Simuelewi mpenzi wangu

Simuelewi mpenzi wangu

hyo 38 n muda wa kulea watoto na kuwatengenezea misingi mizuri watoto wenu

Afadhali ndg yangu unisaidie maana hawa jamaa hawajui kabisa, sasa ukioa una miaka 38 then huyo tu 1st born mpaka aje aanze la kwanza una 40 na kitu akija kumaliza la saba una 50 na kitu na kama una mipango ya watoto watatu mtoto wa 3 atamaliza darasa la saba una 60 kuelekea 70
 
Mdada anachofanya ni sawa kabisa.
Akikubali haraka haraka ataharibu mapenzi we komaa mtafutaji hachoki akichoka kesha gegeda.
 
Afadhali ndg yangu unisaidie maana hawa jamaa hawajui kabisa, sasa ukioa una miaka 38 then huyo tu 1st born mpaka aje aanze la kwanza una 40 na kitu akija kumaliza la saba una 50 na kitu na kama una mipango ya watoto watatu mtoto wa 3 atamaliza darasa la saba una 60 kuelekea 70

sikia bro.mchane live,then angalia mabadlko.kama hawlewek,bas hatak kuolewa ana basha wake huyoooo.wewe wa matumizi tyu...
 
Mimi ni kijana wa miaka 28, kwa sasa nahisi umefika muda muafaka wa kuwa na mwenza wa kujenga nae maisha na familia. Kuna mdada ambae nilitokea kumpenda na ninatamani awe mke wangu.kiukweli toka tumeanza mahusiano hatujawahi hata kusex na Tatizo lililopo ni kuwa simuelewi kabisa maana inaweza pita hata miezi miwili hatujaonana na kila nikimhitaji anadai yupo busy nikimuomba niende kwao angalau nimuone hataki na anakuwa anatoa visingizio tu so tunaishia kuwa wapenzi wa kuongea na simu tu na kuchat japo pia sometimes simu huwa hapokei na wala sms hajibu na nikimuuliza mbona unanifanyia ivo mpaka nakuwa sikuelewi anajibu kuwa bado ananichunguza. Tuna miezi minne toka tuanze mahusiano bt nahisi nmechoka na nahitaji nitafute mtu mwingine. Pls naombeni ushauri niendelee kumvumilia au niachane nae?

Zinduka!!! Umang'ang'nia pembe, wakati watu wengine wanaendelea kukamua maziwa na kunywa!!!

Hapo sikwako, tafuta sehemu nyingine.
 
Mmmmmh hatareeeeeeeeeeeeeeeee mmmmh :ranger:..:A S 27::A S 27:
 
kazi unayo...

huyo ana foleni ya akina Excel anaowachunguza!

yawezekana wewe uko mwishoni kabisa! so faili lako huwa analipitia wakati wa kulala akiwa na usingizi mzito!!

by the way, kuchunguzana ni pamoja na mawasiliano... sasa kama unachunguzwa kihivyo... ni zamu yako kuchunguza!

hahahahahahah
dah!kuna watu wanajua kuumiza wenzao!
 
Last edited by a moderator:
hahahahahahah
dah!kuna watu wanajua kuumiza wenzao!

nimesema tu ukweli kwa kuwaza kwangu mkuu..

vni bora uumie huku ukiwa unaujua ukweli, kuliko kuumia huku huujui ukweli!
 
chapa lapa ndugu, bado na umri mdogo sana, isitoshe wanawake wako wengi, tafuta anayestahili kuolewa
 
Kosa kubwa sana mnalofanya vijana ni hii tabia ya kudhani ukishafikia umri fulani ndiyo umepewa mhuri wa kuoa...nana alikudanganya miaka 28 ndiyo ya kuolea...hujawahi kusikia marriage ni suala la matther over mind?
 
Wewe usiwe km sio lofa! hakuna mapenz hapo aah!
tafuta chance akijichanganya onja mchuzi tafuta wife material uoe!
 
Umri bado mdogo usikimbilie kuoa kijana,subiri walau ufikishe 38................

@mh shosti akioa na 38 mtoto wa kwanza atamzaa akiwa na 40? nani atalea watoto wake?
 
Back
Top Bottom