Nina mpenzi tupo kwenye mahusiano yapata miaka 3 , anaishi Zanzibar me Dar, amebadilika mno tangu January ndo tulionana toka hapo nikimwambia njoo Dar Mara kazi nyingi, Mara sina nauli,Mara nasubiri likizo , ukiomba Pesa anasema atatuma ila ndo mtolee hiyo ,me nimechoka sielewi nifanyeje ,ukimpigia simu anasema yupo usingizini tutaongea kesho, akikuta call anitafuti mpaka nimtafute ,jamani naomba ushauri wenu wanaJF.
Uhitaji ushauri jibu ni kwamba huko zenji ana mke wewe ulikuwa mchepuko alikulaghai tu ili akija daa .... ili apate mapozeoNina mpenzi tupo kwenye mahusiano yapata miaka 3 , anaishi Zanzibar me Dar, amebadilika mno tangu January ndo tulionana toka hapo nikimwambia njoo Dar Mara kazi nyingi, Mara sina nauli,Mara nasubiri likizo , ukiomba Pesa anasema atatuma ila ndo mtolee hiyo ,me nimechoka sielewi nifanyeje ,ukimpigia simu anasema yupo usingizini tutaongea kesho, akikuta call anitafuti mpaka nimtafute ,jamani naomba ushauri wenu wanaJF.
Maana yake keshaliwa..... Hahahaaaaamanyoya hayo
Nina mpenzi tupo kwenye mahusiano yapata miaka 3 , anaishi Zanzibar me Dar, amebadilika mno tangu January ndo tulionana toka hapo nikimwambia njoo Dar Mara kazi nyingi, Mara sina nauli,Mara nasubiri likizo , ukiomba Pesa anasema atatuma ila ndo mtolee hiyo ,me nimechoka sielewi nifanyeje ,ukimpigia simu anasema yupo usingizini tutaongea kesho, akikuta call anitafuti mpaka nimtafute ,jamani naomba ushauri wenu wanaJF.