simuelewi mpenz wangu

wewe shark kwanini hukuweka reason ya kudelete post yako? usiludie tena

Shark JF Senior Expert Member
[h=2] This message has been deleted by Shark. [/h]
 
kwa ufupi huyo jamaa ana mambo binafsi yanamsumbua.....
cha kufanya muache kwanza.....usmuulize chochote
na akikutafuta kuwa bize kidogo....mwambie tu uko bize...uone
 
hivi kipimo cha mapenzi ni hayo unayoona jamaa yako hayafanyi unavyotaka wewe au unavyoona wenzio wanafanyiwa...watu wako tofauti bwana hebu nenda nae jinsi alivyo mwisho wa siku mtafika mnapotaka,acha kuangalia au kusikiliza mashosti zako kwenye mahusiano yao ya kiisidingo.
 
hivi kipimo cha mapenzi ni hayo unayoona jamaa yako hayafanyi unavyotaka wewe au unavyoona wenzio wanafanyiwa...watu wako tofauti bwana hebu nenda nae jinsi alivyo mwisho wa siku mtafika mnapotaka,acha kuangalia au kusikiliza mashosti zako kwenye mahusiano yao ya kiisidingo.
<br />
<br />
thanx
 
Mfumo wa elimu wa Tanzania ni, seven, four, two, three. mbona kwa umri wako ulitakiwa uulize maswali ya elimu au ni somo gani linakusumbuwa darasani?<br />
Soma kwa bidii, haya mambo hayana mwisho. kwa sasa zingatia masomo darasani.
<br />
<br />
nipo kazin
 
kwa ufupi huyo jamaa ana mambo binafsi yanamsumbua.....<br />
cha kufanya muache kwanza.....usmuulize chochote<br />
na akikutafuta kuwa bize kidogo....mwambie tu uko bize...uone
<br />
<br />
iam going to trie.thanx anyway
 
kwa simple calculation umi wako ulipaswa uwe high school.
<br />
<br />
i got u matola,u donknow how dd i get to work and
can u gv me an advice cause its al i need right now!
 
Hicho ni kibuti cha kimya kimya,hebu na wewe mkaushie tu kama atakumbuka kama nzenzu!
 
kuwa busy na mambo yako kwani si kila mwenza umpatae atakidhi matwakwa na tabia utakazo ,... pia unaweza kuwa unapata muda wa kuongea nae ajifunze kutoka kwako
 
heeh,mkwe! hiyo nilijifunza kwa babu mkwe! hivi unajua watu huwa hawaulizi maswali ambayo hawana majibu yake?
<br />
<br />
kweli mkwe, mimi mwenyewe nilivyokuuliza nilijua kabisa babu mkwe ndio kakufundisha. Lol.
 
Humuelewi mpenzi wako while you say "I can say he z the love of ma life" that stement makes blind of love na ndoo maana anaringa na kutokukujali
 
Back
Top Bottom