Hahahhhuyo jamaa atakuwa anaBet mchunguze vizuri
Kuna wanaume mario vibaya mno...Stuka haraka sana na kuingia mitini. Miezi sita baada ya kuanza mahusiano ameanza kuwa omba omba!? 😵😵😵
HahahhhKuna wanaume mario vibaya mno...
Out atakutoa yeye ila bili utalipa weee (hawachelewi kujifanya wamesahau card ya benki)
Nafikiri ana tatizo la negativity unahitaji kumfungua aone fursa...Mpeleka kwenye semina za ujasiriamali akili yake ibadilikeHabarini za leo wana Jukwaa hili. nipo hapa leo munishauri ndugu zangu, mimi ni mdada wa miaka 33 niliolewaga zamani ila ndoa ikaota mabawa miaka 6 iliopita. lakini pamoja na hayo bado nina hamu sana ya kuolewa cause naona mara ya kwanza hata sikuinjoy maisha ya ndoa. sasa naomba ushauri wenu kuna mwanaume nimekutana nae kama miezi sita hivi imepita, ni mtu mzima miaka 38 yeye hajaoa bado, so anataka tuoane baada ya kufahamiana vizuri lakini kinachonichosha ni kwamba tangu nijuane nae kila siku analia shida, anasema hana hela ananiambia matatizo yake kila kukicha na kuniomba hela mara hana ela ya kula, mara umeme umeisha nimnunulie luku nk. mwanzo nilijua ni kusaidiana tu labda anapitia kipindi kigumu kifedha, lakini imekuwa ni zoezi endelevu, wakati yeye anafanya kazi na mimi nafanya kazi. amekuwa ni mtu wa kulalamika kwamba kazi anayofanya haina maslahi nk. sasa kwa kweli nachoka sana nashindwa kuelewa hii tabia yake, hela anapeleka wapi? na kama hatujaoana tu ndio hivi ikifika ndani si ndio itakkuwa balaa wakati mimi natagemea tusaidiane maisha badala yake imekuwa mimi ndio wa kumsaidia yeye kila siku. kashakula hela zangu nyingi wakati mimi sijawahi kumuomba hela yoyote ile. nahisi kama nimemchoka jamani, naomba ushauri wenu. sihitaji wale wenye lugha chafu za kejeli, nipo serious jamani nahitaji ushauri wenu. Asante
Kumbe wanawake wa dizaini yenu wapo...hongera sana...mjue hata wanaume nao huchoka vizinga kama nyie...cha kufanya zungumza naye kwa utaratibu...mwambie na yeye akupe pesa..mwambie unashida..pesa kupeana.Habarini za leo wana Jukwaa hili. nipo hapa leo munishauri ndugu zangu, mimi ni mdada wa miaka 33 niliolewaga zamani ila ndoa ikaota mabawa miaka 6 iliopita. lakini pamoja na hayo bado nina hamu sana ya kuolewa cause naona mara ya kwanza hata sikuinjoy maisha ya ndoa. sasa naomba ushauri wenu kuna mwanaume nimekutana nae kama miezi sita hivi imepita, ni mtu mzima miaka 38 yeye hajaoa bado, so anataka tuoane baada ya kufahamiana vizuri lakini kinachonichosha ni kwamba tangu nijuane nae kila siku analia shida, anasema hana hela ananiambia matatizo yake kila kukicha na kuniomba hela mara hana ela ya kula, mara umeme umeisha nimnunulie luku nk. mwanzo nilijua ni kusaidiana tu labda anapitia kipindi kigumu kifedha, lakini imekuwa ni zoezi endelevu, wakati yeye anafanya kazi na mimi nafanya kazi. amekuwa ni mtu wa kulalamika kwamba kazi anayofanya haina maslahi nk. sasa kwa kweli nachoka sana nashindwa kuelewa hii tabia yake, hela anapeleka wapi? na kama hatujaoana tu ndio hivi ikifika ndani si ndio itakkuwa balaa wakati mimi natagemea tusaidiane maisha badala yake imekuwa mimi ndio wa kumsaidia yeye kila siku. kashakula hela zangu nyingi wakati mimi sijawahi kumuomba hela yoyote ile. nahisi kama nimemchoka jamani, naomba ushauri wenu. sihitaji wale wenye lugha chafu za kejeli, nipo serious jamani nahitaji ushauri wenu. Asante
Wanawake na nyinyi hampendi kupigwa vizinga...sasa mbona sisi tukiwaambia kupiga vizinga sio vizuri...mnasema ss mabahili..jina la wanaume wapiga vizinga wanaitwa Mario...wanawake wapiga vizinga wanaitwaje??Tupa kule huyo Mario, sio kawaida mwanaume Kukosa aibu na kuwa anakuomba kila kitu hivyo, You ain't his mama.!
Inawezekana anaona una shida ya kuolewa so anatumia hiyo chance kujifaidisha
Imeandikwa, mwanaume atakula kwa jasho sio mwanamke atakula kwa jasho... Ni maandiko .mwanaume wa kulia njaa kumwomba omba mwanamke ni Mario tu tena mzigo. Sio Ile kusaidiana Mara moja moja , kila siku anaomba.Wanawake na nyinyi hampendi kupigwa vizinga...sasa mbona sisi tukiwaambia kupiga vizinga sio vizuri...mnasema ss mabahili..jina la wanaume wapiga vizinga wanaitwa Mario...wanawake wapiga vizinga wanaitwaje??
Mwanaume naye huitwa malaya..sasa hv haki sawa...zamani mambo ya haki sawa hayakuwepo.Imeandikwa, mwanaume atakula kwa jasho sio mwanamke atakula kwa jasho... Ni maandiko .mwanaume wa kulia njaa kumwomba omba mwanamke ni Mario tu tena mzigo. Sio Ile kusaidiana Mara moja moja , kila siku anaomba.
Mbona mwanamke akiwa na wanaume wengi anaitwa Malaya wakati wanaume hamtaki kuitwa hivyo...