barikiwa
Senior Member
- Dec 4, 2018
- 145
- 263
"JENEZA LA AJABU
Mtunzi; HAKIKA JONATHAN
Whatsup; 0629905923
***SEHEMU YA 01****
Ikulu kwa mfalme ;
"Siwezi kufa kirahisi namna hii, dunia tamu bwanaaa
weeeh, mali zangu hizi nitamuachia nani??
",yalikuwa ni maneno ya kejeli kutoka kwa mfalme
wa nchi ya Mwamutapa, baada ya kupokea taarifa
kutoka kwa mganga wake wa kienyeji kuwa
kashindwa kumtibu maradhi yaliyokuwa
yakimsumbua, hivyo asubili kufa tu. Hali
iliyopelekea mganga yule kujuta kauli yake kwani,
mfalme aliamuru auawe kwa kukatwa kichwa chake,
na kisha kiwiliwili chake kitupwe ndani ya bwawa la
mamba waliofugwa na mfalme kwa ajili ya kula
watu waliomchukiza na kumpinga katika uongozi
wake. "Yani mimi nife, siwezi kufa mimi, labda
utangulie mpuuzi wewe ",mfalme Mutapa, alijitamba
kwa mala nyingine tena, huku akishuhudia kichwa
cha mganga wake kikitenganishwa na kiwiliwili,kuto
kana na kushindwa kumtibu mfalme na kumwambia
asubili kifo tu, jambo ambalo mfalme alilichukulia
kama katukanwa na kudharauliwa.
*****
LIPIA SH 2500 UTUMIWE STORI HII YOTE MWANZO
MPAKA MWISHO,AU JIUNGE NA GRUPU LA
WHATSAP KUSOMA STORI TATU KWA SH 3000
MWEZI MZIMA.
*****
Mitaani katika nchi ya Mwamutapa;
Hali ngumu ya maisha inazikumba familia nyingi
katika ardhi ya Mwamutapa, huku lawama nyingi
zikitupwa kwa mfalme, kwani wanaume wengi
wenye nguvu na vichwa vya familia, walitumikishwa
kwa nguvu katika mashamba ya mfalme na kisha
kulipwa ujira mdogo,jambo ambalo lilimchukiza kila
raia wa Mwamutapa. Kelele zao za mateso
hasikusaidia chochote, kwani kila mtu aliyejifanya
kupinga kunyanyaswa, alijikuta akiuawa kikatili, hali
iliyowaogopesha wengine na kujikuta wakikubaliana
na manyanyaso kutoka kwa mfalme, kwani
waliogopa kifo.
"Naamini ipo siku yatakwisha, usilie mama yangu
",ilikua ni sauti kutoka kwa kijana mkakamavu
Njoshi, akimunyamanzisha mama yake, baada ya
kupokea taarifa za kifo cha mume wake kwani
alishindwa kumtibu mfalme. "Mwanangu baba yako
kaondoka, tumebaki wawili tu, nakuomba uachane
na Grace, mfalme atakuua na wewe, tegemeo na
faraja langu lililobakia ",mama Njoshi alizidi kulia
kwa uchungu, huku akimusisitiza mwanae kuachana
na Grace,msichana mrembo sana na mtoto pekee
wa kike wa mfalme. Jambo ambalo kwake aliliona
ni gumu sana na halitowezekana, kwani alimpenda
sana Grace licha ya kupokea vitisho mala kadhaa
kutoka kwa mfalme ili aachane na Grace. Na kila
mala mfalme alipojaribu kumuua Njoshi alishindwa,
kwani alifanikiwa kutegua mitego yote aliyotegewa
ili aweze kufa, kwani alikua ni hodari sana na
aliweza kulishinda jeshi la mfalme mala nyingi,
moja ya sababu ambazo Grace zilimfanya ampende
sana Njoshi, kwani alihitaji mwanaume atakaye
muoa awe ni shujaa na si mwanaume suruali tu,
asiyeweza kumlinda na hatari yoyote.
"Usjali mama, mimi nipo siku zote, nitakulinda,
lakini naamini ipo siku Mwamutapa itakua huru, na
mimi nitakuwa kiongozi wake ",kijana Njoshi
aliongea kwa ujasiri na kujiamini kwani ziku zote
alifanya mazoezi ya kila aina, ili tu siku moja afanye
mapinduzi na kuokoa wananchi dhaifu kutoka
kwenye utumwa na uongozi wa mabavu wa mfalme
Mutapa, jambo ambalo mama yake aliliona kama
ndoto ya mchana, ambayo Njoshi alikuwa akiota.
"Mwanangu banaa unanifurahisha, hebu toa upuuzi
wako huko ",mama Njoshi aliongea huku
akitabasamu kwa mbali kutokana na maneno
aliyoambiwa na mwanae, na kumfanya asahau
machungu ya kumpoteza mume, japokuwa alikuwa
ameshazoea na kuona kama vifo ni jambo la
kawaida katika familia yake, huku akikumbuka jinsi
wanae watatu walivyopoteza maisha kutokana na
njaa kali iliyotokea miaka kadhaa iliyopita, na
kumuachia Njoshi pekee. "Nakuombea mwanangu,
ndoto zako ziwe kweli ",mama alizungumza huku
akimkumbatia mwanae, bila kutambua kuwa Njoshi
alijawa na hasira, huzuni na machungu kwa
kumpoteza baba yake na kuapa kulipiza kisasi,
kwani hakutaka mama yake agundue huzuni hiyo na
kuzidi kumpa machungu mama yake aliyempenda
sana.
Ikulu kwa Mfalme :
Mganga maarufu wa kienyeji aliyesifika katika nchi
ya Mwamuyeshi, nchi iliyopakana na
Mwamutapa, na kuongozwa na mfalme Muyeshi
,anafika ikulu kumtibu mfalme maradhi yake, baada
ya Muyeshi kupata taarifa za rafiki yake mpendwa
kuugua kwa muda mrefu, hali iliyopelekea
kumtafuta muganga katika ardhi yake ili amsaidie
rafiki yake asiweze kupoteza maisha. "Karibu sana
katika ardhi ya Mwamutapa,,, naamini rafiki yangu
ndiyo kakutuma hapa ",mfalme Mutapa aliongea bila
shida yoyote huku akitabasamu,huku akiwa amelala
katika kitanda chake kwa takribani mwezi mmoja
sasa bila kuamka kutoka kitandani, japo aliweza
kuzungumza vizuri kama vile hakuwa mgonjwa.
"Ndiye mimi mtukufu mfalme, mganga kutoka
katika ardhi ya rafiki yako Muyeshi, nimekuja
kukusaidia ",mganga yule aliongea huku akijiamini,
na kumfanya mfalme atabasamu kwani hakupenda
kufa, na alitamani aishi milele jambo ambalo
mganga yule alikua ameshalitambua.
"Usjali mtukufu mfalme, mpaka sasa
nimeshachelewa siwezi kukutibu, muda wowote
kuanzia sasa utaweza kufa, lakini inatakiwa ukifa
uzikwe ndani ya jeneza lililotengenezwa kutoka
katika miti iliyo katikati ya msitu hatari wa Majini,
msitu ambao uko katika ardhi yako ya Mwamutapa,
ukizikwa ndani ya jeneza hilo, utaweza kufufuka
baada ya wiki moja na kuishi milele ",mganga yule
alizungumza maelezo marefu sana, huku jina la
kijana Njoshi likijirudia rudia ndani ya kichwa cha
mfalme, kwani ndiye kijana pekee aliyemuona
anafaa kufanikisha swala hilo, na kutoka akiwa
salama katika msitu hatari wa Majini, msitu ambao
hakuna aliyewahi kuingia humo akitaka mali, watoto
au ufalme kutoka kwa mizimu ya msitu huo na
kutoka salama bila kupoteza maisha. "Na pia
inatakiwa iwe siri, raia wako wasifahamu labda tu
atakayekwenda huko msituni ",mganga alizidi
kuzungumza huku mfalme mawazo yakiwa mbali
sana, kwani mwanae Grace alishamuonya kuwa
Njoshi siku akipata matatizo yaliyosababishwa na
yeye, ataweza kujiua, jambo ambalo mfalme hakuwa
tayali kumkosa mwanae wa kike pekee aliyenaye,
kati ya watoto arobaini kutoka kwa wake watano
alionao ,mtoto ambaye alizaliwa na mke wa tano
baada ya wake zake wanne waliotangulia kushindwa
kumzalia mtoto wa kike.
"Sawa …sawa sa…wa ni…me…kusikia ",mfalme
alijibu bila kujitambua huku mawazo na maswali
lukuki yakikisumbua kichwa chake .
……ITAENDELEA ……
SOMA KISA HIKI MWANZO MPAKA MWISHO KWA
SH 2500 TU,MALIPO YAFANYIKE MPESA
0763338857,JINA HAKIKA BUCHA.JIUNGE NA
GRUPU LANGU LA WHATSAP KWA SH 3000 ADA
YA NWEZI USOME JENEZA LA AJABU,KAHABA
YUAN LIANG NA JINI MWEUPE.
Mtunzi; HAKIKA JONATHAN
Whatsup; 0629905923
***SEHEMU YA 01****
Ikulu kwa mfalme ;
"Siwezi kufa kirahisi namna hii, dunia tamu bwanaaa
weeeh, mali zangu hizi nitamuachia nani??
",yalikuwa ni maneno ya kejeli kutoka kwa mfalme
wa nchi ya Mwamutapa, baada ya kupokea taarifa
kutoka kwa mganga wake wa kienyeji kuwa
kashindwa kumtibu maradhi yaliyokuwa
yakimsumbua, hivyo asubili kufa tu. Hali
iliyopelekea mganga yule kujuta kauli yake kwani,
mfalme aliamuru auawe kwa kukatwa kichwa chake,
na kisha kiwiliwili chake kitupwe ndani ya bwawa la
mamba waliofugwa na mfalme kwa ajili ya kula
watu waliomchukiza na kumpinga katika uongozi
wake. "Yani mimi nife, siwezi kufa mimi, labda
utangulie mpuuzi wewe ",mfalme Mutapa, alijitamba
kwa mala nyingine tena, huku akishuhudia kichwa
cha mganga wake kikitenganishwa na kiwiliwili,kuto
kana na kushindwa kumtibu mfalme na kumwambia
asubili kifo tu, jambo ambalo mfalme alilichukulia
kama katukanwa na kudharauliwa.
*****
LIPIA SH 2500 UTUMIWE STORI HII YOTE MWANZO
MPAKA MWISHO,AU JIUNGE NA GRUPU LA
WHATSAP KUSOMA STORI TATU KWA SH 3000
MWEZI MZIMA.
*****
Mitaani katika nchi ya Mwamutapa;
Hali ngumu ya maisha inazikumba familia nyingi
katika ardhi ya Mwamutapa, huku lawama nyingi
zikitupwa kwa mfalme, kwani wanaume wengi
wenye nguvu na vichwa vya familia, walitumikishwa
kwa nguvu katika mashamba ya mfalme na kisha
kulipwa ujira mdogo,jambo ambalo lilimchukiza kila
raia wa Mwamutapa. Kelele zao za mateso
hasikusaidia chochote, kwani kila mtu aliyejifanya
kupinga kunyanyaswa, alijikuta akiuawa kikatili, hali
iliyowaogopesha wengine na kujikuta wakikubaliana
na manyanyaso kutoka kwa mfalme, kwani
waliogopa kifo.
"Naamini ipo siku yatakwisha, usilie mama yangu
",ilikua ni sauti kutoka kwa kijana mkakamavu
Njoshi, akimunyamanzisha mama yake, baada ya
kupokea taarifa za kifo cha mume wake kwani
alishindwa kumtibu mfalme. "Mwanangu baba yako
kaondoka, tumebaki wawili tu, nakuomba uachane
na Grace, mfalme atakuua na wewe, tegemeo na
faraja langu lililobakia ",mama Njoshi alizidi kulia
kwa uchungu, huku akimusisitiza mwanae kuachana
na Grace,msichana mrembo sana na mtoto pekee
wa kike wa mfalme. Jambo ambalo kwake aliliona
ni gumu sana na halitowezekana, kwani alimpenda
sana Grace licha ya kupokea vitisho mala kadhaa
kutoka kwa mfalme ili aachane na Grace. Na kila
mala mfalme alipojaribu kumuua Njoshi alishindwa,
kwani alifanikiwa kutegua mitego yote aliyotegewa
ili aweze kufa, kwani alikua ni hodari sana na
aliweza kulishinda jeshi la mfalme mala nyingi,
moja ya sababu ambazo Grace zilimfanya ampende
sana Njoshi, kwani alihitaji mwanaume atakaye
muoa awe ni shujaa na si mwanaume suruali tu,
asiyeweza kumlinda na hatari yoyote.
"Usjali mama, mimi nipo siku zote, nitakulinda,
lakini naamini ipo siku Mwamutapa itakua huru, na
mimi nitakuwa kiongozi wake ",kijana Njoshi
aliongea kwa ujasiri na kujiamini kwani ziku zote
alifanya mazoezi ya kila aina, ili tu siku moja afanye
mapinduzi na kuokoa wananchi dhaifu kutoka
kwenye utumwa na uongozi wa mabavu wa mfalme
Mutapa, jambo ambalo mama yake aliliona kama
ndoto ya mchana, ambayo Njoshi alikuwa akiota.
"Mwanangu banaa unanifurahisha, hebu toa upuuzi
wako huko ",mama Njoshi aliongea huku
akitabasamu kwa mbali kutokana na maneno
aliyoambiwa na mwanae, na kumfanya asahau
machungu ya kumpoteza mume, japokuwa alikuwa
ameshazoea na kuona kama vifo ni jambo la
kawaida katika familia yake, huku akikumbuka jinsi
wanae watatu walivyopoteza maisha kutokana na
njaa kali iliyotokea miaka kadhaa iliyopita, na
kumuachia Njoshi pekee. "Nakuombea mwanangu,
ndoto zako ziwe kweli ",mama alizungumza huku
akimkumbatia mwanae, bila kutambua kuwa Njoshi
alijawa na hasira, huzuni na machungu kwa
kumpoteza baba yake na kuapa kulipiza kisasi,
kwani hakutaka mama yake agundue huzuni hiyo na
kuzidi kumpa machungu mama yake aliyempenda
sana.
Ikulu kwa Mfalme :
Mganga maarufu wa kienyeji aliyesifika katika nchi
ya Mwamuyeshi, nchi iliyopakana na
Mwamutapa, na kuongozwa na mfalme Muyeshi
,anafika ikulu kumtibu mfalme maradhi yake, baada
ya Muyeshi kupata taarifa za rafiki yake mpendwa
kuugua kwa muda mrefu, hali iliyopelekea
kumtafuta muganga katika ardhi yake ili amsaidie
rafiki yake asiweze kupoteza maisha. "Karibu sana
katika ardhi ya Mwamutapa,,, naamini rafiki yangu
ndiyo kakutuma hapa ",mfalme Mutapa aliongea bila
shida yoyote huku akitabasamu,huku akiwa amelala
katika kitanda chake kwa takribani mwezi mmoja
sasa bila kuamka kutoka kitandani, japo aliweza
kuzungumza vizuri kama vile hakuwa mgonjwa.
"Ndiye mimi mtukufu mfalme, mganga kutoka
katika ardhi ya rafiki yako Muyeshi, nimekuja
kukusaidia ",mganga yule aliongea huku akijiamini,
na kumfanya mfalme atabasamu kwani hakupenda
kufa, na alitamani aishi milele jambo ambalo
mganga yule alikua ameshalitambua.
"Usjali mtukufu mfalme, mpaka sasa
nimeshachelewa siwezi kukutibu, muda wowote
kuanzia sasa utaweza kufa, lakini inatakiwa ukifa
uzikwe ndani ya jeneza lililotengenezwa kutoka
katika miti iliyo katikati ya msitu hatari wa Majini,
msitu ambao uko katika ardhi yako ya Mwamutapa,
ukizikwa ndani ya jeneza hilo, utaweza kufufuka
baada ya wiki moja na kuishi milele ",mganga yule
alizungumza maelezo marefu sana, huku jina la
kijana Njoshi likijirudia rudia ndani ya kichwa cha
mfalme, kwani ndiye kijana pekee aliyemuona
anafaa kufanikisha swala hilo, na kutoka akiwa
salama katika msitu hatari wa Majini, msitu ambao
hakuna aliyewahi kuingia humo akitaka mali, watoto
au ufalme kutoka kwa mizimu ya msitu huo na
kutoka salama bila kupoteza maisha. "Na pia
inatakiwa iwe siri, raia wako wasifahamu labda tu
atakayekwenda huko msituni ",mganga alizidi
kuzungumza huku mfalme mawazo yakiwa mbali
sana, kwani mwanae Grace alishamuonya kuwa
Njoshi siku akipata matatizo yaliyosababishwa na
yeye, ataweza kujiua, jambo ambalo mfalme hakuwa
tayali kumkosa mwanae wa kike pekee aliyenaye,
kati ya watoto arobaini kutoka kwa wake watano
alionao ,mtoto ambaye alizaliwa na mke wa tano
baada ya wake zake wanne waliotangulia kushindwa
kumzalia mtoto wa kike.
"Sawa …sawa sa…wa ni…me…kusikia ",mfalme
alijibu bila kujitambua huku mawazo na maswali
lukuki yakikisumbua kichwa chake .
……ITAENDELEA ……
SOMA KISA HIKI MWANZO MPAKA MWISHO KWA
SH 2500 TU,MALIPO YAFANYIKE MPESA
0763338857,JINA HAKIKA BUCHA.JIUNGE NA
GRUPU LANGU LA WHATSAP KWA SH 3000 ADA
YA NWEZI USOME JENEZA LA AJABU,KAHABA
YUAN LIANG NA JINI MWEUPE.