Simulizi: Laana Za Maiti


Dah!! Mafanikio kwa njia za mkato siyo vizuri kabisa...

Ni nzuri ila inatisha...

Chapter closed...


Cc: mahondaw
 
Nyuzi zako nazifuatilia kwa udi na uvumba ndio jambo la kwanza ninapoingia jf

Zina mafunzo ya kutosha juu ya ulimwengu mwingine tusioujua hivyo mtu akiamua kupata mali za mkato atakuwa na A, B, C nini mbeleni kitafuata baada ya kula mali za shetani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante sana mkuu karibu

Kuna nyingine pia zinaendelea nahisi umeshaziona
 
Habari mambo naitwa Mr Equator Nimeandika ujumbe huu kuku omba swala moja tu!
Mimi nimetengeza website ya ku share story ambayo ni http://www.equatorstory.com/
Je umekuwa ukipata tabu kupost story zako hapa?
Hili ndo suluhisho lako.
Mimi nataka nkupe nafasi ya kuwa mmoja wapo wa kwanza kutumia hii website
unda account yako na uweze kupost story yako mpya.
 
Duh inasikitisha kuona jamaa pesa,Mali na vyote alivyohangaikia miaka yote ili akiacha kazi aje afaidi vimeteketea! Kwa maana nyingine amefanya kazi bure maisha yake yooote!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…