Simuelewi mke wangu

Alizingua halafu akajiongeza kuwa umemaindi, alitaka atumie mbinu yao ile ya "yani ndio umekasirika?" usenge mtupu! Huyo ni kumsusa tu mazima.
 
Tatizo la hii approach ni kwamba it never works for all women.

Wachache waliojaliwa hekima,busara na high IQ ndio inafaa kuwasikiliza. Wengi wana tabia ya ku mislead mtu au ukifata njia aliyokupa yeye ikawa sio successful anakugeuzia jungu la lawama utadhani yeye hahusiki kabisa.

Wengine atakusimanga unashindwa kusimama kama baba bana. Mi ningeongeaj kama ungesimama kama baba. So mikandamizo lazma iendelee tu!
 
Mkuu hukutakiwa kumrudishaa na kiwiko alipolala kama wewe wanawake bhana acha tu..!!


Kwanza wanaume wengi unakutaa tunachoka na kazi na ukirudi home yani ule muda wa kusema utamuandaa mwenzio as inavyotakiwaa inakuwaga ngumu alafu ukute wife ana stress zake hata kulowa mtihaniii wewe unaforce tu izameee hapo ndo hatarii mwanamke anakinai tendo japo ukute mwanzoni ulikuwa unampa dozi yenyewee ila now mood off yani utajisumbua tu.

Pili hakuna mwanamke ambae ana visirani na hasira za ovyoo kama mwanamke ambae kitandani Hakunwi vilivyooo yani anatembea na migenye yake daily hata watoto watakuwa wanachapika kwa viti vya ovyoo...Majibu yake ni ovyo sanaaa.. Hawa viumbe kuwaelewa ni ngumu sana
 
Hama chumba haraka sana (out of sight, out of mind); kama nyumba yako ina vyumba vingi. Husinywe chai yake wala, chochote atakachokuandalia kula. Anza kumuita dada/shemeji, ukiongezea jina lake, mfano; "Dada/Shemeji Sharifa, natoka." Onyesha uchangamfu usiyo wa kawaida, hata kama atakuwa kanuna. Mara moja moja lala, "guest/lodge/rest house/hotel." Mtoe akilini mwako kabisa wekeza juhudi zako katika kazi. Hasipo kulilia umpe "mkono wa tembo." Mtafute shehe/padri/mchungaji/mkuu wa wilaya(msajili wa ndoa) avunje kiapo chenu cha ndoa, umrudishe kwao haraka kabla hajafia mikononi mwako. Masuala ya kupigana spana ya kufungia mabomba ya maji kichwani, yaichie Kimara-Dar kwa marehemu... ama Kigamboni kwa gunia la mkaa. Kumbuka: Mtoto ni wa mama, baba ni mlezi/mrishi/mwangalizi tu.
 
Kwakweli inauma mkuu. Mi nishaamua, nitatafuta mchepuko tutaenda tutapima, niwe najilia tu. Maana naona hata nikimlazimisha kubadilika tayari hakuna hisia za kweli hapo
 
Sisi ni wachache, nyie ni wengi ndio sababu mnajaa makanisani kutafuta waume ,kwa waganga , wengine mnahamia kwa waume za watu n.k .
Hatuwatesi mkuu tunatesana tu.
Na nyie mpo wengi.
Lkn hongereni, pamoja na kua wanaume ni wachache, unakuta hapo mwanamke una Wanaume watano sita. ( hii tunaiita kutojionea huruma).
 
Namimi kwenye hili nimeongelea hao hao inayowahusu, mana binadamu hatufanani kinachonikwaza mimi kwa mwingine ni kitu kawaida, ila kwa wale wanaolengwa na hili ndo nnaowangelea mimi mana ndo victim
 
Inategemeana pengne ni mjamzito mkuu
Angalie huwenda ujauzito hautaki kugegedwa kila wakati
 
Dawa ndio hiyo,ili nae ajue kua hajaolewa kuja kusalisha
 
Maneno kuntu.
 
Hili ni tatizo lako kama hupendi kuambiwa ukweli ili ubadilike
No kuna busara za kutumia ili mtu afahamu kuwa ana kasoro fulani ila sio kwa kumwambia live bila chenga eti umwambie kwamba K yako inanuka atakuchukia milele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…