya ukweni maana ingetoa mwanga pia kwa nini mkewe aliamua kuondoka tena kimya kimya…

ENDELEA

Meseji hiyo ilimfanya atamani kushuka lakini tayari alikuwa kwenye gari. Huyo alifika Mwanza na kupanda gari la kuelekea Bukoba. Alifika ukweni na alipokelewa na baba mkwe. Alipokelewa vizuri tofauti na alivyotarajia hapo awali. Na baadaye alikuja mama mkwe.

“Karibu sana mwanangu naona umefanya ziara ya kushtukiza kama muheshimiwa Rais afanyavyo.

“Ni kweli mama angu sijui mnaendeleaje maana nimekuwa nikipiga simu kwa muda mrefu mmekuwa hampokei”.

“Tusamehe tu baba si unajua huku shughuli za shamba zinatubana hatuna hata habari na hizo simu” alidakia baba mkwe.

Kimya kilitawala kidogo kabla ya Lucas kuvuta ukimya.

“Wazee wangu mimi nimekuja kuwasalimu lakini pia mwenzangu aliondoka wiki sasa imepita bila kuaga sijui alifika huku kwenu?”

“Hapana mwanangu Mishel hajafika hajafika huku ila mara ya mwisho kuongea naye alisema kuwa umebadilika. Umekuwa Malaya na unaangaika na mapenzi nje ya ndoa. Pia kuna mwanamke kazini kwako anakuchanganya na umeapa kumuoa. Mwanetu amesema kuwa hayupo tayari wewe umletee magonjwa hivyo amejeitoa kwako. Ameamua kuanza maisha yake na sisi utaratibu wetu ni kuwa mwanamke akishaolewa basi akae huko kwa mme wake na wakaichana hasirudi nyumbani atafute mwanaume mwingone wa kumuoa.” Aliongea maana mkwe wake kwa hisia na kukaa kimya.

“Mama yangu na baba yangu naweheshimu sana lakini kwa kitendo hiki cha Mishel kuondoka kimya kimya bila hata kuoga na kutoa sababu za kufanya hivyo ni kukosa heshima kwa mume. Kama kulikuwa na tuhuma ilimpasa kuniuliza ili nimwelezee.Hapa nilipo nimesimamishwa kazi kwa sababu ya Boss.

“Umefukuzwa kazi?, kisa nini?”alihoji mama mkwe kwa mshangao.

“Nasingiziwa tu vitu vya ajabu ambavyo sijavifanya. Na kilichotokea ni kwamba kuna mwanamke alikuja na huyo mwanamke mpo ofisi moja sasa na uhusiano na boss na uhusino huo umemfanya hasifanye kazi na mimi kuwa nafanya kazi sana. Mimi kuhoji kwa nini ananiachia kazi zote ndo shida ilipoanzia.”

“Pole sana baba ingawa maelezo yako na ya mwenzio yanatofautiana. Sisi hatutaki kumtafuta mkorofi cha msingi mtafute mke wako kisha mje tuyazungumze. Nikushauri pia mwanangu ndoa yenu bado changa sana na mmetoka mbali sana jaribu kukumbuka na usikubali kumpoteza mke wako kiurahisi. Usikubali kuachana na mkeo maana umewekeza sana kwake. Umemsomesha mpaka amepata kazi. Lakini usitumie wema huo kumnyanyasa. Yeye tulishaongea naye na tutaendelea kumsahauri.”Aliongea Baba mkwe.

“Nimewaelewa wazazi wangu naomba mnisaidie kumpigia simu na kumweleza kuwa alichokifanya sio kitendo cha uungwana kabisa.”

“Sawa baba tunashukuru kwa ujio wako pia tumegundua mengi..Tutafikisha ujumbe wako.

Lucas Manyama aliaga na kuondoka zake. Tofauati na siku zingine ambazo huwa anamwachia pesa ya matumizi siku hiyo alikaa kimya hakutoa hata elfu 1. Hiyo ilikuwa ni ishara kuwa amechacha na hana pesa. Aliamua kuondoka na kurudi zake Musoma. Akiwa njiani aliendelea kutafakari juu ya mahali ambapo mke wake angekuwepo.Kwa kuwa muda ulikuwa umeenda sana ilimlazimu kwenda kulala Mwanza ili kesho ndo aende Musoma. Alivyofika Mwanza aliamau kumtafuta rafiki yake kwa jina Kimaro. Huyu alikuwa ni rafiki yake wa kufa na kuzikana tangia wakiwa chuo. Walipendana sana na waliishi kama ndugu. Kimaro alipokea simu lakini ilionekana kama kulikuwa na tatizo kidogo alionekana kuwa sehemu yenye kelele nyingi.

Kimaro alimwandikia sms na kumueleza kuwa yupo sehemu moja hivi wanakula bata. Lucas akamweleza kuwa na yeye yupo Mwanza stend. Kwa kuwa sehemu yenyewe haikuwa mbali sana alimwelekeza afike hapo. Manyama hakutaka kubisha na alienda moja kwa moja mpaka sehemu hiyo ambapo music wa bendi ulikuwa ukipigwa. Aliingia huku akiwa na hofu kwa sababu mfuko wake haukuwa vizuri. Watu walikuwa ni wengi sana na wenye furaha. Alipewa kiti wakaketi na alimkuta rafikiye Kimaro akiwa tayari ameshapendeza. Aliongea lugha za kuashiria alianza kulewa. Hakuwa peke yake bali na mwanamke pembeni yake ambapo Lucas hakumtambua. Lucas kwa haraka haraka alijua kuwa huo ulikuwa ni mchepuko wake tu. Na yeye alikwa akinywa bia tena zile za bei ghali.

Lucas alivyoambiwa aagize aliagiza maji jambo ambalo lilimfanya Kimaro kuwa mkali na kusema apewe kinywaji anachotumia kwa sababu pesa sio tatizo. Baada ya kulazimishwa aliamua kunywa ili kupunguza mawazo. Alikunywa pombe kali kabisa na stori ziliendelea. Lucas alimweleza rafiki yake jinsi anavyoumia kwa sababu mke wake ameondoka katika mazingira tatanishi. Alimweleza kuwa hapo ametoka ukweni nab ado mke wake hayupo. Anaumia sana maana hajui mkewe mahali yupo.

“Huna haja ya kuumia toa taarifa polisi tu kuwa amepotea.Ahhhhhh kwa dunia ya sasa mtu hawezi kupotea atakuwa yupo mahali amewekwa. Wanawake si viumbe vya kuwaamini zaidi ni kuwaogopa sana maana wanaweza kufanya kitu kibaya na ukajuta kumfahamu”.

“Ebu tuyaache hayo maana yanaumiza naamini wapo wasichana wenye roho nzuri kama huyo uliyekaa naye.

“Bora hata umeliona hilo maana nilianza kuboreka” alisema mrembo huyo.

Waliendelea kunywa na kula na sasa Lucas alianza kulewa. Watu kwenye ukumbi huo walikuwa na raha na wengi walionekana ni watu wenye uwezo kifedha. Watu na vitambi vyao walikuwa wakicheza mziki na kuomba nyimbo walizokuwa wakizipenda. Ilikuwa ni burudani iliyoleta raha kwa kila ambaye alikuwa eneo hilo.

“Eeeeeeeh!!!!!!! yule si shemeji… yule au naona kwa makengeza ebu angalia”,Kimaro alisema huku akionesha mkono kule mbele.

Lucas ilibidi aangalie kule mbele. Hakuamini macho yake alipomuona boss wake akiwa anacheza mziki na mkewe. Macho yalimtoka kama mjusi aliyebanwa na mlango. Alianza kupiga hatua kuelekea mbele lakini rafiki yake alimshika mkono na kumwambia.

“Haikupasi kuwa na papara kwenye mambo haya. Tulia tuone mwisho wa mchezo huo”

“No no I say no I cant tolerant any more(hapana, hapana nasema hapana siwezi vumilia tena)..” Lucas alinyanyuka kwa nguvu na kuanza kuelekea kule mbele ambapo boss na mkewe walikuwa wanacheza.********ITAENDELEA*************

KAKA LUKA TUPIGIE HUYO BOSS.... HAIWEZEKANI.... ILA KUMBUKA NA WEWE ULIKUA UNAKULA MTOTO FAUDHIA.... ILA MKUKI MCHUNGU KWA BINADAMU PIGA KWANZA BOSS ALAFU YA FAUDHIA TUTAKUSEMA BADAE....
 
MAMA VANESSA

SEHEMU YA TATU

SEHEMU YA TATU

ILIPOISHIA

“No no I say no I cant tolerant any more(hapana, hapana nasema hapana siwezi vumilia tena)..” Lucas alinyanyuka kwa nguvu na kuanza kuelekea kule mbele ambapo boss na mkewe walikuwa wanacheza

ENDELEA

Kimaro ambaye na yeye alionekana kuwa tayari ameshalewa alinyanyuka kwa nguvu na kumshika Lucas. Alitumia nguvu zake zilizochagizwa na pombe kumzuia na kumsogeza kwa pembenni.

“Ndugu yangu nakuomba unisikilize kwa umakini sana kwa sababu ulimwengu huu sio wa kutumia nguvu bali akili. Huyo ni mke wako sawa najua anauma kuliko kitu kingine chochote ila sasa yupo na boss wako na wewe umesimamishwa kazi tu. Kitu cha kujua ni kwamba hujafukuzwa kazi bali umesimamishwa kazi hivyo lazima uwe mjanja ili kurudishwa kazini ikibidi huyo boss yeye ndo afukuze..

“Nifanyaje sasa”, Lucas alihoji kwa kuvuta pumzi..Hasira zilimshuka kidogo.

“Unatakiwa kutumia akili . Kwa kuwa Boss wako yupo na mkeo hapa tupate ushahidi wa picha. Tukishapata ushahidi huo ni rahisi sana kuieleza jamiii kuwa boss amekunyanyasa na anatoka na mkewe na pia anatumia fursa hiyo kukufukuza kazi.”.

“Wazo zuri sana sasa utawezaje kuwapiga picha bila wao kujijua na bila kuleta madhara maana yule boss ni mkorofi sana”

“Hilo niachie mimi wewe rudi kakae.Vaa roho ya ushujaa na uwe na amani kwa sababu huu mchezo sisi ndo tutashinda.

Lucas Manyama alionesha kuelewa na alirudi kukaa kwenye kiti na alishangaa kukuta kuna msichana mwingine amekaa kwenye kiti chake. Macho hayana pazia kwa sababu msichana huyo alikuwa akifanana kabisa na msichana wa mwanzo. Kwa haraka haraka aliwaza na kugundua kuwa anaweza kuwa ni pacha wake. Manyama alivuta kiti na kukaa.Alielekeza macho yake mbele na kuangalia kwa makini kama kweli rafiki yake Kimaro anaweza kufanikisha kuwapiga picha. Hakumwona hata huyo Kimaro jambo ambalo lilizidi kumchanganya.

“Shemeji usiwe na wasiwasi wala usiwaze sana wanawake bado hawajaisha huku duniani na kama kweli yule ndo mkeo na anayafanya yale huku wewe ukiangaika kumtafuta ili kujua alipo basi huna chako.”

Yalikuwa ni maneno ambayo yalizidi kumuuma Lucas na kutamani kama angefanya kitu. Bila kutarajia alinyanyuka na kusimama. Aliwaza kutoweka eneo hilo na kwenda sehemu nyingine kabisa mbali na upeo wa vitu vya kuumiza vilivyokuwa vikiendelea. Kimaro alimshika begani na kumwambia arudi kukaa.

“Vipi umekamilisha huo mpango?”.

“Nimekamilisha kwa kiwango kikumbwa”.Kimaro alijibu huku akimpa simu yake ili aweze kuangalia. Aliziona picha na jinsi mkewe alivyokuwa amekumbatiwa na boss wake. Alishindwa kujizuia machozi yalimtoka.

“Jamani Lucas usiwe na roho ndogo hivyo wewe ni mwanaume usilie jipe moyo”alisema Yule msichana aliyekuja mara ya pili.Msichana huyo aliongea kwa upole huku akitoa kitambaa chake na kumpa afute machozi. Lucas alisista kukichukua lakini mwanamke huyo kwa ujasiri alijisogeza zaidi na kumfuta machozi. Ilikuwa ni faraja kwa Lucas kwani alichukua glass akaminiia kinywaji chake na kunywa. Alikunywa kwa nguvu kisha kushusha chini. Aligonga meza kwa nguvu kuwa aongezewe kinywaji. Muhudumu alikuja na kumuongezea. Sasa ilikuwa ni kunywa kwa nguvu ili kutafuta stimu za kupunguza mawazo. Kila mtu alikunywa kadri alivyoweza na nikama boss na mke wa Lucas walishtuka na kutoweka ghafla eneo hilo. Wao wakabaki wanaendelea kula raha na kujaribu usahau shida ambazo walikuwa nazo.

“Sasa ni saa ya utambulisho, kila mtu akae kimya” aliropoka Kimaro.

Watu wote walicheka maana kumbe wengine hapo mezani walikuwa hata hawafahamiani. Kimaro akanza kujitambulisha yeye.

“Mimi naitwa Godfrey Kimaro kijana mdogo mwenye mafanikio hapa mjini”.Wote kwa pamoja walitabasamau.

“Mimi naitwa Lucas Manyama mwanaume ambaye namiliki mke mzuri mjini lakni Boss akanipokonya”..Hapo kila mtu akaangua kicheko huku Lucas akitingisha kichwa kuonesha masikitiko yake juu ya jambo hilo.

“Mimi naitwa Julieth mpenzi wa kijana mwenye mafaniko hapa mjini”

“Mimi naita Juliana pacha wa Julieth”.

“Safi sana sasa timu imekamilika na hatuwezi kukubali mziki uishie chini. Kila mtu amshike mtu wake tunaenda mbele kucheza.” Kimaro aliongea huku akimnyanyua Julieth. Pombe ilikuwa imekolea na hao taratibu walisogea mbele kwenda kucheza mziki na kuwaacha Lucas na Juliana wakiwa wanaangaliana.Juliana hakuwa na aibu maana na yeye pombe ilikuwa imekolea. Alisimama akajitingisha tingisha kidogo kwa madaha nakuonesha ni jinsi gani alivyoumbwa akaumbika. Macho kodoo macho ya Lucas yalimkodolea huku akimkagua kuanzia kifuani kushuka chini. Juliana akanyanyua mkono mmoja kisha akampatia ishara kuwa wanyanyuke. Lucas alikuwa ni mtu mwenye aibu sana hivyo alikuwa akijifikiria kwenda mbele kucheza muziki. Lakini mikono laini ya Julaina ilitosha kumsisimua na kumuinua kutoka pale kwenye kiti.

Hao walisogea mbele na kuanza kucheza. Mbele kulikuwa na watu wengi hivyo ilikuwa ni swala la kubambia kwa kwenda mbele. Sasa ilikuwa ni fursa ya Lucas kuona ulimbwende wa binti huyo. Kwa kweli alichanganyikiwa na alitamani hata kumtongoza usiku huo huo. Alijizuia lakini kitendoa cha Juliana kuzungusha nyonga na kumtingishia makalio kilimfanya kumtamani mlimbwende huyo. Juliana naye alimwonea sana huruma na aliamua kumfanyia vitu ambavyo vingempa faraja usiku huo. Alikuwa akicheza na binti huyo huku mawazo yake yakiwa kwa mtu aliyejitambulisha kuwa anaitwa Mama Vanesaa. Aliifikiria ile sauti ambayo ilionekana ya binti mdogo kabisa na jinsi mwanamke huyo alivyoamua kujitambulisha kwa jina mama Vanesa. Baadaye walirudi kukaa na sasa walikuwa wameagiza nyama choma. Walikula na wakati wakiendelea kula simu ya Lucas iliita na kuangalia alikuwa ni mama Vanesa. Alikata na kumuomba amtumie sms kwa kuwa yupo kwenye kelele.

“Nimepata dharura ambayo itanifanya kesho kutwa nisafiri hivyo nilikuwa naomba kama hutojali tukutane kesho nikueleze matataizo yangu kisha tupange mikakati ya kusaidiana kwa sababu matatizo yako tayari nayajua.” Meseji kutoka kwa mama Vanesa ilisomeka hivyo.

“Kula brother nataka nikupe huyu mtoto Juliana ukalale naye upunguze hata mawazo.”Iliingia meseji ingine kutoka kwa Kimaro.

Alitabasamau kimoyomoyo na kujisemea kama litataokea hilo basi itakuwa bahati ya mkenge. “Mtoto mzuri hivyo nitamla mpaka aimbe zeze”aliendelea kuwaza huku akiweka finyango ya nyama mdomoni.Mara Juliana na yeye alichukua nyama na kumlisha jambo lililozidi kumsisimua na kujikuta akitamani hata kumrukia muda huo. Viungo vingine vya mwili navyo vilishasimama kwa hisia za mahaba…********ITAENDELEA*********

UMEONA? UMEONA LAKINI BRAZA SIKUSEMA MKUKI MTAM KWA NGURUWE... UNAMIND MKEO ALAFU WEWE UNATAKA MPAKA KURUKIA WATU HAHAHAHA.... ATAIMBA ZEZE AU SIO BRAZA LUKA??? TUNASUBIRIIIII ILO ZEZE...
 
MAMA VANESSA

SEHEMU YA NNE

SEHEMU YA NNE

ILIPOISHIA
Mara Juliana na yeye alichukua nyama na kumlisha jambo lililozidi kumsisimua na kujikuta akitamani hata kumrukia muda huo. Viungo vingine vya mwili navyo vilishasimama kwa hisia za mahaba
ENDELEA
Waliendelea na sasa Kimaro alikuwa akitumia jina lake na uwezo wake wa kushawishi kumtaka mpenzi wake Julieth aweze kumkubali Lucas na ikibidi ampe faraja usiku huo. Kwa hiyo kulikuwa na mawasilaino na watu walikuwa wakichati hapo. Julieth alikuwa akichati na Juliana na kumshawishi atumie uwezo wake wa kike kuwa na Lucas maana ni mwanaume mwenye mafanikio na hueda akawa mpenzi mzuri. Juliana hili swala kwake lilikuwa gumu kwa sababu tayari alikuwa na mpenzi mpya mara baada ya mchumba wake wa muda mrefu kuzinguana. Huyu mpenzi mpya alikuwa hafahamiki na mtu yeyote na ndio maana pacha wake alikuwa akimpigia chapuo ili kuona kama anaweza kuwa naye. Juliana hakuwa mjanja kama Julieth hivyo aliweza kumshawishi ingawa Juliana alikuwa akisingizia kuwa siku hiyo hakuwa poa labda siku ingine.
Muda ulizidi kwenda na baadaye Kimaro aliamua kutumia nguvu kwa maana alilipa vitu vyote walivyokuwa wanadaiwa kisha waliiingia kwenye gari na safari ya kueleka pasipojulikana ilianza. Kimaro alipakia gari kwenye moja ya lodge ambayo ilikuwa inamilikiwa na baba yake. Julieth na yeye alishangaa maana hakujua kama ilikuwa ni ya kwao.Walishuka na kuwa tayari alishaongea na wahudumu wa hapo kuwa anakuja na wageni tayari alishawekewa.Alipewa funguo za room zilizofuatana. Wakati Julieth na Julaina waliabaki wameduwaaa tu wasijue nini kilikuwa kinaendelea. Julieth alikuwa akijiuliza maswali mengi kwa nini siku hiyo huyo mwanaume hakutaka kumpeleka kwake kama alivyozoea na kwa nini ameamua kuingia gharama hizo. Mwanzo alidhani kuwa walikuja hapo kuwaleta Julaina na Lucas lakini aligundua sivyo mara baaada ya kuona Kimaro akikabidhiwa funguo mbili. Kimaro yeye baada ya kupewa zile funguo alimkabidhi moja Lucas na kumwambia kazi kwako. Alimshika Julieth mkono na kuwaaga kwa kuwambia usiku mwema. Hao kwa mwendo wa madaha waliingia kwenye chumba chao.
Juliana na Lucas walibaki wamesimama na kuduwaha tu wasijue nini cha kufanya kwa wakati huo.Waliangaliana na kila mmoja alionesha kuwa alikuwa akimwogopa mwenzake. Waliogopana kwa sabbau mwaznoni hawakuwa na makubaliano ya aina yoyote kuwa watalala pamoja. Lucas baada ya kuona mrembo yupo njia panda na hana njia ingine ya kuondoka hapo alimkabidhi funguo. Juliana alisita kuzipokea na kubaki amesimama akimshangaa tu. Lucas sasa iliamua kutumia njia za kiume mara baada ya kugundua kuwa msichana huyo hawezi kuondoka. Alimnyanyua juu juu na kwenda naye moja kwa moja mpaka kwenye chumba ambacho walitakiwa kuingia. Hata Juliana alishangaaa mwanaume huyo amepata wapi nguvu za kumbeba juuju. Alivyofika alifungua mlango kisha kuingia naye ndani.Alimbwaga kitandani huku akihema kwa nguvu utadhani punda aliyeutua mzigo mzito. Kweli wanaume wanakuwa na nguvu linapokuja swala la mapenzi. Unaweza kukuta mwanaume ana kilo pungufu na mwanamke lakini akambeba bila matatizo yoyote.
Juliana alijilaza hapo kitandani huku akilaala na tumbo na kuacha kijungu mbinuo kikiwa juu. Kinguo kifupi alichokuwa amevaa kilipanda kwa juu na kufanya weupe wa majapa yake yaliyojazia kama godoro la Dodoma kuonekana. Lucas alipiga magoti kisha kwa utaratibu alimvua viatu na kuvishusha chini. Juliana alijigeuza na kupandisha miguuu juu ya kitanda kabisa.
“Ninaomba uzime taa tulale”alisema mrembo huyo huku akipikichapikicha macho ishara kuwa alikuwa akikerwa na mwanaga wa taaa.
Lucas kabla hajazima taa alimshauri kitu. “Unaonaje kama ungeoga ili kupunguza uchovu wa kukaa muda mrefu sehemu moja na joto la mwili ili uweze kulala usingizi murua.
“Wazo zuri lakini naona uvivu mwenzio ebu tulale kwanza alafu joto likizidi nitaoga”. Juliana aliongea kisha kuvuta shuka na kujifunika. Lucas aliona ipo haja ya yeye kwenda kuoga.Aliingia bafuni huku taswira ya umbo zuri la Juliana likimtawala kichwani. Mawazo ya ngono yalikuwa yametawala akili yake kwa kiwango kikumbwa sana. Alimaliza kuoga na kurudi zake chumbani. Alifikiria cha kufanya kwa sababu ndo kwanza mwanamke huyo alikuwa amejifunua shuka kuashiria kuwa taryari joto lilimzidia. Kitendo hicho sasa kilifanya utamu wa binti huyo kuonekana. Lucas uzalendo ulizidi kumshinda na kukuta viungo vyake vya siri vikimsisimka. Mkuki ulisimama wima tayari kwa mapambano. Alipanda kitandani na kulala. Dakika mbili hazikuisha alimsikia yule binti akinyanyuka na kuingia maliwatoni. Kabla hajaingi aliwasha taa na kumfanya Lucas kuangalia kwa jicho la wizi binti huyo alitaka kufanya nini. Kwa macho yake alimuona binti huyo akichojoa nguo zake kisha kuingia bafuni.
Aiseee aliumizwa kihisia maana sasa alitamani hata kumrukia binti huyo. Lakini alijikaza na kuvumilia. Alijifanya kapitiwa na usingizi na nia yake ni kuona mtu huyo atafanya nini baada ya kutoka huko chooni. Juliana naye usingizi ulikuwa hauji na ni muda mrefu sana alikuwa hajafanya mapenzi. Yaani na yeye kuna kitu kilikuwa kikimtekenya na kumtamanisha afanye mambo. Kwa kipindi chote alichokuwa amejilaza hapo kitandani alikuwa akitafakari je ampe tunda au amnyime. Uamuzi alioufikia ni kwamba atampa kama kijna huyo akihitaji. Kwa maneneo mengine ni kusema kwamba Juliana na yeye hamu ilimshika. Alioga na kumaliza lakini alikuwa akitafuta mbinu ya kurudi.Alijiuliza je arudi akiwa uchi au akiwa amevaa nguo za ndani. Sifa alizopewa na pacha wake juu ya mwanaume huyo zilimabadili mawazo na kujikuta akiwa tayari kwa lolote. Lakini yeye ni mwanamke alikuwa makini sana hasije kushusha thamani yake na kuonekana Malaya.
Kule maliwatoni alikaa sana kwa makusudi amuone atafanyaje.Ukimya huo ulimtatiza Lucas na kumlazimu kuchukua hatua. Ilimbidi aende karibu ya mlango wa chooni na kuita “Julieth mbona umekaa sana unaumwa na tumbo nini? Halikuwa jina la binti aliyekuwepo chooni lakini ni kwamba aliwachanganya majina pale alipokuwa wanajitambulisha. Kwa sauti ya mlegezo Julina alimwambia “njoo njoo huku” . Alimwita huku akiwa ameshikilia mguu wake kwa madai kuwa eti aliteleza huko bafuni na kudondoka.
Hapo ndipo kichaa alipokabidhiwa rungu. Lucas aliingia maliwatoni na kumwinua Juliana kisha kumbeba juujuu na kumpeleka kitandani. Juliana hakufanya makosa alimng’ang’ania kwa nguvu sana na kila mtu mapigo ya moyo yaliongezeka. Lucas na yeye alimbana kwa nguvu kwenye kifua chake. Kumbatio hilo liliamsha hisia zao na kila mmoja alijihisi tofauti. Lucas akaanza papara zake za kutaka kuvua hata ile nguo ya ndani ya mlimbwende huyo.Jambo hilo la papara na haraka zisizokuuwa na sababu wakati binti anatka mwenyewe zilimkera Julaina na alimmsukuma kwa nguvu na kumtoa kwenye mwili wake.Kama hiyo haitoshi alimuuliza
“unataka kunibaka?”.
Lucas Akacheka na kusema “ kwa kweli upo vizuri sana uvumilivu umenishinda”.
“Sasa wewe si ni mme wa mtu”
“Ndio” Lucas alijibu na kumsogelea tena.
Akili yake ilishachafukwa hakutaka majibizano tena bali vitendo.Bingilibingili walianza kubingilizana hapo kitandani.

********ITAENDELEA**********
FYUUUUU KAMA NAWAONA VILE.... MMENITUNISHIA SURUALI YANGU HAPA FYUUUU ZENU.... NAWE MWANDISHI NAKUMIND UTAKATISHAJE HAPA NA WEWE.... KHA!
 
MAMA VANESSA

SEHEMU YA TANO

ILIPOISHIA
“Ndio” Lucas alijibu na kumsogelea tena.
Akili yake ilishachafukwa hakutaka majibizano tena bali vitendo.Bingilibingili walianza kubingilizana hapo kitandani
EDELEA
Juliana kama walivyo ingawa na yeye alikuwa akitaka kushiriki mchezo huo lakini alikuwa makini sana ili hasije kuonesha kuwa alikuwa ni Malaya. Lucas alikuwa mjanja sana maana aliangaika na viungo ambavyo vilikuwa vinamsisimo kila Julaina alipoguswa. Juliana hakuwa na ujanja tena zaidi ya kugugumia kwa sauti za huba. Huku kule pembeni kati waliendelea kuonesha ufundi wa kupapasa bila kutulia. Ukumbwa wa matikiti ya Juliana ulimfanya Lucas Manyama kubaki hapo kwa muda. Matikiti maji haya yalimvutia sana. Mikono laini pia ya mlimbwende huyo ilikuwa ikiperuzi na kudadisi kwenye mgongo wa Lucas. Lucas alipojirizisha kuwa ameshamchezea mlimbwende huyo na amenyegeka vya kutosha alimua kumwacha ili atafute kinga. Jamabo hili lilifanya Juliana kupoteza mzuka maana ni miongoni mwa wanawake wachache ambao huwa hawapendi kukatishwa jambo.
Lucas alizipata kondomu ambazo zilikuwa zipo kwenye droo hapo hapo lodge.Kwa haraka haraka alizivaa na na kumsogelea Juliana. Alainza tea kumpapapasa na safari hii alianz akwa kuyapigapiga makalio ya mlimwende huyo. Juliana hakuonesha ushirikiano tena nyege mshindo zilizokuwa zimempanda ghafla zilimshuka.
“Jamani Juliana mbona hivy nimekukera na nini?
“Hapana tayari hamu imeisha na ujue mimi nimetok kwenye mamatatizo kama yako na sasa naionea huruma nafsi yangu. Hat nikiridhisha usiku huu bado furaha hiyo haitakuwa ya kudumu. Sipendi nijifurahiseh kwa muda alafu abaadaye nikandelea kuteseka. Nakuomba niache tu kwa maana hata wewe nitakuwa sijakusadia zaidi utakuwa umejongezea matatizo.
“Naielwa kakni wewe umejuaj ekama furha hii itakuwa ya muda mfupi? Wewe nipe nafasi mengine hayo yatajzungumza yenyewe..
“Siwezi kwanza nimekutana na wewe kwa bahati mbaya, ni siku ya kwanza, hatujuani na pia una mke kweli hii ni halaili”
“Daaaaah ooooops!!” Lucas alivuta pumzi ndefu na kusogea pembeni. Ni kwamba hoja za mrembo huyo zilikuwa zenye mashiko sana kwake.
Kimya kilitawala na kila mtu alikuwa akitafakari. “Yaani kweli nilale na mwanamke mpaka asubuhi bila kufanya naye kitu. Nitaweza kweli , hapana sio jambo rahisi inahitaji nitumie mbinu za ziada”. Maara baada ya kuwaza hayo Lucas aliamua kujifanya mjinga. Alipiga magoti na kusema.. “Hakika wewe ni mwanamke mwelewa sana na unayestaili kuwa na mwanaume mwelewa. Sikuwaza kabla kama una akili kiasi hicho. Ni kweli nina mke na sipaswi kuwa na wewe. Lakini ishatokea na imetokea katika harakati za kupunguza mawazo. Tafadhali mrembo nisije kufa kwa presha nionjeshe tu utamu wako siku ya leo. Tadhali kuwa muungwana kwa hili na ndio maana nikatafuta kinga ili tuwe salama.
“Mimi sio wa hivyo na kama amezidiwa ajue kabisa ukinionja tu itataupasa tuwe wapenzi na unioe.
“Usijali hakuna kinachoshindikana chini ya jua”.
Ingawa Juliana hakuwa tayari kulala na mme wa mtu lakini kwa jinsi Lucas alivyopiga magoti akiongea kwa hisia alijikta akaimuonea huruma. Juliana alimpa ishara kuwa amsogeleee hapo kitandani. Lucas alijipigia makofi ndani ya moyo wake na kujua mpaka hapo ameshashinda na atajilia vinono usiku huo. Walisogeleana na kaunza kupeana denda. Julaian aaliwmambi azime taaa lakani Lucasa hakuaka kusikia ilikuwa haitulii mara ishike makalio, mara matiti maradi tu kuonesha alaikuw ana njaa sana ya kula chakula hicho cha usiku. Lucas alaikuwa na papara sana maana alaitaka kufanya jambo kwa haraka kabla mlimbwende huyo hajabadilisha mawazo. Alijua kabisa kama atachelewa anaweza kujimwa kama mara ya kwanza.
Yaani hata mda wa romance haujaisha tayari alishauzamisha mtwangio wake kwenye kinu cha Juliana.Juliana alishangaa na kuona hana haraka sana yaani hata ule ute ute wake haujashuka si atamchubua huyu kitu ambacho ni hatari sana kwa maambukizo ya ukimwi na magonjwa ya zinaa. Juliana akaamua kuichomoa makusudi tu ili aoene atafanyaje, aaaah wapi kwani anataka sasa akichomoa anachomeka, akichomoa anachomeka ikawa kama wanashindana hivi. Na kwa kuwa Juliana amelala na tumbo amewekaa mto tumboni na kuruhusu mashine yake kubinuka kwa nyuma tayari kwa kukoboa ana kusaga hivyo alishindwa kumtoa.
Mashine ya Lucas ilikuwa haifiki vizuri kutokana na ukubwa wa makalio ya binti huyo. Basi Lucas ilibidi amgeuze na Juliana akapanda juu na kufanya yake. Hapo uvumilivu ulimshinda Lucas maana Juliana alikizungusha sana kichwa cha nyoka wake mpaka akahishi atakinyofoa na yeye akapiga kelele huku akitaja jina la Julieth. Utamu njoo utamu kolea Lucas alisahau machingu aliyokuwa nayo kwa muda. Lucas alifurahishwa na mnato mnato kwenye kinu cha mlimwende huo. Pia alifurahishwa na gundi ya mlimbwende huyo jinsi ilivyokuwa ikizungushwa kwenye kirungu na kufanya kuganda na kung’ang’ania kwenye utamu asili wa ndani ya mzinga wa Juliana.
Waleteee waleteeee wazungu weeeupeeeeeee..Pwaaaaaaaaaaaaaa..Lucas alimwaga tui la nazi kwenye sufuria la Juliana. Mbaya zaidi tui hilo alikufika ndani ya sefuria kwa maana kimwagio kilifungwa na kuziiwa na karatasi lilotumika kufunikia sufuria kuwezesha chakula kuiva kwa usalama zaidi.Juliana alikuwa bado kwenye kuhitaji mchezo hivyo aliamua kufanya jambo ili na yeye aweze kuridhika. Aliichomoa pipi mdomoni na kuvua lile ganda ambalo utamu ulimwagikia. Akavuta vizuri kwa taulo lilolokuwa hapo kitandani. Alitamani hata kuulamba utamu huo sema ndo hivyo hakuwa na imani saana maana pipi ukiila kwa mara ya kwanza lazima uwe makini.Aliivuta vizuri na alitumia mikono yake kuisisimua ili isilale tena. Alihisi kabisa hajapata raha ambayo alikuwa akihitarajia. Bila kutarajia na bila hata kuuvalisha soksi mguu wa Lucas aliuchukua na kuingiza kwenye kiatu chake.
Lucasa hata yeye alishtuka sana lakini hakuweza kukataa raha ambazo alikutana nazo.Sasa aliusikia mnato manato wa chungu hicho chenye joto la huba. Kumbe pipi ikiliwa bila maganda huwa tamu hivyo kila mmoja aliwaza moyoni mwake. Walipeana mambo na sasa walisahau kuwa kulikuwa na kitu kinachoitwa ukimwi huko duniani. Walifanya kwa staili zote na kweli walifanikisha dhamira yao ya kusahau shida kwa muda. Hakuna aliyejua nini kiliendelea maana walikuja kushituka ilikuwa ni asubuhi..

*******ITAENDELEA*********


SASA UTASHANGAA KUTA UNATOKA CHUMBANI UMESHIKA MTOTO KIUNO UNAKUTANA NA BOSS KASHIKA CHA MKEO HAHAHAHAH ALAFU ETI NTASHANGAA UNAMINDI... WE KAKA LUKA WEWE MASHILAWADU TUNAKUONA..
 
MAMA VANESSA

SEHEMU YA SITA

ILIPOISHIA
Kumbe pipi ikiliwa bila maganda huwa tamu hivyo kila mmoja aliwaza moyoni mwake. Walipeana mambo na sasa walisahau kuwa kulikuwa na kitu kinachoitwa ukimwi huko duniani. Walifanya kwa staili zote na kweli walifanikisha dhamira yao ya kusahau shida kwa muda. Hakuna aliyejua nini kiliendelea maana walikuja kushituka ilikuwa ni asubuhi..
ENDELEA
Lucas akawa anajinyanyua ili aweze kwenda kuoga. Bila kutarajia mwanamke huyo alimshika mkono mara baada ya kuona anajifunga taulo. Juliana alikuwa akijiamini sana na hakutaka kuzikosa raha za asubuhi. Tangia aanze harakati za kushiriki tendo la ndoa huwa anapenda sana mapenzi ya asubuhi kwa kuwa yanampa raha sana kuliko hata ya usiku. Alimvuta kwa nguvu akaangukia kwenye kifua chake. Haikuhitaji elimu ya chuo kikuu kujua kuwa binti huyo alikuwa akitaka kutoka jasho asubuhi hiyo. Walianza tena kutafuta mizuka ya kushiriki hicho ambacho walikitamani. Lucas alishangaa kuona kuwa joto la binti huyo likiwa juu sana. Joto hilo liliamsha hamasa kumbwa sana na kujikuta wanaanza kufurahia. Walibiringizana na kila mtu sasa akapata hamu kumbwa ya kushiriki kitendo hicho. Lucas kuonesha kuwa alikuwa na mzuka uliopanda ghafla alimbeba juu juu binti huyo na kumpeleka kwenye kochi lilokuwa kwenye chumba hicho.
Juliana na yeye alitoa ushirikiano wa hali ya juu.Akasogeza kiuno chake kwa mbele kisha akapanua miguu na kuikunja kama vile anaipeleka kwenye matiti yake.Baada ya hapo Lucas akawa ameona sehemu ambayo alitakiwa kupashughulikia. Alishika mtwangio wake ambao ulikuwa umesimaa vizuri huku ukitoka na kamasi jembamba linalovutika vutika.Aliushika kisawasawa kwenye shina na kubakiza kichwa tu cha kirungu hicho.Hapo sasa Lucas alianzia chini na kupanda juu taratibu huku Juliana akizidi kujipanua akijua labda mwanaume huyo ataizamisha yote.Lakini lengo la Lucas ni kuchezea eneo hilo mpaka litoe na lenyewe kamasi jembamba la huba kama lile ambalo lilimtoka hapo kabla. Lucas aliamua kumpa alichotaka tena kwa ufundi mkumbwa. Alitaka kumuonesha kuwa yeye sio mwanaume wa mchezo mchezo.Akawa anapanda na kushuka kwenye Ikulu ya mlimbwende huyo huku mkono wake mmoja ukiendelea kumtomasa tomasa kwenye matiti yake. Utomasaji wa Lucas Manyama uliongeza msisimko mkumbwa sana kwa Juliana.
Kwa kuwa Juliana alikuwa amekunja miguuu yake hivyo Manyama hakuona jinsi anavyojisikia. Lucas aliendelea kuzungusha kichwa cha kirungu chake sehemu hiyo kwa speed kubwa sana. Alifanya hiyo huku mkono wake mmoja ukiendelea kutalii kwenye kichuguu huba cha binti huyo.Alifanikiwa kupata kile alichokuwa akikitafuta maana aliona majimaji yakitoka sehemu hizo huku yakiwa yanavutika.Ulikuwa ni ute ute wa asubuhi baada ya fukuto ya huba kumkolea mlimbwende huyo.Taratiibu Lucas Manyama alihama eneo la nje ya ikulu ya Juliana na kuingiza mtwangio kwenye kinu chake.Aliingiza kidogo sana huku dole gumba lake likiamia pale kwenye kisimi na kuendelea kukisugua.Ailiweka kirungu chake kwa muda mchache sana kisha akarudi kuzungusha kichwa kwenye kisimi.Mtoto wa watu alizidiwa na alikuwa amelowana vya kutosha akaanza kulalamika
“huuuuuu babeeeeee nipeee tuuuuuuuuuuuuu nipe eee mpeeeenziii waaaaanguuuuuu….Jaaaamaaaaniiiiii miiimiiiiii nataaaakaaaaa” alilalamika hukua akishika mashine ya Lucas kwa nguvu na kuichomeka. Lucas alifurahiswa na manung’uniko ya mlimwende huyo na kwa kutaka sifa zaidi ya kumuoneshea kuwa yeye anayajua mapenzi. Alimnyanyua juu juu huku kisu chake kikiwa kwenye ala yake na kumpeleka kitandani.Hakuona haja ya kumtesa sana maana miguno yake hata yeye alishamtia mshawasha wa hali ya juu.Alimuweka ile stahili maarufu ya kizamani au kifo cha membe. Mkao huu ulikuwa ukipendwa sana na Lucas Manyama. Ingawa watu wengi wanasema mkao huu ni wa kilokole lakini kijana huyu aliupenda hasa mara baada ya kugundua kuwa Juliana sio mzembe kitandani ni mwepesi wa kucheza na hisia zake.
Alimlaza chali huku miguu yake akiipanua na ilivyopanda juu Juliana kwa utundu wake akakunja sehemu ya magoti yake kuelekea kifuani kisha akaegesha miguu yake kwenye mabega ya Lucas.Hapo kina cha uke wake kiliongezeka na kuufanya uume wake uende chini sana.Hapo aliikandamiza yote huku akisikilizia utamu utamu wa asali ya huyo. Lucas alishangaa kuona bao la asubuhi hata halitoki. Alijishanga kwa sababu pamoja na ufundi wa kufanya mapenzi aliokuwa nao bado huwa ana tatizo la kuwahi kufika kileleni hasa kwa bao la kwanza.Lucas alikua amechoka na kumuachia Juliana afanye kazi . Hapo sasa ilikuwa ni zamu ya Juliaana kuonesha ujuzi wake.Akapanda juu akakalia mzigo wa Lucas huku mwanaume huyo akiendelea kuwa chini. Lucas ailisikia raha kwa jinsi Juliana alivyokuwa akizungusha huku akimshika shika kwenye kifua chake.Alikuwa anazungusha na kutengeneza mduara na kumfanya atamani kulia kwa raha alizozipata.Mara binti wa watu alitulia tuli na kuanza kuvuta pumzi kwa nguvu.. Ni kwamba alitosheka jambo lilomfanya Lucas kupiga mashambulizi ya kutoka chini na hatimaye na yeye safari yake iliyocheleweshwa kwa muda mrefu ikiwa imefika tamati. Walipumzika kwa muda na baadaye Lucas akakumbuka kuwa alitakiwa kufanya lile zoezi lake la kwenda kuoga. Alitamani kumwambia kuwa waende kuoga wote lakini binti huyo alionesha kuchoka sana. Kwa kifupi alipitiwa na kausingizi mchwara. Lucas aliingia bafuni na kuoga huku kimoyomoyo akiendelea kumpa pongezi kuwa ni fundi. Alifurahi sana maana penzi hilo lilimfanya asahau shida kwa muda.
Alitamani kama mwanamke huyo angeendelea kuwa karibu yake ili kuendelea kumfariji na kumfuta machozi. Akiwa bafuni alisikia simu yake ikiita hivyo alifanya haraka haraka ili awahi kutoka. Alitoka bafuni na kukuta Kimaro ndo alikuwa akmpigia. Alimuuliza kama alifanikiwa kuamka salama na vipi kuhusu ratiba zake maana yeye alikuwa akiondoka eneo hilo ili kwenda kuendelea na majukumu mengine. Lucas alimweleza kuwa yeye anataka kurudi Musoma kwenda kuendelea na harakati za kuyamaliza matatizo yake. Lakini alimwambia kuwa binti Juliana alikuw abado amelala. Akamwambia hasiwe na wasiwasi ngoja amwambie pacha wake ampigie ili waende kunywa supu kabla ratiba zingine hazijaanza. Neno kunywa supu lilikuwa faraja sana kwa Lucas maana kama ni njaa aliisikia na ukizingtia jana usiku walipombeka sana hiyo ilikuwa faraja. Hakuwa na pesa lakini hakuwa na wasiwasi kwa sababu rafiki yake alikuwa ni mtu mwenye pesa na mtu mwenye utu pia.
Kweli simu ya Juliana iliita muda mfupi mara baada ya Kimaro kumpa maelekezo Lucas. Alisikia mwenziye akimwambia kuwa waaamke wakanywe supu kasha waeendeleee na ratiba zingine za kimaisha. Juliana baada ya kukata simu aliamka kizembe zembe huku akionekana mwenye uchovu wa huba. Jicho lilkuwa ndembendembe mpaka Lucas akajikuta akimtamani tena. Safari hi hakuwa na aibu yoyte aliondoka akiwa uchii na kuingia bafuni. Lucas bila kutarajia alijikuta akidindisha na kumtani hata aneenda kuoga na mrembo huyo. Alijona ni kipofu hasiweza kuona na alikuwa amepofushwa na penzi la siku moja la Juliana. Aliamua kupotezea mawazo hayo na alivaa nguo zake. Baada ya muda mfupi binti huyo alitoka bafuni na kujiandaa. Alivaa kisha wakatoka nje ya lodge hiyo ambapo Kimaro na mpenzi wake walikuwa kwenye gari wakiwasubiri. Hoa waliondoka zao na moja kwa moja walienda kwenye sehemu ambayo wangeweza kupta supu safi. Kwa kuwa walikuwa Mwanza walifika sehemu ambayo ilikuwa ni maarufu sana kwa utengenezaj wa supu hiyo. Waliongozana kama wapenzi na bila aibu walishikana mikono. Kimaro alimshika Julieth na Lucas alimshika mkono Juliana. Wakati wanaingia bila kutegemea hana kwa hana walikutana na Mishel mke wa ndoa wa Lucas. Mishel alikuwa mwenyewe na hata yeye alionekna kushangaa sana hakutegemea kama atakutana na Lucas tena akiwa amemshika mkono mwanamke kama vile walikuwa wapenzi. Mlango wa kuingilia uligeuka kuwa mdogo…
********ITAENDELEA********
HIKI KITU NILIHISI NA NIKASEMA KABISA..... AYA TULETEE SEHEMU YA SABA HUO MLANGO ULIPITIKAJE BAADA YA KUA MDOGO...
 
MAMA VANESSA

SEHEMU YA SABA
ILIPOISHIA
Mishel alikuwa mwenyewe na hata yeye alionekna kushangaa sana hakutegemea kama atakutana na Lucas tena akiwa amemshika mkono mwanamke kama vile walikuwa wapenzi. Mlango wa kuingilia uligeuka kuwa mdogo…
ENDELEA
Kila mtu alaimwangalia mwenzake kwa jicho baya. Jicho la kutaka hata kurusha konde kwa mwenziye. Lucas kwa kuwa jana alikasirishwa sana na kitendo cha kumuona mwanamke huyo akiwa na boss wake hakuamua kumsemesha zaidi alimpisha na kupigahatua kuelkea ndani. Kimraro alikuw aakieelewa kilichokuwa kinaendelea. Walienda kukaa huku Juliana akiwa dilemma hasijue ni nini kilikuwa kikiendelea. Alikuwa na maswali mengi kchwai mwanamke huyo ni nani na mpka azuie msafara kwa muda.
“Mpenzi mimi sijaelewa Yule mwanamke ni nani na mbona kila mtu alishtuka”Julieth alihoji.
“Jamani mpenzi mbona unpoteza kumbukumbu kirahisi hivyo huyu si ndo mke wa Lucas na hata jana si ndo huyu nilienda kumpigia simu”.Kimaro alijibu.
“Ohhh jamani kumbe ndo mzuri hivyo.. Pole shemeji yangu wacha tu upokonywe sio kwa uzuri ule” Julieth ilibidi ampe tu sifa zake.
Julian asasa hakuhitaji kuuliza tena maana alishajua mwanamke huo ni nani na kwa nini Lucas ana haki ya kuteseka. Alimuonea huruma sana na hakujuta kumpa faraja usiku wa jana. Alijiuliza mbona mwanume huyo anayajua sana mapenzi kitandani sasa inakuwaje mwanamke hamkimbie. Yaani wanawake sisi ni wajinga sana yaani kisa pesa mtu yupo radhi kumuacha mumewe aliendelea kuwaza Juliana. Walikunywa supu na dhairi Lucas Mnayama alionesha kuchanganyikiwa kabisa. Ilibidi washtuke na pombe kali kidogo walau kupunguza mawazo. Kimaro alimuonea sana huruma rafiki yake na akajikuta akiharsha ratiba zake. Waliendelea kunywa huku wakipiga stori mbalimbali. Wasichana hao walionekana kama na wao wameridhika na starehe za asubuhi maana hakuna hata mmoja ambaye alikuwa anasisitiza kuondoka na kusitisha kikao hicho.
Wakati wakiendelea na stori na vitu vingine mara simu ya Lucas iliita. Alipoangalia alikuwa ni Mama Vanessa mwanamke ambaye hakumfahamu na alikuwa akitaka waonane. Akakumbuka mwanamke huyo alimwambia kuwa ana mpango wa kusafiri hivyo ilimpasa kuonaa siku hiyo. Aliangalia saa ilikuwa ni saa sita mchana na kutoka Mwanza mpaka Musoma . Alimwambia kuwa yupo Mwanza ila atakuwa hapo baada ya masaa 3.
Walikubaliana kuwa wakutane saa 10 ili waweze kuonana na kujadili hicho alichokisema mama Vanesa. Ilibidi atafte njia ya kuga hapo na kuondoka. Alimwelza Kimaro kuwa inamps akuondoka ili aende kuoanana na mtua ambaye ansema kuwa anazijua habari za mke wake. Kimaro hakuridhika lalkini kwa kuwa alishapewa fununu juu y amwnamke huyo. Alaigana na Juliana na kumwambai kuwa watasiliana. Julaina alisangaa kuwa watawasilaina vipi hili hali hata namab za simu walikuwa hawajaombana. Ilikuwa ni ishu ya kufurahisha lakini alaiitiki akuwa watawasiliaana. Aliaga na kuondoka zake. Kimaro alimpeleka mpaka stend na kuhakikisha kuwa anapanda gari.Aliondoka na kuaza safari ya kuelekea Musoma. Alifika salama na moja kwa moja alielkea sehemu waliyopanga kukutana inayoitwa Dream Garden. Alivyofika hapo nje alinyanua simu na kumpigi amama Vanesa. Simu iliita mpka ikakatwa bila kupokelewa. Akasubiri kama baada y adakika akapiga tena na simu ikaendelea kuita bila kuokolewa.
Akawaza cha kufanya lakini hakupata jibu la haraka haraka zaidi aliamua kuingia ndani. Wanawake bwana ni watu wa ajabu sana huwa hawapendi muda kabisa sasa utakuta muda huu ndo kwanza bado yupo nyumbani. Mara kwa pemebni yake alioga gari la kifahari likipati na alishuka mwanamk mrembo sana amabye alikuwa akinukia marashi ya bei mbaya. Aliamua kuingi andani na liofika alikaa kwenye kiti ambacho ilikuwa ni rahisi kuona mtu yeyote ambaye angingia. Aliagaiz amaji na kuendelea kunywa. Aliangaza macho huku na kule lakni hakuona msichana aliyeingia. Hasira zilimpanda kwa sababu alishampigia simu mara mbili lakni hata hajamtafuta. Mara alimuona Yule mwanamke mrebo amabye alikuwa akimpigia simu akiingia. Hkauw ana mawazo kuwa huyo ndiye anayejihita mama Vanesaa maana yeye taswira aliyokuwa nayo kuwa mama Vanesa atakuw amtu wa makamo.
Mara simu yake iliita na alipoipokea swali lilikuwa amekaa wapi. Akamweleza na alishangaa kumuona Yule mwanamke akiongoza moja kwa moja mpaka pale alipokuwa amekaa. Lucas macho yalibaki yamemtoka na kuduwaa. Alipigwa na butwaa maaa na alaishindwa kuolewa kuw ahuyo ni mmama au mdada.
“Samahani sana kwa kuchelewa na kutopokea simu yako kwa wakati..Nikiwa naendesha gari huwa sipendi kupokea simu.
“Sawa karibu mama Vanessa” alisema Lucas huku akiendelea kumkagua hasa sehemu za kifuani. Kwa mawazo yake ya kupenda ngono tayari alishaanza kuwaza vitu ambavyo hakustahili kabisa..
“Kama nilivyojitambulisha mwanzo mimi naitwa mama Vanessa mwanamke maarufu hapa mjini na ni mke wa boss wako..
“Mke wa Boss wangu?”
“Ndio mimi ni mke wake na ndoa yetu ndo kwanza ina mwaka mmoja alinioa mimi mara baada ya mke wake wa kwanza kufariki..Nafikiri kipindi hicho wewe ulikuwa bado hujaja.
“Ni kweli hata mimi nilishasikia kuwa boss alifiwa na mke wake”.
“Kwa hiyo nimekuita hapa kwa ajili ya mpango wa kulipa kisasi. Nakuomba unisikilize kimakini sana maana tunaweza kuwa rika moja. Kwanza boss wako ana mtoto anayeitwa Vanesa mtoto huyu alikuwa mdogo wakati mama yake anafariki kwa hiyo usijefikiri mimi ni mkumbwa. La hasha mimi ni mdogo ila nimejikuta nikiingia kwenye maisha ambayo sikuyatarajia. Pesa na upendo wa uwongo umenifanya niolewe na boss wenu. Kwa sasa sina amani kabisa na sina furaha aninipa kila kitu isipokuwa mapenzi.
Hana mapenzi ya kweli amekuwa Malaya yaani anabadilisha wanawake kama nguo. Yaani huyu baba ana mtoto wake mkumbwa ambaye ndo ameingia chuo huwezi amini huyo motto na baba yake ni kitu kimoja. Mtoto anadiriki kumtafutia baba yake wanawake. Yaani anawaunganisha na rafiki zake.Nanyanyasika sana mimi na uzuri wangu huu baba Vanesa anatembea mpaka na wasichana wadogo ambao hata hawana mvuto kunizidi mimi. Ninajua kila kitu kuhusu wewe najua jinsi gani ulivyonyanyasika mpaka ikafikia kusimamishwa kazi na mbaya zaidi amemchukua mke wako. Nasikia amempa moja ya nyumba zake ambazo amejenga kwa siri ambazo hata sisi wanafamilia hatuzijui. Kwa nini huyu mwanaume anafanya hivi tena kwa vijana wadogo kama ninyi?”
Mama Vanessa aliongea kwa uchungu sana huku akifuta machozi. Alikuwa na hisia ambazo kwa kweli Lucas hakutarajia.
“Pole mama Vannesa na mimi naumia sana, naumia kuliko hata unavyoweza kufikiri, embu tazama hizi picha kisha ndo utagundua kuwa huyo mumeo sio mwanadamu kabisa, hana utu ni mnyama aliyepitiliza”
Lucas alimpa simu yake na kuanza kumuonesha picha zile ambazo alimpiga akiwa na mkewe huko Mwanza. Mwanaume huyo hakuamini na badala yake alianza kulia kwa nguvu. Alilia kama mtoto jambo lilomfanya Lucas aanze kumbembeleza…

****ITAENDELEA
 
MAMA VANESSA

SEHEMU YA NANE
Katika kitu ambacho Lucas huwa kinamnyima raha ni kuona mwanamke akilia mbele yake. Yaani yeye mwanamke akijilIza basi huwa anamwamini kupita kiasi. Alimbembeleza mpaka Mama Vanesa akanyamaza. Kwikwi zilimkaba sana na alikuwa akiona kabisa kijana huyo ameonewa. Mwanzo hakuwa na ushahidi wa moja kwa moja lakini zile picha zinazomuonesha mme wake akiwa na mke wa Lucas zilimuuma kupita maelezo.
“Kwa hiyo haya yote yametokea nini sasa kifanyike” Lucas alihoji mara baada ya mama huyo kubembelezwa na kurudi katika hali yake ya kawaida.
“Ndo maana nimekuita hapa ili tupange mambo na ikibidi tumkomeshe”
“Wewe unataka tumfanyeje hili hali yeye ni boss mwenye fedha. Nikikuruka na kujifanya mjuaji sana ndo nafutwa kazi kabisa.”
“Siku zote usikubali kupoteza haki yako kisa kuogopa kufukuzwa kazi. Usikubali kunyang’anywa mke au hata uhuru wako kisa pesa. Nakuambia tukiungana mimi na wewe tutafanikiwa kwa hili. Dawa ya moto ni moto na hivi tunaushahidi, hiyo kazi huwezi kufukuzwa. Mimi ndo Emmy hilo jina la mama Vanessa ni la heshima tu.
“Sawa Emmy ingawa nitapenda kukuendelea kukita mama Vanesa ni jina zuri linatamika vizuri. Ingawa mtu anavuta taswira laba ni mama kweli”.
“Kila mwanamke ni mama maana hata kama bado hajazaa ipo siku atakuja kuzaaa”. Sio mbaya ukiiita hivyo maana hata Vanesa mwenyeewe anajua kuwa mimi ndo mama yake. Alifafanua mama huyo.
“Sawa lakini bado sijajua mpango mkakati ni upi?
“Ni mdogo tu ukitendwa tenda, ukipendwa pendwa”.
Maneno hayo yalikuwa bado yanamuacha njiapanda Lucas Manyama hakujua mwanamke huyo alikuwa akitaka nini hasa kutoka kwake. Maneno hayo kwake yalikuwa yakiahshiria kuwa mama huyo alikuwa akitaka alipe kisasi kwa wao kuwa wapenzi. Kuna vitu vilikuwa vikimtatiza kwanza kwa nini mama huyo alichagua njia hiyo ya kulipa kisasi kwa nini wasipeleke ushahidi a idara ya kazi na kueleza kuwa alikuwa akisimamishwa kazi kwa sababu ya hujuma za boss wake ambaye alitumia uboss kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mkewe. Hili jambo lilimuumiza sana hasa akikumbuka ni mbali sana alipotoka. Alifikiria jinsi alivyomsomesha mke wake tena kwa tabu mpaka akafanikiwa kupata elimu na baadaye kazi. Alifikiria tukio la yeye kusimamishwa kazi na kuona kabisa haikuwa sawa. Wakati Lucas akiwaza na kuwazua mara simu ya mama Vanesaa ikaita.
Mama Vanesaa aliangalia na kusita kupokea maaana aliyekuwa akipiga ni baba Vanessa. Simu haikukukoma maana ilivyokata ikapigwa tena na safari hii mama Vanesaa alipokea.
“Upo wapi mke wangu maana ndo nimerudi kutoka Mwanza kwenye semina nimefika nyumbani sijakukuta?”
“Nimetoka kidogo mme wangu na si muda mrefu nitakuwa hapo kuna vitu tu nilienda kuvinunua kwa ajili ya safari yangu ya kesho.”
“Sawa huwai kurudi basi maana nimekumisss sana na nimekuletea zawadi nzuri mke wangu..
“Usijali honey nakuja”.
Lucas Manyama alikuwa ametega sikio na kusikiliza kila kitu kilichokua kikzungumzwa. Aliisikia vyema sauti ya boss wake. Roho ilimuuma na hakutarajia kwa picha zile zikimuonesha mke wake na boss wake wamekumbtaina wakicheza musiki Mama Vanesa angeweza toa majbu ya kukera yenye hasira. Na mama Vanesa hasingeongea hivyo kama vile hakuna kitu kibaya kilichotokea. Alitarajia mwanamke huyo atamtukana mwenyewe.
“Samahani boss wako amepiga na usiumie kwa mimi kuongea naye vizuri. Cha msingi tambua namtafutia dawa ya kumkomesha na mimi siku zote maishani mwanangu huwa sipendi kukurupuka na iktokea tatizo huwa natafuta njia ambayo itamuumiza muhusika. Kwa hiyo mkakati upo hivi mimi naenda Dar nitakaa kwa muda wa wiki moja kisha nitardi. Baada ya hapo tutakutana lakini nakuomba kwa wakati huu tuwe makini sana usikurupuke katika maumivu tufanya kama hakuna kibaya cha kuumiza moyo kilichotokea. Mama Vanesaa baada ya kusema hayo alifungua pochi yake na kutoa burungutu la pesa na kumkabidhi. Alitabasamu na kumuaga. Lucas alitamani amwambie hasiondoke lakini tayari ilikuwa ni hatari kama mme wake alishakuwa mjini. Mme wake licha ya kuwa boss katika benk ambayo alikuwa akifanya Lucas pia alikuwa ni mfanyabiashara hapo Musoma na nadiriki kusema alikuwa tajiri. Mama Vanesaa kazi yake kubwa ilikuwa kusimamania biashara hizo. Kwa hiyo ni mwanamke ambaye alikuwa akikutana na pesa karibu kila siku.
Kwa Lucas kupewa fedha ilikuwa zaidi ya ushindi kwa sababu alikuwa hana pesa kabisa. Yaani mfukoni alikuwa amebakiza shilingi elfu 10 na tayari account yake ya benk ilikuwa ikisoma ziro.Baada ya mama Vanesa kuondoka yeye alihesabu zile pesa na kukuta zilikuw laki moja. Alitabasamu na kusema asante Mungu kwa kuendelea kumsaidia kupitia watu.Aliamua kuondoka eno hilo maana anajijua kabisa akikaa baaa hachelewi kuanza kutamani kunywa pombe. Alimwita muhudu akamlipa na huyo akaeleka zake nyumbani kwake alipopangisha mitaa ya Iringo. Alifika akawasha Tv na kuendelea kuangali movie. Lengo lilikuwa ni kupoteza muda na mawazo aliyokuwa nayo. Alimwanza mama Vanesa jinsi alivyoumbika akashindwa kuelewa kwa nini boss wake hatulii wakati ana mke mzuri.
Siku ikawa imeisha hivyo na usiku mama Vanesaa alimtumia sms akimtakia usiku mwema. Usiku pia alimkumbuka Juliaana binti ambaye alimpa mapenzi usiku wa jana na kumfanya hasahu shida kwa muda. Alifikiria mengi na kujikuta akinyanyua simu na kumpigia rafiki yake Kimaro. Alikumbuka fadhila ambazo alimtendea na alimweleza kilichoendelea baada ya yeye kufika Musoma.
“Hapo mbaba ndo muda wa kulipa kisasi boss si kakupokonya mke wako na wewe fanya kweli. Tena kwa jinsi ulivyonielezea ni kwamba huyo mwanamke anataka duduuu.
Kimaro alabaki akiangua tu kicheko na kumwambia yeye anachohofia ni kushindana na watu wenye pesa maana kazi atakosa na gerzani ataingia.
“Kuhusu kazi usiogope mbaba nitakutafutia hata sehemu ya kujishikiza ila wewe kula huyo sijui mama Vanessa. Na ukifanikiwa nipigie picha mkiwa naye chumbani mimi nitajua cha kufanya. Nitalipa ghali ….aaaaaaaaaaaaaah. Hapa ni mjini hatuwezi sumbuliwa na mtu sijui kisa ana vichenji.”
Wakati wakiendelea kuongea na kupeana mbinu mbaya za kupambana na matatizo yaliyotokea simu ya Lucas ilikuwa ikiita. Alivyokata tu ikaita tena na kuangalia alikuwa Mishel mke wake wa ndoa.
*************ITAENDELEA
 
MAMA VANESSA

SEHEMU YA TISA
Yaani alijikuta akianza kutetemeka bila yeye kupenda. Hukujua kwa nini mkewe alikuwa akimpigia wakati huo. Alishindwa kabisa kuamini kama mkewe ambaye alikuwa hapatikani takribani wiki mbili sasa ndo huyo alikuwa akimtafuta. Alisita kuipokea na aliiacha maana tayari hasira zilikuwa zimempanda kupita kiasi.Baada ya yeye kukataa kupokea simu kwa hiyari yake kuna sms iliingia.
“Kwa mjinga huenda kicheko kwa mwelevu huenda kilio.Nashukuru kwa kutopokea simu yangu. Ila tambua mimi ni mke wako wa ndoa na hakuna cha kututenganisha.”
Lucas alirudia kuisoma ile SMS na kujikuta akizidi kuchanganyikiwa maana maisha yalikuwa yakimchanganya kwa kiasi kikumbwa.Alitamani hata kulia lakini alilia machozi yaliyoishia ndani ya moyo wake. Kijasho chembamba kilimtoka na kujikuta akiwasha feni ili hewa iiingie. Bado hakupata hafueni na akaamua kutoka nje kabisa. Alikuwa kifua wazi huku akitamani hata kunywa pombe. Alikaa hapo kwenye kibaraza cha nyumba. Mawazo ya uchngu yalizidi kuunyanyasa ubongo wake. Moyo wake ulizidi kunyong’onyea kwa hasira ya mambo ambayo yalikuwa yakiendelea. Alitamani ardhi ifunguke na yeye aingie ndani. Maisha kwake yalikuwa ni mtihani mkumbwa sana ambao kwa kweli uliitaji nguvu za ziada kukabialiana nao. Nyumba aliyokuwa akiishi ni nyumba ambayo ilikuwa ikiongozana na Lodge. Kwa hiyo wakati akiwaza na kuwazua macho yake aliyaelekeza moja kwa moja kwenye lodge hiyo. Aliona gari likiingia eneo hilo na ni kama vile alikuwa akilitambua gari hilo ni la boss wake. Alishangaa kwa sababu walivyoachana na mama Vannesa boss huyo alieleza kuwa amefika nyumbani kutoka Mwanza kwenye semina.
Ilimlazimu kusimama maana alihisi kama amefananisha hilo gari. Kwa kuwa yeye alikuwa gizani hakuwa na hofu sana maana mtu alaiye kwenye mwanaga ilikuwa ni ngumu sana kumwona. Alishangaa kuona boss wake huyo akishuka na mwanamke mwingine ambaye na yeye hakuhitaji mwanga wa mchana kujua kama alikuwa ni mrembo. Alitamani hata kuwapiga picha lakini wahusika hao waliingia kwa haraka sana. Wazo lilomjia ni kumpigia simu mama Vanesa na kumuuliza kama mumewe alikuwepo nyumbani au la. Aliingia ndani na kuchukua simu yake ambayo alikuwa ameiweka chaji. Alipiga namba za mama Vannesa lakini kwa bahati mbaya simu hiyo haikupokelewa. Haikuwa usiku sana lakini alishindwa kupiga tena kwa imani kuwa huenda ni usiku na yupo na mumewe. Aliamua kuamini kuwa alichokiona haikikuwa sahihi na zaidi ilikuwa ni hisia zake tu. Alitamani kwenda mpaka kwenye ile lodge lakini alikuwa na hofu huenda akaanza kuulizwa maswali mengi na mlinzi.
Kwa kuwa ndani kulikuwa na joto alirudi zake nje na kuendelea kutafakari mustakabali wa maisha yake. Roho iliendelea kupwitapwita kwa kuuma na kutamani kama angekuwa na nguvu ya kupambana na huyo boss. Pamoja kuwa wana pesa sitokubali kwa njia yoyote ile nifukuzwe kazi. “Afanye yote lakini sitokubali kwa maana kama anatembea na mke wangu na mimi nitatembea na mke wake. Sio mke wake tu hata mtoto wake. Nipo tayari hata kufa lakini sio kudhalilishwa kwa kiasi hiki kikumbwa. Mke anauma sana na sijui kwa nini nimeweza kuvumilia kwa kipindi chote hicho. Nitaenda hata kwa mganga kumloga. Maisha ndo haya haya kwa kweli sipo tayari kwa namna yoyote ile kudhalilika kisa madaraka au pesa.” Lucas aliyawaza hayo kisha akakunja uso wake kwa nguvu. Alikunja pia ngumi yake kwa nguvu akaizungusha kwenye uso na kuing’ata.
Usiku uliendelea kuwa mgumu sana kwa bwana Lucas Manyama. Kwa sasa alikuwa akisubiri kwa hamu kumbwa hiyo kamati ya nidhamau na maadili ya kazini kwao. Maisha yaliendelea huku akimwomba mwenye nyumba amvumilie kwa mwezi huo kwani mambo hayakai sawa kwa upande wake. Mwenye nyumba alimweleza bayana kuwa hatoweza kumvumilia zaidi ya mwezi hivyo kama hawezi kulipa kodi basi atafute kitu kingine cha kufanya. Zilikuwa ni kauli za kuumiza lakini alijikaza kama mwanamume na kuamini hizo ni changamoo za maisha na huwa zinakuja kwa nayakati na kuondoka na pengine kusaulika. Siku zilizidi kuyoyoma na hatimaye siku ya kusikiliza shitaka lake ilifika akaitwa. Alifika na kusikilizwa na inaonekana boss alijipanga sana maana utetezi wake haukufua dafu mbele ya kamati hiyo. Maamuzi yakatoka kuwa ataendelea kusimamishwa kazi mpaka hapo atakapo lipa deni la million 5 ambalo yeye amesababishia kampuni hiyo. Alitamani kutoa ya moyoni mwake kuwa boss alikuwa na uhusiano na mfanyakazi mpya ambaye na yeye alianza kuwa uhusiano naye lakini roho moja ilimwambia inampasa kukaa kimya maana anaweza kuharibu kabisa.
Lucas alijijengea katika maisha kuwa kamwe hasifanye maamuzi akiwa na hasira au akiwa hana mtu wa kumsapoti. Alitamani sana kuelezaa kamati hiyo ya maadili ya mabaya yote ambayo amefanyiwa na boss. Alitamani kuwaambia kuwa mfanyakazi mpya aliyekuja ndio chanzo cha ugomvi. Alitamani kueleza kuwa boss amemwaribia maisha kwa kumchukua boss wake. Hasira zilimpanda sana na bila kutarajia aliamua kuondoka hili hali kikao kilikuwa bado kinaendelea.
“Ndugu zangu kwa sasa nina hasira sana ambazo zimechanganyika na uchungu wa kile ambacho kilikuwa kikitokea.. Nina mengi sana ya kuwaeleza kwa kuwa mmeshindwa kunisikiliza naomba nitawakilisha ushahidi wangu wa picha na vitu vingine kuonesha ni jinsi gani nimeonewa sana na nimedhulumiwa haki zangu za msingi. Nimekuwa nikipitia kwenye kipidi kigumu sana na naamini kama kamati ya ndani ya maadili ikishindwa kunitetea basi nitaenda idara ya kazi” Lucas aliyasema hayo kisha akapiga ngumi kweye meza na kuanza kuondoka zake. Hakika alionesha kufadhaishwa sana na kilichojadiliwa hapo na kumfanya aonekane ana mengi sana moyoni lakini hana imani na sehemu hiyo. Alishindwa kuyawasilisha kwa kukosa imani na kamati ya maadili. Kamati ambayo ilikuwa imetengenezwa na boss kamati ambayo ipo radhi kupindisha ukweli kamati ambayo ipo tayari kwa gharama yoyote kulinda maslai ya kampuni.
Lucas Manyama aliondoka na kurudi nyumbani. Alikuwa ni mtu mwenye hasira sana na alichokifanya ni kununua pombe kali na kunywa. Alikunywa viroba japo huwa hapendi kabisa kunywa. Aliingia ndani na kulala. Alifanikiwa kupata usingizi akalala na alikuja kushtushwa na njaa ambayo ilikuwa ikimkabili. Alijinynyua na kwenda kutafauta kitu cha kula. Alikula na baaada ya hapo alaipata fusa ya kutafakari yote yaliyotokea kwenye kamati ya maadili. Limshukuru Mungu hakuweza kutoa ya moyoni maana anageweza kuchafua hali ya hewa na kufanya hata watu wapigane.Aliwaaambia yaliyojiri na wengi walimshauri kuwa awe mvumilivu kwa kipindi hiki na pia awaambie hiyo kamati yao impe kwa maandishi kila walichokijadili na maamuzi yake ili wasije mgeuka kipindi atakapoeenda idara ya kazi. Alikubali kufuata ushauri huo na akaseam kesho ataenda kazini. Baada ya kuongea na washauri wake kuna namba ngeni iliyokuwa ikimpigia , aliamua kuipokea.
“Helow mpenzi nimekumiss sana na siamini kama kweli umefika Musoma na hujataka kunitafuta.” Lucas alitega sikio kwa umakini sana na kufanikiwa kugundua kuwa alikuwa ni Juliana.
“Samahani sana mwenzio sipo sawa kwa kweli yaani maisha yananichanganya. Sio mimi ni maisha tu ndo yamenifikisha hapa.” Lucas aliongea kwa sauti ya upole.

****ITAENDELEA
 
MAMA VANESSA.

SEHEMU YA 10.

“Usijali mpenzi najua unaweza kuchanganyikiwa kwa majanga yaliyokukuta mke anauma sana na pengine kuliko kitu kingine chochote. Cha msingi kwa sasa usipende kukaa mwenyewe kuwa na marafiki watakusaidia sana”

“Asante sana Juliana kwa kuendelea kuwa karibu nami.Naamini pia katika ushauri wako, Wewe ni mwanamke mwenye akili ubarikiwe kwa ukarimu na ushauri.

“Mungu yu mwema naomba niwe karibu yako nahitaji kukupa faraja kwa muda wowote. Naamini kuwa naiweza hiyo kazi naomba nikupe faraja kwa kiwango cha kukufanya usahau shida kwa muda.

“Nashukuru sana Juliana kazi hiyo nimeshakupa na endelea kuifanya kwa umakini zaidi.”

Waliongea mengi na Lucas alimwaidi mrembo huyo kuwa wikiendi Mungu ikijalia ataenda tena Mwanza ili waweze kuwa pamoja. Jambo ambalo Lucas hakulijua ni kwamba Juliana alikuwa amepewa kazi hiyo ya kumpa faraja akishirikiana na Julieth kwa shinikizo la mpenzi wake Kimaro. Kulikuwa na ukaribu mkumbwa uliofanywa ili angalau Lucas hasione kuwa dunia ilikuwa imemtenga. Lucas akashindwa kuelewa kwa nini kipindi hicho wanawake walikuwa wakiwa karibu yake sana. Aliona kama ni bahati na anaweza hata kufanya maamuzi magumu ya kuwa na wasichana wengine wengi maradi kupunguza machungu ya kupokonywa mke wake. Pamoja kuwa alikuwa akitaka kufuata taratibu za sheria za kazi bado alikuwa akiamini na akatamani kuivuruga familia ya boss wake. Alianza kuifuatilia familia hiyo kuwa na habari za ukaribu. Kwanza aliambiwa boss huyo alikuwa na mtoto wa kike ambaye alikuwa mkumbwa na alikuwa akisoma chuo kikuu cha Dar es salaam.

Alifuatilia na kugundua kuwa binti huyo alikuwaa akiitwa Nancy. Alifanikiwa kuzipata mpaka picha zake na roho mbaya ilishamjia kuwa atamuharibia maisha binti huyo. Alipanga kutembea naye na kama yeye akishindwa basi atatumia marafiki zake ili ampate.Nia yake kumbwa ilikuwa kwamba Boss yake apate hayo maaumivu ambayo yeye alikuwa akiyapata. Alijua kabisa dawa ya moto ni moto na mke au mtoto anauma sana. Maumivu aliyopata yalikuwa ni makubwa sana ambayo yalimfanya afikirie unyama. Lakni kwa kuwa mama Vanesaa ameonesha kuwa anataka kuwa na mimi kwa ajli ya kulipiza kisasi basi nitaanza na yeey na mimi nipo tayari kulipa kisasai. Alendele akupanga mikakati yake ambayo aliamini kuwa itafanikiwa. Habari za matoto wa boss wake amabye alikuwa chuo kikuu cha Dar es salaa alikuwa akaizipata kutoka kwa rafiki yake ambaye alaikuwa kifundsiha hapo. Kkwa bahati nzuri kan baadhi ya vipibdi alaikuwa akimfundisha binti huyo. Yaani walikuwa wapo tayai hta kumfelisha mradi tu kulipa kisasi. Ingawa Nancy hakuw ana makosa aliingizwa kweye mango huo.

Siku zilizidi kuyoyoma na hatimaye mama Vanesa alirudi kutoka huko Dar es salaam. Kkw akipindi chote hicho walikuwa wakiwasiliana na mama Vanessa alimsahuri kijana huyo asikimbilie mahakamani au huko idara ya kazi kwa sababau hatofanikiwa. Alimweleza kuwa boss wake anajauna na watu wengi sana na anauwezo wa kununua hata haki. Alimweleza huyo anahitaji kufanyiwa kitu cha kibinadamu amabcho kitauumiza sana. Siku ya tatu tangia watoke Dar es salaam ndio siku amabyo walipanga kukutana. Lucas Manyama alipendekeza kuwa wasikutanie Musoma kwa sababu anahofia usalama wake. Walipanga kukutana Mwanza wakiamaini huko wanaweza kuweka mipango yao. Kinyume na mawazo ya Lucas kuwa mama huyo angekataa la hasha mama huyo hakukataaa na badaa yake alikubali.

Lucas alimshirikisha Kimaro juu ya mipango hiyo na Kimaro akapigilia msumari kuwa hiyo ndo chansi kumbwa sana ya kulipa kisasi.

“Yaaani wewe mwambie aje tena afanye mpango alale huku huku “ Kimaro alisisitiza.

“Sasa nitaanzaje kumwambia kuwa atalala cha msingi mimi naona tufanye kama siku ile. Akija hakuna cha kupanga mipango ni kula bata kwa kwenda mbele alafu baadaye tunampeleka ile hotel kisha tunachukua chumba alale.”

“Sio tunachukua chumba alale bali tunawachukulia chumba mlale. Tena hatutaenda pale pa siku ile tutaenda hotel kabisa yenye hadhi yake.Alafu mimi nitatagesha kamera zangu ukishafanikiwa kufanya nae mapenzi ndo hapo sasa boss atajua kuwa dunia duara na kila binadamu yupo kwenye mzunguko”

Waliweka mikakati yao na Kimaro aliaapa kuwa yupo tayari kutumia gharama yoyote ilimradi tu kukamilisha hilo. Ilikuwa ni faraja kwa Lucas kusikia kuwa kijana huyo atafanya kila awezalo kumsapoti. Basi siku ya kukutana Mwanza ilifika. Mama Vanesaa siku hiyo alikuwa amevaa kisichana na kumfanya aonekane ni mdogo sana tena rika moja na kina Lucas. Alivaa nguo za thamani nguo zilizompendezesha sana , nguo zilizofanya uzuri wake kuonekana.

“Aisee huyu boss wangu ni kiboko yaani hajawahi kukosea. Yaani atakuwa na ugonjwa na watoto wazuri. Yaani sio mke sio michepuko ni alikuwa akichagua wanawake wazuri wenye mvuto kwa kila mwanaume.” Mawazo hayo yaliojawa matamanio na uchu wa ngono yalikuwa yakiwazwa na Lucas akiwa kwenye hotel moja iliyojengwa ndani ya kisiwa kilichopo ndani ya ziwa Victoria.

“Umependeza sana mama Vanesa sasa mbona ulikubali kuwaacha vijana wenzio na kuwa na mzee” Lucas alitupa swali la kizushi.

“Mapenzi alinipenda akanichanganya na pesa zake basi nikajikuta naingia kwenye ndoa na baba mtu mzima”

“Hivi mama Vanessa sio kwamba ulimwacha mpenzi wako saiz yako na kuamua kuwa na huyu baba”

“Aisee una maswali mengi sana lakini usiwe na hofu maana maisha kuna kukosea na kujifunza”.

Muhudumu alikuja na kila mtu aliagiza kinywaji alichopenda. Lucas hakujivunga aliingiza kinywaji kigumu ambacho alijua kabisa kitamlipua kwa muda mfupi na kumfanya aongee vitu vizito. Bila kutarajia na mama Vanesaa alaigiz apombe kali. Alishangaa maana kwa msichana wa namna hiyo lazima angetumia vitu laini.

“Leo nataka nikumbushie enzi zangu maana sijatumia pombe kali tangu nimalize chuo” Mama Vanessa aliongea huku akijimiminia pombe kwenye glass.

Walikunywa na kwa muda mfupi tu mama Vanesa alianza kurembua na kuongea vitu vya ajabu ajabu ishara kuwa alikuwa amelewa.Hii ilimpa chansi Lucas kuanza kucheza na hisia zake ili aweze kujua kama anaweza kulala naye. Alichukua mkono wa Mama Vanesa na kuubusu. Mama Vanesaa akarembua macho zaidi na kusema anatamani kama angembusu mdomoni..

***ITAENDELEA
 
MAMA VANESSA
SEHEMU YA 11

Lucas na yeye hakutaka kufanya makosa alipeleka mdomo wake kwenye kinywa cha mama Vanessa. Alimbusu na kurudisha. Hakuwa na uhakika wa moja kwa moja kwani huyo mwanamke mke wa boss wake ameamua kujiachia na kuonesha yupo tayari kwa lolote. Kwa jinsi alivyokuwa mwanamke wa gharama isingekuwa rahisi hivyo kukubali kukutana na mtu wa chini kama Lucas.

“Nataka kuogelea”mama Vanessa aliropoka mara baaada ya kuangalia kwa muda mrefu maji ya ziwa na jinsi ambavyo watu walikuwa wakiogelea pembezoni mwa kisiwa hicho. Lucas alitafakari kidogo na kumwambia hasiwe na hofu ngoja akachukue boti ya mwendo kasi.

“Wewe mimi boti naogopa”

“Usiogope upo na mimi” Lucas alijibu huku akiondoka na kuelekea sehemu ambapo viboti hivyo vilikuwepo. Hakuwa na wasiwasi maana haikuwa mara yake ya kwanza kula bata eneo hilo.Hili kumuondoa hofu mama Vanessa, Lucas alilipanda kishakuingia ziwani. Aliweza kuliendesha kwa madaha huku akikata mwaimbi ya ziwa mpaka sehemu za mbali kidogo. Alifanya mbwembwe zote kuonesha yeye ni mwanaume ambaye haogopi maji. Mama Vanesaa alitumbua macho na kuona kweli mwanaume huyo ni mtaalamu wa kuchezea maji. Baadaye Lucas alikuja na kumpa mkono ili apande.Mama Vanesa alisita kidogo lakini alipiga moyo konde na kuingia kwenye boti. Walianza kuzunguka ziwa huku wakikata mawimbi.Mama Vanesaa alimshika vilivyo kwenye kiuno ili hasije akaanguka.Walifurahia maji na kwa kweli zile pombe ziliyeyuka. Mama Vanesaa alijihsi yupo dunia ingine kabisa maaana tangu aolewe amekuwa mtu wa kubanwa na hakuwahi kufurahia maisha kwa namna hiyo.

Walirudi sehemu waliyokuwa wamekaa. Wote walikuwa na nguo za mama Vanesa zilikuwa zimelowana. Ujue Lucas alipinguza nguo na kubaki na bukta lakini mama Vanesa yeye hakupnguza kitu. Lucas alikuwa ameliona hilo hivyo alimuuliza kama amekuja na nguo zingine.

“Vipi mama Vanessa umekuja na nguo zingine ili ubadilishe hizo maana naona umelowana.”

“Mwanamke lazima ubebe nguo zingine lakini shida nitabadilishia wapi.”

“Twende kule hotelini kuna chumba nilikuwa nimechukua.”

“Mmmh ulichukua chumba kwani umepanga kulala hapa?. Mimi mwenzio baba Vanesaa ataniua natakiwa nirudi leo nyumbani”

“Hapana mimi sitolala hapa nitaenda kulala kwa rafiki yangu, hicho nimekuchukulia wewe ili ukapumzike kama muda utakuwa umeenda sana. Sasa hivi tayari ni saa kumi na mbili sasa huoni kuwa utachelewa.

“Ni kweli lakini umewezaje kulipia chumba cha ghali hili hali huna kazi maisha yako yao hatariini huna pesa?”

Lilikuwa swali kumbwa ambalo hakulitarajia. Hapo alikosa jibu akanyamaza kimya huku simu yake ikiita na kuangalia alikuwa ni Kimaro akipiga. Alishindwa kuipokea na badala yake alitoa funguo na kumkabidhi mama Vanesa.

“Huko mikono salama nenda chumba namba tano badili nguo then urudi tupange mikakati na muda ukiruhusu basi utarudi”. Lucas safari hii alionekana kubadilika kidogo. Mama Vanesa hakutaka kupingana naye alijinyanyua hapo na kuanza kuelekea huko alipoelekezwa. Hapakuwa mbali sana hivyo alipiga hatua zake za madaha na kumuacha Lucas akimsindikiza kwa macho. Mmacho ya Lucas yaliendelea kukiri kuwa mwanamke huyo ni miongoni mwa wanawake wazuri na warembo huku duniani. Baada ya mama Vanesa kuondoka ilikuwa ni nafasi nzuri kwake kunynyua simu yake na kumpigia Kimaro. Kimaro alimweleza kuwa yupo eneo hilo na yupo na kimwana ..

“Upon a Julieth?Lucas aliuliza kwa kuhamaki.

“ Aaaaaah kwani umeambiwa kimwana ni Julieth tu.”

“Sijamaanisha hivyo ila ukimleta huyo atatuona sisi wote ni Malaya tu na imani yake juu yako itapungua.Lucasa alijaribu kueleza wasiwasi wake.

“ Ebu wacha maneno mengi nishafika hapa naingia umekaa kwa wapi?.

“Huku karibu na ziwa kabisa”

“Sawa dakika sufuri”.

Baaada ya nusu dakikaa Kimaro aliingia eneo hilo huku akiongozana na msichana mwingine ambaye yeye alimwita kimwana. Alikuwa ni mwanamke mrembo kwa maana nachelea kusema ni mzuri sana. Maana uzuri ni tofauti na urembo. Uzuri ni kitu ulichozaliwa nacho ni kutokana na uuumbaji wa Mungu. Urembo ni jinsi ulivyojitengneza kuanzia mwonekano, mavazi na mapozi. Alikuwa ni mwanamke mrembo na alivutia machoni pa Lucas.

“Yani huyu kwa kubadili wanawake kama nguo.. Sasa amempata wapi na huyu?” Lucas aliwaza mara baada ya kuwaona wakiingia kupitia boti ambalo lilikuwa linawavusha watu kutoka nchi kavu na kuwapeleka kwenye kisiwa hicho. Kilikuwa ni kisiwa ambacho hakikuwa mbali sana na nchi kavu na hakikuwa kikumbwa zaidi kilikuwa na hote hiyo na sehemu zilizojengwa kwa ajili ya utalii.. Aliwapungia mkono na wao walimwona. Hao kwa mwendo wa madaha kama mtu na mpenzi wake walijisogeza eneo hilo. Walifika na kuvuta viti kukaa. Walikuwa wenye furaha na waliochangamka sana. Kwa kuwa viti vilikuwa ni vichacahe n kilea alichokuwa amekalia mama Vanesa kilishatumika ilimlazimu kumwita muhudu ili awasikilize wageni na aongeze kiti kimoja.

Muhudumu aliwasikiliza na kwenda kuchukua vinywaji. Mara Mama Vanesa naye alikuwa akija kutoka kwenye hotel. Alichukua muda mrefu lakini haikuwa tatizo kwa Lucas maana anajua kabisa wasichana linapokuja swala la kubadili nguo lazima waanze kujiremba upya. Ni kweli maana mama Vanesa alikuwa amebadilika kabisa na kuzidi kuonekana kuwa alikuwa ni msichana mdogo. Alivaa kimini kilichofanya kuacha mapaja yake nje. Alionekana ni binti mdogo pengine waweza kusema ni msichana amabye hajaolewa. Lucas hakujua kwa nini amevaa hivyo lakini huenda labda aliamua kujiachia mara baada ya kuhisi kuwa watakuwa wawili tu. Hakujua kama kuna wageni wanaweza kuja. Hata hivyo hakuonesha kushtushwa sana alivuta kiti na kukaa. Kimaro aliyatumbua macho na hakuamini kama huyo ndo mke wa boss ambaye alikuwa akizungumziwa..
ITAENDELEA. ....
 
MAMA VANESSA
SEHEMU YA 12.

“Habari zenu” Mama Vanessa alitoa salamu ya jumla.

“Nzuri” Kimaro na kimwana aliyekuja naye walijibu kwa pamoja.Kimya kikatawala kidogo kabla ya Lucas kuvunja ukimya.

“Mama Vanessa huyu anaitwa Kimaro ni rafiki wangu wa kufa na kuzikana. Mr Kimaro huyu ndio mama Vanessa mwanamke aliyeamua kuniokota mara baada ya Mishel kunitupa.

“Nashukuru sana bwana Lucas nashukuru pia kumfahamu mama Vannesa..Kimaro aliongea huku akimpa mkono mama Vanessa. Alifanya utani wake kidogo kwa kuubinya mkono kwa nguvu jambo lilofanya mama Vanesa ahisi maumivu.

“Aiseee kweli unastahili hili kuitwa mrembo mikono laini kama maini” Kimaro aliongea huku akionesha kushangaa.

Wote kwa pamoja walicheka na kufanya kuchangamka. Muhudumu alikuja tena na kumleta kinywaji mama Vanesa. Safari hii alibadilisha na kuanza kunywa wine. Stori mbili tatu za kuchekesha ziliendelea na kufanya muda kuzidi kuyoyoma. Kimaro alitumia muda huo vizuri kuwafurahisha na kuwachekesha kwa sababu moja ya vitu alivyojaliwa ni kuwafurahisha watu na kuwafanya wamsikilize kwa muda mrefu.

Wakati stori zikiendelea mama Vanessa yeye alikuwa ulimwengu mwingine kabisa. Alikuwa akiwaza ni jinsi gani atarudi Musoma hili hali muda ulikuwa umeenda sana. Aliendelea kunywa kinywaji huku akili yake ikifanya kazi ya ziada juu ya uwongo gani afanye ili mme wake amuelewe. Yaani mama Vanesa alikuwa ni mwanamke wa ajabu sana huku duniani kwa sababu ingawa mme wake alikuwa akimtenda vibaya kila mara lakini hakuwahi kuwa mkaidi. Siku zote amekuwa mtiifu na amekuwa akijishusha. Haya yote aliyafanya kwa sababu alitokea kwenye familia masikini. Alijifanya kipofu kwa kwa mabaya yote ambayo alikuwa akitendewa na mumewe. Lakini alikuwa na lake moyoni kwa kuwa muda huo yeye kujifanya boya ulikuwa umekwisha. Tayari alikuwa ameshachuma mali za kutosha. Alishajenga kwao na alishakuwa na nyumba mjini. Mumewe alimwamini sana na hakujua kuwa ipo siku atabadilika.

“Mbona mama Vanesa anaonekana kama mwenye mawazo?”Kimaro aliuliza mara baada ya kuona huyo ametulia tu.

“Hamna mimi sina mawazo yoyote tupo pamoja” Mama Vanesa alisema huku akitaka kusema kuwa anataka kuondoka. Ila aliamua kujiuliza maswali na kujijibu mwenyewe.Sasa nitaondokaje na kilichokileta huku sijakipata. Hata hatujaweka mikakati ya kumkomesha baba Vanesa. Ilibidi amuandikie sms Lucas kumueleza nia yake ya kutaka kuondoka. Lucas na yeye alimuuliza swali lile kuwa sasa ataondokaje wakati bado hatujapanga mikakati. “Mimi naona utafute njia ulale kwa sababu tayari chumba kipo.Lucas alishauri na wakati huo huo Lucas pia alianza kuchati ana Kimaro kumwambia kuwa mama Vanesa anataka kuondoka. Kimaro akasisitiza kuwa hilo haiwezi kutokea kama yeye yupo.

“Inaoenkana watu mmekaa kiunyonge nyonge sasa napendekeza tuhame kwa muda kuna mahali nasikia kuna nyama choma twendeni tukale.” Kimaro aliongea huku akiinuka na kumpa mkono msichana aliyekuja naye kisha kuanza kupiga hatua na kuondoka. Lucas alitamani kucheka lakini alijikausha na yeye akafanya kumpa mkono Mama Vanesaa.

“Leo upo na vijana wenzako huna haja ya kuwa na wasiwasi. Sahau hata mawazo ya kuumizwa kimapenzi na baba Vanessa..

“Ni sawa lakini nitamwambia nipo wapi au nimelala wapi.

“Kwanini yeye anavyoondokaga na kulala nje ya ndoa huwa anakwambai ukweli kuwa amekwenda kukusaliti?

“Hapana”

“Sasa na wewe tafuta uwongo mtakatifu”

Ilibidi na wao waanze kupiga hatua na kuondoka eneo hilo. Walivuka tena na boti na kutoka nchi kavu. Lucas alikuwa ameenda na gari hivyo waliingia kwenye gari. Mama Vanesa licha ya kuwa alikuwa amechoshwa na tabia za mumewe lakni pia mumewe alikuwa hana uwezo wa kumrizisha kitandani. Huo ulikuwa ni ukweli ambao haupingiki kuwa mume wake hakuwahi kurizisha hasa siku hizi za karibuni ingawa kipindi kile wameanza uhusiano wao alikuwa akifurahia. Alichokifanya mama Vanesa ni kuzima simu na alimtumia sms mume wake kuwa simu yake inazima chaji. Hakumwambia kuwa hatorudi nyumbani wala nini. Waliondoka na kuenda hiyo sehemu ambayo Kimaro alisema. Mama Vanesaa aliamua kuamishia mawazo yake kwenye kujipa raha usiku huo. Mpaka muda huo alikuwa hajaelewa kama Lucas anampango wa kulala naye au ndo kama vile aivyomwambia. Na kama atalala mwenyewe basi kuna umuhimu gani wa kufanya hivyo.

Waliingia sehemu ambayo palikuwa pamechangamka sana. Ilikuwa ni sehemu ambayo ilionekana ni ya gharama maana muziki laini ulikuwa ukiimbwa live. Ingawa nyimbo zilizokuwa zikiimbiwa zilikuwa ni nyimbo za zamani lakini ziliwavutia. Haraka haraka waliagiza na kuendelea kunywa huku wakisubri nyama choma. Hapo hapakuwa ana longolongo ya kusubiri muda mrefu. Nyama zilikuja na wakaendelea kula.Wakaendelea kula na kunywa.Wote walizidi kuchangamka na wakajikuta wanatamani kucheza musiki. Lucas na Kimaro wakawa tayari wamepanga mambo hayo. Akaanza Kimaro kuamka na kumchukua huyo mwanamke aliyekuwa naye na kuanza kucheza naye. Lucas na yeye akajifanya kuwa uzalendo umemshindwa.Alimnyanya mama Vanessa na kuanza kucheza naye musiki.

Walianza kucheza huku Kimaro alikuwa akirekodi lile tukio na kuchukua picha. Lengo ilikuwa ni kulipiza kisasi kwa kumrusha roho boss. Lucas alijifanya amelewa maana alikuwa akicheza na mama Vanesa kama mtu na mpenzi wake.Burudani iliendelea mpaka mida ya usiku. Kwa kuwa Kimaro siku hiyo hakutaka kukaa sana waliamua kuondoka . Waliingia kwenye gari na kitu cha kwanza walichofanya ni kuwapeleka Lucas na Mama Vanesaa kwenye ile hotel ambayo walikuwa wao mwanzo. Tayari kamera ziliwekwa kwa ajili ya kuwarekodi. Kamera ziliwekwa kisiri mradi tu kupata picha za matukio ambayo kama boss wake akiziona basi lazima atakufa kwa presha. Lucas safari hii alibadilika alikuwa tofauti kabisa na mwanzo hakuwa mtu wa kujadiliana zaidi aliongoza mpaka pale kwenye chumba walichokodi. Vitu vya mama Vanesa vilikuwa humo na hivyo kwake yeye ilikuwa ni faida lazima mwanamke huyo angeingia humo.

Waliingia wote na Lucas alifunga mlango kisha akajitupa kitandani. Alijifanya kuwa alikuwa akisikia vibaya na pombe zilikuwa zimemzidi hivyo alihitaji kupumzika. Mama Vanesa alisimama kama mlingoti kisha akatupa swali la kizushi.

“Kwa hiyo Lucas unataka kulala na mke wa boss wako chumba kimoja”

“Najua ni ngumu sana lakini naomba mama Vanesaa unikumbuke katika ufalme wako..Kama ikukupendeza unizawadie zawadi ya faraja usiku huu la ikikuchukiza basi nitalala hata chini kama sio chooni”

Maneno ya Lucas yalimtoka kwa hisia sana na alijaribu kujishusha na kuonesha kuwa alikuwa akitamani penzi la mke wa boss ingawa ni kwa hiyari sio lazima. Maneno yale yalimuuma sana mama Vanesa na akaijikuta akimuonea huruma. Alikumbuka pia jinsi kijana huyo alivyokuwa akitia huruma alipokuwa akimwelezea ni kiasi gani anapata uchungu kwa kupokonywa mke wake.Roho ya huruma ilimjia na kumfanya amsogelee pale na kuanza kumpapasapapsa. ******ITAENDELEA
 
isee watu wenye jina la mama vanessa wanakuwaga watamu balaa
MAMA VANESSA

SEHEMU YA KWANZA

Muda ulikuwa umeenda sana macho ya Lucas Manyama yalianza kujifumba yenyewe ishara kuwa mwili wake ulikuwa umechoka na ulihitaji kupumzika. Saa yake ya ukutani ilionenesha kuwa ilikuwa ni saa 8 usiku na alikuwa anasoma story pendwa inayoitwaSECRET OF LOVE iliyotungwa na mtunzi maarufu kwa jina Eliado. Nia ya kusoma story hii usiku ni kupunguza mlundikano wa mawazo aliyokuwa nayo na kutafuta faraja kupitia matatizo ya wengine..Siku hiyo pia ni siku ambayo alikuwa na sress nyingi sana ambazo kwa yeye alihisi kuwa zilikuwa zinamzidi umri. Kwanza ni siku ya 6 tangu asimamishwe kazi kutokana na tuhuma za uwongo ambazo boss wake alijaribu kumbambikizia. Si kusimamishwa kazi tu bali pia mke wake kuondoka nyumbani kwa madai kuwa amemchoka. Ilikuwa haimuingii akilini kuwa eti mke wake amechoka na kuamua kumuacha katika kipindi hiki kigumu.

“Kwa nini hakunichoka kipindi nikiwa nina kazi? kwa nini hakuondoka kipindi hicho? nini kimemfanya aondoke?”Aliwaza Lucas bila kupata majibu. Usingizi kwake ulikuwa ni mgumu sana na alitamani hata asilale. Mziki wa taratibu ulitosha kabisa kuelezea ni jinsi gani alivyokuwa anakijisikia. Machozi yalitosha kabisa kulowanisha karatasi za kitabu cha story alichokuwa anasoma. Badala ya kufuatilia kitabu hicho ambacho kilikuwa ni kizuri alikuwa amekishika kama pambo na wala alikuwa haelewi kilichoandikwa. Alikuwa na huzuni iliyopitiliza. Alitamani hata kama asubuhi ingefika alione jua alihisi labda kuliona jua kungefanya roho yake kutulia. Alijawa na hisia kuwa giza la usiku huo lingeweza kumuathiri kwa kiwango kikubwa. Mvinyo wa kizungu aliokuwa anakunywa hakuweza hata kuusikia, alikunywa kama maji.

Alikunywa hakulewa.Kila alipokuwa anavuta kumbukumbu ya yaliyomtokea alilia kilio kisicho na machozi.

“Nilimpa kila kitu nilimpenda kupita vitu vyote lakini leo ananiacha?” aliwaza bila kupata majibu.

Huyu mwanamke alikuwa ni kila kitu kwake, huyo mwanamke alimtoa mbali, huyo mwanamke alikuwa na umuhimu sana maana kwake alikuwa kama mama na hii ni baada ya kumpoteza mama yake mzazi ambaye aliitwa na Mungu.Apumzike kwa amani mama yake mpendwa.

“Huyu mwanamke nilimsomesha kwa gharama zangu huyu mwanamke nilimwinua kutoka familia masikini mpaka akafikia hapo alipo. Hiyo kazi anayoringia ni sawa tu mimi ndio niliyomuwezesha kwa maana bila elimu niliyomsadia kuipata hasingekuwa hapo.Lakini kwa nini sasa hataki kuyatambua hayo. Kwa nini athamini mchango wake kwangu?”.

Manyama aliongea kwa nguvu utafikiri labda huyo mwanamke wake alikuwa hapo. Alinyanyua glass ya kinywaji kikali alichokuwa akinywa na kukidigida utadhani sio kilevi. Mara simu yake iliita na aliangalia kwa haraka maana sio kawaida yake kupigiwa simu usiku. Aliichukua simu ambayo ilikuwa kwenye chaji na kuipokea.

“Helow mambo Lucas” ilisiskika sauti nyororro sauti ya kike iliyojaa bashasha na furaha.

“Mambo poa, sijui naongea na nani?”.

“Jamani mbona unaharaka hivyo, mimi najua hunijui lakini utanijua maana ni zaidi ya malaika niliyetumwa na Mungu nije kukukomboa na kukuondoa kwenye upweke uliokuwa nao”.

“Makubwa kumbe kuna binadamu malaika..Utanisamehe kama huwezi kujitambulisha sitoweza kuongea na wewe.” Lucas alijibu kwa hasira na kukata simu.

Kama hiyo haitoshi aliamua kuizima kabisa, alivurugwa akavurugika.Alihisi kabisa walikuwa ni vibaraka wa mkewe Misheli walitumwa kumkejeli.Pamoja kuwa alichukua maamuzi hayo bado roho ilimsuta kwa jinsi sauti hiyo ya kike ilivyokuwa tamu masikioni mwake. Alitamani sana kumjua mwanamke huyo lakini hakutaka kuwasha simu. Alijitupa kitandani na kuanza kuutafuta usingizi ambao takribani wiki nzima alikuwa akiupata kwa shida sana. Aliendelea kuwaza vitu vingi sana ikiwa ni pamoja atapata wapi pesa ya kodi kwa sababu mwezi huo ndo ulikuwa wa kulipa kodi hili hali amesimamishwa kazi kwa sababu ambazo ni za kusingiziwa.

“Yaani Boss Yule mwanamke ni mchepuko wake tu je ingekuwa ni mke wake si angenifunga jela kabisa.Mwanamke mwenyewe hamtaki anataka vijana wezniye yeye kazi kuonga tu. Faidha ametamka kwa kinywa chake kuwa hampendi boss bali mimi sasa mimi ningefanyaje. Yaani mwanamke mzuri kama Faidha amejilengesha mwenyewe mimi nimwache kisa eti ni mchepuko wa boss ambaye hajawahi kulala naye?”.Manyama aliendelea kuwaza na kuwazua.

“Akafu mke wangu alijuaje yote haya yanayoendelea kazini?. Na kwa nini hakuniuliza akaamua kuondoka kimya kimya bila hata kuniambia sababu. Nimepiga simu mpaka nyumbani kwao hawapokei tatizo ni nini hasa?”.

Maswali yote hayo hayakuwa na majibu kwa kijana huyu. Alifikiria jinsi kupata kazi ilivyokuwa ngumu. Alifikiria kuwa hata kazi hiyo aliipata kwa msaada wa mjomba wake. Ni kweli elimu yake ilikuwa nzuri kuliko wafanyakazi wengine na hata utendaji wake wa kazi ulikuwa na ufanisi mkumbwa kuliko wengine. Tatizo kumbwa ni mfanyakazi mpya wa mambo ya masoko aliyeletwa hapo kazini kwao. Msichana huyu alikuwa mrembo kupita kiasi. Urembo wa Faidha ndo huo ulileta kizaazaa katika taasisi yao. Lucas Manyama ni mfanyakazi wa benki moja ya kibiashara mkoani Mara. Ni miezi 3 tu tangia apate kazi hiyo na katika muda huu mfupi ndo analetwa Faidha binti ambaye alimvutia kila mwanaume hapo benki. Boss naye alikuwa mtu aliyevutiwa na mfanyakzi huyo na yeye alitumia cheo chake kumshawishi na kutaka kuwa naye. Lakini Faidha alikuwa ni mwanamke mjanja sana bado aliangalia future yake. Ni msichana ambaye hakupenda kujihusisha kimauhusino na wazee.

Lakini moyo wake ulivutiwa na kijana Lucas ambaye alikuwa ni kipenzi cha wafanyaakzi wengi na wateja kutokana na ufanisi wake wa kazi kuwa uliotukuka. Hali hii ilijenga ukaribu sana na kupeleka kujikuta wakizama kwenye uhusiano bila kutajaria. Faidha alijua kabisa kuwa Lucas alikuwa na mke ambaye naye ni mfanyakazi wa taasisi nyingine hapo hapo Musoma. Wote waliingiwa na upofu ambao kwa kweli ulileta majanga makumbwa kwa upande wa Lucas. Lucas alijiuliza kama walifanya siri yeye na Faidha imekuwaje mkwe akajua na kuamua kuondoka. Mkewe aliondoka ghafla bila kutoa sababu yoyote na kipindi hiko tayari alishasimamishwa kwa kazi kwakile kilichoitwa ubadhilifu wa fedaha. Kitu kingine kilichokuwa kikumuuama ni kuwa Boss na mkewe walikuwa wakijuana maana walitoka mkoa mmoja na walikuwa karibu.

Lucas Manyama alihisi labda Boss ameamua kumwaga sumu kwa mkewe na ndio maana ameondoka. Alichokifanya alilala na asubuhi na mapema aliamka na kuelekea ukweni ambapo ni Bukoba. Aliamua kwenda ili kujua kama mke wake alirudi huko au la kuna sehemu ambayo alienda bila yeye kujua. Ila ile simu alivyoiwasha asubuhi hiyo alikutana na meseji nyingi za yule mwanamke aliyempigia simu usiku huku akijichkesha chekesha.

“Lucas najua upo katika kipindi kigumu sana, kipindi cha mawazo lakini mini mimi ndo naweza kukufumbua macho na kujibu maswali yako yote magumu yanayokutatanisha. Hata mimi nina maumivu sana ila naomba tushirikiane nitakufuta machozi na pia nitakufanya ujue ukweli kuhusu mkeo na boss wako..Ukiwa tayari tafadhali nitafute naitwa mama Vanessa.” Meseji ilisomeka hivyo na kumfanya Lucas hazidi kuchangnyikiwa. Alitamani kushuka kwenye gari lakini aliamua kuendelea na safari ya ukweni maana ingetoa mwanga pia kwa nini mkewe aliamua kuondoka tena kimya kimya…

********ITAENDELEA******
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom