Chukua tahadhari kaka mwanamke anaweza kufanya kitu chochote ili kulipiza wewe kumwacha, pia ni muhimu kumweka dogo wazi sababu za kumwacha na kumpa ushauri nyie ni ndugu na mambo ya mapenzi huanza taratibu bila matarajio na inawezekana wewe mlishindana lakini wao wakawezana kwa hizo tabia mwisho wakawa pamoja na pia inawezekana anajaribu kuwa na dogo ili aendelee kuwa karibu nawe.
Sasa kama hujui lengo lake nini, inakuhusu nini???!!! Yani umeniharibia asbh yangu, mwanaume mzima unakaa kuchunguzachunguza mdogo wako anachat na nani!!! We vipi? Au bado unampenda?!!!
Unajua wengi wanashindwa kunielewa,mimi huyu ni mdogo wangu,na sio kisa nawaonea wivu laa'huyu mwanamke analengo lake na siku akijatimiza atakuwa kishatuvuruga,faham kuwa yeye sio ndg yetu,
Nawaheshimu sana member wenzangu hapa,kwa hyo sio kila thread mtu uchangie nyngne zipotezee tu kama huna ushauri,
Wivu huwa unakuwa kwa package tofauti tofauti
Hii nayo ni mojawapo.
Ila dogo hana adabu kama atakula ngoma alodondosha kaka yake
Anaweza hata kula mkeo kama hayupo.
Kama umeshampatia kazi basi akapange nyumba yake
Ili wewe usife na MIWIVU bure
Na kuhusu binti, sijamwelewa, labda anatafuta 'comfort' kwa mdogo wako ila hana nia ya 'kumla'
Umejuaje kama hafai? Napata jibu kuwa wanawake hawapendani.Yaani huyo mwanamke hafai hata kidogo
Ana matatizo ...sijui hata nikupe ushauri gani juu ya hili
Thanks kongosho.lakini kwa life la huku ughaibuni dogo bado hana uwezo wa kupanga,
Nawaheshimu sana member wenzangu hapa,kwa hyo sio kila thread mtu uchangie nyngne zipotezee tu kama huna ushauri,