Simulizi: Bwana Harusi aliyejeruhiwa

Simulizi: Bwana Harusi aliyejeruhiwa

Sehemu ya 66

POMBE iliyokuwa kichwani ikanifanya nishindwe kufikiri na kudhibiti mihemko, tamaa ya ngono ikawa kubwa, nilimwangalia Deren akiwa anatembea kama Twiga huku wowo lake likiendelea kuacha ujumbe uliosema ‘ushindwe mwenyewe’

“Kwani nikitoka kimapenzi na Deren nani atajua? Kuna ubaya gani?” nilijiuliza kimoyomoyo, Kwa kweli sikuona cha kunizuia kulila lile embe bichi.

Nilichofanya ni kusimama na kumfuata chumbani kwake. Mlango ulikuwa umeegeshwa tu. Nikasukuma.

Wakati uwazi wa mlango unaongezeka, nikakutana na Deren aliyekuwa wima kama mlingoti, macho yamemtoka pima. “Baba!!” akasema kwa mshangao.

“Usiwe na wasiwasi Deren, nataka tuongee.” Niliongea kwa sauti ya upole. Nikarudishia mlango na kukomea kwa ndani. “Usiogope Deren…” niliendelea kuongea kumtoa wasiwasi. “Deren.”

“Abee.” “Nimeshindwa kujizuia.” “Kujiuzuia vipi?” “Nimegundua wewe unasifa zote za kuwa mpenzi wangu, sitaki tena uwe dada wa kazi,” nilisema kwa sauti ya mahaba mkono mmoja nikaupachika begani kwakwe.

“Naogopa.” “Unamwogopa nani?” “Dada.” “Hebu acha kunisanifu Dreen, inamaana hujui kama nisha achana na mke wangu.” “Hata kama mmeachana, lakini….”

Alikwisha chelewa, tayari mikono yangu ilikwishaanza ziara kwenye kifua chake, nikawa nayabinya matiti yake kwa ustadi mkubwa.

Dereen akawa hapumia vizuri, kufumba na kufumbua jasho likamjaa maungoni mwake, kwa makusudi kabisa nikazidisha mautundu.

Sijui nilimshika wapi bwana, si akaanza kupiga kelele za mahaba, kelele zile zikanihamasisha, nikazidi kumtekenya huku na kule.

Kama masikhara, nikamchojoa nguo zote, na mimi nikafanya hivyo, tukawa saresare maua. Kilichofuata baada ya hapo ilikuwa ni kumpa ‘mkomboti’ wa nguvu.

Mmenyano ulikuwa mkali sana, dakika 20 badaye, mechi ikaisha kwa matokeo ya goli moja kwa moja, nakumbuka tulibakia tukiangaliana kama majogoo waliokuwa kwenye mapigano makali.

Umri wa Doren ulikuwa hauendani na mwonekano wake, sikutegemea kama binti huyo angekuwa fundi chumbani.

Pamoja na ujuvi aliokuwa nao kunako sita kwa sita, lakini msichana huyo alikuwa na tatizo moja ambalo lilininyima raha mno kwa siku hiyo. Kutokwa harufu kali ya kinywa na kikwapa.
 
Sehemu ya 67

Awali nilidhani labda ni kwa kuwa siku hiyo nilimvamia chumbani kwake akiwa hana maandalizi, lakini hata nilipompa nafasi ya kujifanyia usafi bado alikuwa na harufu kali.

Kuanzia wakati huo, nilijikuta najuta sana kuanzisha mahusiano ya kimapenzi na mfanya kazi wangu wa ndani, pamoja na kujuta huko, hali ilikuwa tofuati kwa Doren, yeye alikuwa amekufa ameoza juu yangu. Alinipenda mno msichana huyo.

Kitendo cha kupendwa na Doren niliona ingekuwa ni kashfa mbaya mbele ya mpenzi wangu Debora ambaye kwa wakati huo alikuwa safarini.

Doren kwa Debora alikuwa haingii hata robo, achilia mbali kwa mke wangu Nasra ambaye hadi wakati huo naye sikuwa najua habari zake zaidi ya kusikia tu anaishi Tabata.

“Shetani mbaya sana,” nilinong’ona. “Nawezaje kutembea na mwanamke kama Doren.” Nilikuwa nikiongea mwenyewe kila nilipokuwa nikimwangalia binti huyo.

**** Wiki mbili zikiwa zimesalia kabla ya Debora kurejea kutoka safari aliyokuwa amekwenda nje ya nchi, niliona nina kila sababu ya kutengeneza mazingira ya kutokuja kuumbuka mbele yake, dhidi ya uhusiano wa kimapenzi niliounzisha na msichana wangu wa kazi za ndani. Doren.

Nilichofanya ni kumwita na Doren na kuzungumza naye. “Doreen” “Abee” “Nahitaji urudi nyumbani kwa muda.”

“Kwa nini Dear?”akaniuliza huku akiniita jina la Dear, hilo likanitia kichefuchefu pia likachochea dhamira ya kumwondoa kabisa nyumbani kwangu.

“Mpenzi wangu Debora anakaribia kurudi,” nilimwambia waziwazi. “Debora ndiye nani?” Doren akauliza uso wake ukionesha kustajabishwa na kuchukizwa na kauli ile.

“Ni mwanamke niliyekuwa naye baada ya kuachana na mke wangu Nasra.” “Kumbe siku zote ulikuwa unanidanganya?” Doren akauliza huku machozi yakimlenga.

“Nisamehe bure.” “Shida yako ilikuwa ni penzi tu kwangu” “Siyo hivyo” “kumbe?” “Samahani.”

Nikaongea kibwege. “Kwa hiyo unataka kunirejesha nyumbani?” “Ndio.” nikajibu tena bila wasiwasi wowote.

“Hunitaki tena?” “Nasikitika sintaweza kuwa na wewe.” Nilimwambia waziwazi.

Doren alilia kama mtoto mdogo, uso wake ulionyesha ni kwa kiasi gani aliumizwa na jambo hilo, sikuwa na huruma na Doren, moyo wangu haukuwa kwake kabisa. Kilio chake hakikuwa na maana yoyote
 
Sehemu ya 68

Kitendo cha kunililia niliona ni kama alikuwa akinichuria tu, nilichofanya ni kumlipa fedha zake zote, nikampa nauli tayari kwa ajili ya kurudi kwao Iringa.

**** Wiki mbili badaye, baada ya Doren kuondoka kwenye mji wangu, Debora naye alirejea kutoka Afrika kusini, ilikuwa ni furaha kwangu kungana na mwanake huyo ambaye penzi langu nililihamishia kwake kiasi cha kufanya sura ya mke wangu Nasra kuanza kufutika kichwani mwangu.

Penzi langu na Debora lilinoga kadiri siku zilivyo yoyoma, ikafikia hatua tukaanza kufikiria ndoa kati yetu.

Fikra za ndoa zikapelekea kuanza kutambulishana kwa ndugu na jamaa, uhusiano wangu na mwanamke huyo haukuwa siri tena. Ukawa wazi kwa kila mtu.

Pamoja na ukweli kwamba Nasra, mke wangu wa zamani alikuwa mrembo pengine kuliko Debora, lakini nilimpenda Debora kwa jambo moja tu lililomtofautisha na Nasra.

Alikuwa mwanamke mwenye akili ya maisha, mipango yake na mawazo yake wakati wote ilinivutia mno.

Hilo likanifanya nimwamini mno, nikaona huyo ndiye msichana ambaye Mungu aliniandikia maishani. Nilichofanya ni kuharakisha mipango ya ndoa.

Kwa kuwa mke wangu wa zamani, Nasra, sikuwa nimempa talaka na sikutaka ndoa yangu na Debora ije iingiliwe na rapsha ya aina yoyote, nilichofanya ni kuandika talaka kwa mke wangu yule wa zamani.

Baada ya talaka ile kukamilika, niliendesha gari hadi Tabata, huko ndiko Nasra alikokuwa anaishi na hawara wake, nilitaka nionane naye kisha nimkabidhi talaka ile mkononi.

Nikiwa umbali wa mita kama hamsini kabla ya kufika kwenye nyumba waliokuwa wakiishi, nikashangaa kuona kuna kitu kama harusi. Nikaongeza mwendo kuisogelea nyumba hiyo. Naam ilikuwa ni harusi ya ndoa.

Tulubai kubwa lilikuwa limetandazwa watu waliketi kitako, mbele yangu nikamwona hawara wa mke wangu akiwa ameshikana mkono na ndugu mmoja wa mke wangu, ubani ulikuwa ukifushwa, shekh mmoja alikuwa kando akifungisha ndoa.

“Inamaana mke wangu Nasra anaolewa!” bila kutarajia nikajikuta nimelopoka kibwege.

JE? NINI KITATOKEA. USIKOSE KUFUATILIA SIMULIZI HII YA KUSISIMUA
 
Sehemu ya 68

Kitendo cha kunililia niliona ni kama alikuwa akinichuria tu, nilichofanya ni kumlipa fedha zake zote, nikampa nauli tayari kwa ajili ya kurudi kwao Iringa.

**** Wiki mbili badaye, baada ya Doren kuondoka kwenye mji wangu, Debora naye alirejea kutoka Afrika kusini, ilikuwa ni furaha kwangu kungana na mwanake huyo ambaye penzi langu nililihamishia kwake kiasi cha kufanya sura ya mke wangu Nasra kuanza kufutika kichwani mwangu.

Penzi langu na Debora lilinoga kadiri siku zilivyo yoyoma, ikafikia hatua tukaanza kufikiria ndoa kati yetu.

Fikra za ndoa zikapelekea kuanza kutambulishana kwa ndugu na jamaa, uhusiano wangu na mwanamke huyo haukuwa siri tena. Ukawa wazi kwa kila mtu.

Pamoja na ukweli kwamba Nasra, mke wangu wa zamani alikuwa mrembo pengine kuliko Debora, lakini nilimpenda Debora kwa jambo moja tu lililomtofautisha na Nasra.

Alikuwa mwanamke mwenye akili ya maisha, mipango yake na mawazo yake wakati wote ilinivutia mno.

Hilo likanifanya nimwamini mno, nikaona huyo ndiye msichana ambaye Mungu aliniandikia maishani. Nilichofanya ni kuharakisha mipango ya ndoa.

Kwa kuwa mke wangu wa zamani, Nasra, sikuwa nimempa talaka na sikutaka ndoa yangu na Debora ije iingiliwe na rapsha ya aina yoyote, nilichofanya ni kuandika talaka kwa mke wangu yule wa zamani.

Baada ya talaka ile kukamilika, niliendesha gari hadi Tabata, huko ndiko Nasra alikokuwa anaishi na hawara wake, nilitaka nionane naye kisha nimkabidhi talaka ile mkononi.

Nikiwa umbali wa mita kama hamsini kabla ya kufika kwenye nyumba waliokuwa wakiishi, nikashangaa kuona kuna kitu kama harusi. Nikaongeza mwendo kuisogelea nyumba hiyo. Naam ilikuwa ni harusi ya ndoa.

Tulubai kubwa lilikuwa limetandazwa watu waliketi kitako, mbele yangu nikamwona hawara wa mke wangu akiwa ameshikana mkono na ndugu mmoja wa mke wangu, ubani ulikuwa ukifushwa, shekh mmoja alikuwa kando akifungisha ndoa.

“Inamaana mke wangu Nasra anaolewa!” bila kutarajia nikajikuta nimelopoka kibwege.

JE? NINI KITATOKEA. USIKOSE KUFUATILIA SIMULIZI HII YA KUSISIMUA
Imeishia patamu kinoumah
 
Sehemu ya 66

POMBE iliyokuwa kichwani ikanifanya nishindwe kufikiri na kudhibiti mihemko, tamaa ya ngono ikawa kubwa, nilimwangalia Deren akiwa anatembea kama Twiga huku wowo lake likiendelea kuacha ujumbe uliosema ‘ushindwe mwenyewe’

“Kwani nikitoka kimapenzi na Deren nani atajua? Kuna ubaya gani?” nilijiuliza kimoyomoyo, Kwa kweli sikuona cha kunizuia kulila lile embe bichi.

Nilichofanya ni kusimama na kumfuata chumbani kwake. Mlango ulikuwa umeegeshwa tu. Nikasukuma.

Wakati uwazi wa mlango unaongezeka, nikakutana na Deren aliyekuwa wima kama mlingoti, macho yamemtoka pima. “Baba!!” akasema kwa mshangao.

“Usiwe na wasiwasi Deren, nataka tuongee.” Niliongea kwa sauti ya upole. Nikarudishia mlango na kukomea kwa ndani. “Usiogope Deren…” niliendelea kuongea kumtoa wasiwasi. “Deren.”

“Abee.” “Nimeshindwa kujizuia.” “Kujiuzuia vipi?” “Nimegundua wewe unasifa zote za kuwa mpenzi wangu, sitaki tena uwe dada wa kazi,” nilisema kwa sauti ya mahaba mkono mmoja nikaupachika begani kwakwe.

“Naogopa.” “Unamwogopa nani?” “Dada.” “Hebu acha kunisanifu Dreen, inamaana hujui kama nisha achana na mke wangu.” “Hata kama mmeachana, lakini….”

Alikwisha chelewa, tayari mikono yangu ilikwishaanza ziara kwenye kifua chake, nikawa nayabinya matiti yake kwa ustadi mkubwa.

Dereen akawa hapumia vizuri, kufumba na kufumbua jasho likamjaa maungoni mwake, kwa makusudi kabisa nikazidisha mautundu.

Sijui nilimshika wapi bwana, si akaanza kupiga kelele za mahaba, kelele zile zikanihamasisha, nikazidi kumtekenya huku na kule.

Kama masikhara, nikamchojoa nguo zote, na mimi nikafanya hivyo, tukawa saresare maua. Kilichofuata baada ya hapo ilikuwa ni kumpa ‘mkomboti’ wa nguvu.

Mmenyano ulikuwa mkali sana, dakika 20 badaye, mechi ikaisha kwa matokeo ya goli moja kwa moja, nakumbuka tulibakia tukiangaliana kama majogoo waliokuwa kwenye mapigano makali.

Umri wa Doren ulikuwa hauendani na mwonekano wake, sikutegemea kama binti huyo angekuwa fundi chumbani.

Pamoja na ujuvi aliokuwa nao kunako sita kwa sita, lakini msichana huyo alikuwa na tatizo moja ambalo lilininyima raha mno kwa siku hiyo. Kutokwa harufu kali ya kinywa na kikwapa.
Hahaa ananuka kumbe !! looh !!
 
SEHEMU YA 69

“Inamaana mke wangu Nasra anaolewa!” bila kutarajia nikajikuta nimelopoka kibwege.

WATU wachache waliokuwa karibu, wakageuka kuniangalia, sikuwajali, nikaendelea kufuatilia kwa makini kile kilichokuwa kikifanywa mbele yangu.

Shekh alikuwa akiendelea kumalizia ibada ya ndoa, bibi harusi hakuwepo, lakini kutokana na maneno ya viapo alivyokuwa akivizungumza Ally na ndugu wa mke wangu, nikawa na uhaki wa asilimia mia anayeolewa ni mke wangu Nasra.

Dakika kumi na tano badaye kila kitu kilikamilika, watu wakapiga vigelegele, mara bibi harusi akaletwa, naam Nasra Mfaume, alikuwa katika shela nzuri.

Michoro ya hinna na mapambo aliyokuwa amevikwa yalimfanya aonekane kama malaika aliyeshushwa kutoka mbinguni.

Alitembea kwa mwendo wa kobe, shangwe nderemo na hoihoi, zilimpamba. Akaishia kwenye lile jamvi alilokuwa ameketi bwana harusi. Ally Abduli.

Wakawa karibu, wamependeza kama vipepeo. Wapiga picha wakafotoa picha nyingi kuwalenga wao, Shekh aliyekuwa akiwafungisha ndoa, nikamwona akijiweka kando, mshenga na wapambe wakawa miongoni mwa watu waliompongeza Ally kwa kung’oa kifaa.

Bahasha yangu iliyokuwa na karatasi ya talaka, nikaiona nzito mithili ya furushi la mchanga.

Pamoja na kwamba nilikuwa nimesahau maumivu aliyoniachia mwanamke yule, ila kitendo cha kumwona akiolewa kiliniuma mno.

Je? ni nimpe talaka yake ama niondoke? Kuna haja ya kumpa tena talaka ilihali alikwishajipa mwenyewe kwa kuolewa na mwanaume mwingine?

Nilijiuliza kimoyomoyo. Nikaachia msonyo mkali. Haukusikika kwa kuwa kelele zilikuwa kubwa. Nikazipiga hatua kuondoka eneo lile. Moyo wangu ulifukuta wivu.

Wakati naendelea kutokomea mbali na mji ule, katika kona moja, nikamwona shekhe yule aliyekuwa akifungisha ile ndoa, alikuwa ni kama ametoka pembeni kidogo kuongea na simu.

akili yangu ikafanya kazi haraka haraka. Nikamfuta shekh yule nikamsalimia, alipoitikia nikamuuliza: “Kuna jambo napenda kukuuliza shekh.” Akasita kutembea, akasimama akanitizama kwa mshangao, akatikisa kichwa kunikubalia.

“Karibu, uliza.” “Yule mwanamke uliyemfungisha ndoa unamjua?” Swali hilo likaufanya uso wa kiongozi yule wa dini kuwa na mshangao zaidi. “Nini mantiki ya swali hi
 
SEHEMU YA 70

“Hapana.” Akajibu huku uso wake ukisubiri maelezo zaidi juu ya mantiki ya swali hilo. “Yule ni mke wangu.”

“Unasema nini!!” “Bi harusi ni mke wangu wa ndoa.” “Wacha wee!” Alitaharuki. “Hata hivyo, leo ndio nilikuja kumpa talaka yake, bahati mbaya kabla ya kumkabidhi, ndio nakuta anaolewa.

Sijampa bado talaka ni hii,” nilisema huku nikimwonesha bahasha yenye talaka. “Subuhanallah!” jamaa aliendelea kutaharuki, akaendelea. “unasema kweli?”

“Kwa nini nikudanganye?” “Ally na Nasra hawana ndoa, kama ni kweli unielezayo, kilichofanyika ni kufuru na uasi mkubwa mbele za Allah.” “Ndo’ hivyo” nikashadadia.

“Vijana wale waliniambia kwamba hawana mke wala mume.” Shekhe alilalama macho yakiwa yamemtoka pima. “Waongo wakubwa Wanaizaya wawili wale.” Nilichofanya ni kumsimulia kila kitu shekh yule, sikuficha. Hadi naweka nukta Shekhe alibakia mdomo wazi.

Kiongozi yule wa dini aliyejitambulisha kwa jina la Omary Jamal alisikitishwa sana kwa mambo hadithi niliyomweleza, lakini pia alionekana kuchukizwa na tendo alilofanya. Kumfungisha ndoa mke wa mtu.

Alitafakari kwa muda kidogo kisha akaniuliza: “Nitathibitishaje kwamba kweli Nasra ni mkeo na bado hujampa talaka?”

“Ukitaka nitakuonesha cheti cha ndoa, pia unaweza kumwomba Nasra akuoneshe talaka ambayo imetoka kwangu kama atakupa,” nilimwambia “Shekh Omari! shekh Omari!” mara tukasikia sauti ikiita nyuma yetu.

Wote tukageuka kule sauti ilipotokea. “Pilau tayari huku, mbona umeganda hapo?” mtu mmoja aliyekuwa amevaa kanzu nyeupe ya kung’aa alimwambia.

“Mimi naondoka, wewe nenda ukale pilau, lakini ukitaka kuthibitisha haya nikuelezayo, namba zangu hizi. Nitafute,”nilisema, nikamwachia kadi ya biashara.

Nikaondoka nikimwacha shekhe Omari kwenye mkanganyiko mkubwa, ni wazi kwenye maisha yake ya kiroho hakuwahi kukutana na kisanga kama kile. Kumfungisha ndoa mke wa mtu.

Nilirejea nyumbani, siku yangu ikiwa imeharibika. Nilimpigia simu Debora na kumweleza kila kitu.

Debora alinisikiliza, akaonekana kufurahishwa kusikia Nasra amefunga ndoa na mwanaume mwingine, nadhani aliona sasa naweza kuwa mali yake bila kuwepo na kizuizi chochote.

Baada ya maongezi, tuligana simuni, tukapeana miadi
 
SEHMU YA 71

**** Wiki moja badaye, Shekh Omari alinipigia simu, akaniambia aliongea na na mke wangu pamoja na mwanaume wake, akasema baada ya kuwabana walikiri kwamba Nasra alikuwa ni mke wangu na aliolewa bila kupewa talaka.

“Nimewaonya siku nyingine wakome kuwaingiza viongozi wa dini kwenye mambo yao ya kipumbavu.

Nimewambia tulichokifanya wiki iliyopita ni uasi dhidi ya makatazo ya mwenye Mungu,” alisema, akaendelea. “Napenda nikuulize jambo moja?” “Uliza shekh.”

“Dhamira ya kutoa talaka bado unayo?” “Ipo pale pale, kwa kifupi simtaki tena.” “Basi ni kheri iwe hivyo, maana kwa hatua mlivyofikia siyo salama tena.” Alisema. Tulizungumza hadi simu ikaisha chaji.

Baada ya simu kukatika, nikaendelea na kazi zangu, nilipofunga biashara zangu jioni nikarudi nyumbani. Wakati nafika nje ya geti, nikingoja mlinzi anifungulie ili niingize gari ndani, mara nikagongewa dirishani.

Nilipotupa macho nikamwona Nasra. “Moyo ukanipiga paa!” alisimama kinyonyonge uso wake ukionekana kumwiva, ni kama alikuwa amekutana na rapsha fulani.

Harakaharaka nikahisi kivyovyote vile atakuwa amejia talaka yake, nilitambua Nasra alikuwa akimpenda mno Ally, na matamanio yake ni kuolewa na mwanaume yule chakalamu, nafsi yangu ikakiri talaka ilijiwa.

Nikashusha kioo cha gari macho yetu yakitizamana, mimi nikimwangalia kwa jicho kali wakati yeye akiniangala kwa hali ya kawaida tu.

“Faraji asalam aleykum”akanisalimu, sauti yake ilikuwa ni ajabu nyingine. Ilikuwa ya upole na kubembeleza. “Unasemaje?” nikamuuliza.

Akajikuna kichwa kama mwenye kufikiria aseme nini, wasiwasi fulani nikauona machoni pake.

Nikahisi huenda anaogopa kusema anataka talaka akidhani nitamfanyia vurugu, nikamwambia:

“Ndio umeijia talaka yako, acha nikuletee, nilikwisha iandika siku nyingi habati mbaya sikupata nafasi ya kukupa?”nilisema.

Wakati huo geti lilikuwa limekwisha funguliwa, nikaingiza gari ndani, nikaelekea chumbani, wakati nasukuma mlango wa chumbani kumbe Debora alikuwa ndani. alikuwa ametoka bafuni kuoga, amevaa kanga moja tu.

“Honey wangu huyo!!” akanilaki na kunikumbatia “What’s up Debora.” “Niko safi.” “Nasra yuko nje.”
 
SEHEMU YA 58

Doreen. Msichana mweusi, mwenye chuchu zilizosimama wima alionesha kunijali.

Siku ya jumatatu ilipotimu, nilitikia wito, nilikwenda ofisi za halmashauri ya kinondoni, niliingia kwenye ofisi ndogo ya maofisa ustawi, mke wangu Nasra naye alikuwepo.

Hakuwa peke yake, aliongozana na hawara wake,Ally, roho yangu iliniuma sana kadiri nilikuwa nikiowana watu wale wako pamoja, kitendo cha kuwaona ilikuwa ni kutonesha kidonda kibichi.

Zamu ya kuhudumiwa ilipofika, tuliingizwa kwenye ofisi ndogo, kabla ya kuanza kuzungumza kinaganaga juu ya nani anastahili kumlea mtoto, maofisa ustawi walitutaka radhi tuwe na subira kidogo tumngojee kiongozi wao.

Tulingoja kwa muda kidogo, punde mtu aliyesemwa ni mkuu wao akaingia. Sikuamini macho yangu baada ya kumwoana bosi huyo.

Alikuwa ni Debora, mwanamke ambaye alikuwa katibu muhtasi wangu, wakati nikiwa mratibu wa elimu wilaya ya Temeke, hata yeye aliponiona alishituka. Lakini alificha mshituko wake, watu wengine hawakugundua chochote.

Aliketi. Kesi ikaanza kusikilizwa. Alianza mke wangu kujieleza, akawaeleza ameachana na mimi kutokana na manyanyaso yatokanayo na kipigo nilichokuwa nikimpa baada ya kulewa pombe, lakini kama haitoshi, akasema nimemnyang’anya mtoto mdogo ambaye kisheria ilibidi alelewe na yeye hivyo madia yake ya msingi ni kumtaka mtoto wake.

Wakati mke wangu anaeleza mambo yale nilihisi kifua changu kikijaa hewa, nikawa sihemi vizuri, hasira zilinilipanda vibaya sana. Nasra alikuwa akizungumza uongo mwingi sana huku akinipaka matope mbele za watu.

Zamu yangu ya kujieleza ilifika, nilieleza kwa ufupi sababu ya kumwacha mwanamke yule, nikawambia nimetengana na Nasra kutokana na umalaya wake , tabia ambayo nimeona inaweza kuleta matatizo kwa mwanangu.

“Tumewasikiliza…” Hatimaye Debora kiongozi wa wale maofisa alisema. “Pamoja na mambo yote hayo, bado sheria inampa haki mama wa mtoto kuishi na mtoto huyo.

Na si hilo tu, sheria inampa haki mwanamke huyu ya kupata sehemu ya mali mlizochuma pamoja katika maisha yenu ya ndoa.” Debora alisema, tena bila kuniangalia usoni.

JE? NINI KITATOKEA.
Hapa ndiyo damu inapomwagika...


Cc: mahondaw
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom