Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,313
- 92,439
Mfumo wa elimu wa Tanzania ni, seven, four, two, three. mbona kwa umri wako ulitakiwa uulize maswali ya elimu au ni somo gani linakusumbuwa darasani?<br />
<br />
25 kwa 20
Soma kwa bidii, haya mambo hayana mwisho. kwa sasa zingatia masomo darasani.