Simulizi: Bwana Harusi aliyejeruhiwa

Simulizi: Bwana Harusi aliyejeruhiwa

Kuna kitu nimekumbuka.

Uhusiano wa Faraji na Deborah uliazia bar. wakiwa wamelewa, enzi za Deborah mwenye skendo ya Ngoma. Ashasahau
 
Huyu Faraji anatutia aibu wanaume....yaani anajitundika kitanzini, kisa tu amekosa kisima cha utelezi cha Debora!!!!. Ila bila shaka huyu ni wakolomije huko....si wa huku kwetu town.

Anyway, asante sana anty Shunie, hadithi yako inanifunza vitu....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom