Simuelewi mke wangu

Hakuwa na tabia hiyo kabla ya kuoana? Kama alikuwa nayo, usingekubali kuolewa. Kama kabadilika, chukua hatua ya kumwambia yeye, then ndugu au viongozi wa dini, ikishindikana basi uamuzi ni wako ufanye nini. At least ukimweleza mtu, atakuelewa.
hivi umeoa? kama hujaoa basi subiri ukiingia kwenye ndoa ndo utaelewa, lakini kame umeoa nazani utaelewa tabia za mtu kwenye ndoa na kabla ya ndoa ni tofauti sana, na mtu kabla hajakuoa unaweza kumrekebisha mana anakuwa na shida na wewe kwahiyo atafanya juu chini kukuridhisha lakini mkishaingia kwenye ndoa wanaume wengi huwa wanaona kama vile ndo mwisho wa jeuri ya mwanamke anaamua kufungua makucha. Alafu usijidanganye kwamba kuwambia ndugu au viongozi wa dini ndo kutamfanya abadilike,

NEVER mtu anabadilika kwa kutaka mwenyewe, na elewa jambo moja hapa sijaongelea zile tabia nzito ambazo zitakufanya uende kwa watu kutafuta suluhu, hapana ishu hapa ni vile vitabia vidogo vidogo, kama kutompa mwenzio attention na kutomsikiliza mwenzio unataka kila unachosema wewe kwasababu ni mwanaume basi ndio hivyo, yani kwenye maisha yengu mkeo anakuwa hana nafasi ya kutoa wazo, hata ukimshirikisha jambo unataka akubaliane nawewe tu sio na yeye aongezee lake,

mfano mnajenga, lakini unataka kila kitu kiwe vile unataka wewe, mwanamke aki suggest hata sebule basi iwe hivi hutaki, au mnataka kununua gari, utakalo sema wewe ndio hilo mwanamke akitoa wazo lake unamuona hajui kitu, yan inshort inakuwa kila maamuzi utaka yawe ya vile utakavyo wewe ya mwenzio yote unayaona haya maana, sasa hapa ndo nnaposema kwamba mwanaume vitu kama hivi ataviona vidogo ila trust me kwa mwanamke ni msumari unaomchoma pole pole, mana ataanza ku loose confidence kwasababu anajua akitoa wazo lolote litapingwa
 
Yes, kupewa attention na kusikilizwa kuna maana kubwa sana tena sana kwenye mahusiano kwasisi wanawake
Sasa hio attention mbona kuna wenzenu wanapewa ya kuzidi wanaishia kuwaita washakaji ni Boring?
 
Umesema kweli kuwa mtu anaweza ficha tabia kabla ya kuoa/kuolewa. Nafikiri mara nyingi tunapowashirikisha watu, si kwamba watambadilsha mtu. La hasha, ni kujenga uhalali katika jamii wa hatua pindi utakayochukua yeyote baadaye. Maadamu umeongea na mhusika na hayupo tayari kubadilika na upendo wako umekwisha, una options tatu tu. Mvumilie, divorce au tafuta mchepuko. Uamuzi ni wako kwa kweli. Hapo hakuna mwalimu.
 
Mleta mada hajachukulia comment yangu kama kejeli

Tatizo lipo kwako
Unapenda ligi, ni kosa kumweleza mwanaume kuwa hakazi vizuri au kumweleza mwanamke kuwa K ni bwawa au ina harufu etc. afterall ukiona mwanamke hakojoi hata ukujipinda jua hakupendi. Uzoefu unaonesha kuwa mwanamke anayekupenda hata kumgusa tu anakojoa na hata ukiingiza kichwa yeye hoi. Hivyo kusimamia kucha kama kwenye porno ni ishara kuwa mwanaume unatwanga maji katika kinu.
 
too much is harmful 😁😁😁
Thats stupid, ndio maana tunarudi pale pale mwanamke ni kiumbe wa ajabu. Hatosheki with whatever ana claim na huwezi mtimizia vyote maana kila wakati ana hitaji jipya.
 
Kama anakimbizwa in a wrong direction si aseme sasa kununa ndiyo kutabadilisha nini ?
 
Hili tatizo huenda likachangiwa na hormonal imbalance, ikapelekea kutokutoa tendo la ndoa, jaribu kwanza kutatua hilo tatizo halafu ndo uendelee kudadavua tatizo lingine.
Unaooishi na mwanamke inatokea sana hii hali na ni rahisi kuhisi mengine kumbe shida iko hapo.
 
Namkaza si mchezo, kwa hilo najiamini. Niko vizuri.
Hakuna mwanaume asiyejiamini kwa hilo ila wengi wanawake wanawavumilia tu na hawataki kuwaambia ukweli kwa kuwa atakuumiza, huyo ungekuwa unamkaza ule muda unaorudi tu tayari yeye anakusubiri kwa bashasha. Kaaa nae uongee nae vizuri si bure kuna jambo
 
Thats stupid, ndio maana tunarudi pale pale mwanamke ni kiumbe wa ajabu. Hatosheki with whatever ana claim na huwezi mtimizia vyote maana kila wakati ana hitaji jipya.
tunatosheka sana tu, mnatakiwa kuwa na kiasi
 
kwanza anza kujingalia na kijichunguza mwenyewe una makosa au mapungufu gani?? isije ikawa ulianzisha wewe mwanzoni yeye anamalizia saiviiπŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚

pili: jaribu kumchunguza kwa makini maana hapo inawezekana tayari kuna mtu anakula kimasihara na vizuri zaidi yako

tatu: hakikisha mapenzi yako kwake yapo hayajaisha au kupungua saana

nne:...................................
 
Pole sana mwanaume mwezangu tunayefanana kwenye maumivu haya.
Mke wangu pia yupo ivoivo kama mke wako. Nisipomuomba mim basi tunaweza kukaa mwez mzima bila kufanya

Hii imetokea jana usiku apa, tulikua kitandani tukaanza kucheza kushikanashikana katika maandalizi, badae nikataka kumpandia kwa juu ili nimchezee na kumnyonya maziwa, aisee nlisukumwa na mkono(nlipigwa konga) nikarudi nlipolala afu akasema nisifanye ivo yeye hajisikii na mapenz kwake co kitu anachojali sana. Aisee nlikasirika sana nikaamua nilale nianze kuutafuta usingizi. Alipoona kua kitendo alichofanya sijapendezwa nacho akaanza kunishikashika na kuminyaminya Gegedo lang.
Mimi nikaondoa hisia zote za kua nae kitandani kwakwel niligoma kusimamisha Gegedo na nikafanikiwa. Baada ya kuona mbinu alotaka kuitumia imeshindikana akataka kunigeuza kwa nguvu ili aje alikalie kwa juu. Na mim nikamrudisha alipolala(kama alivofanya yeye) kila mmoja akajikuta amelala kivyake. ***** zao Washenzi sana hawa. Dawa yao kwakwel ni kuwatafutia MCHEPUKO tu basi Ujinga wote utawaisha
 
Unasubiri mpaka aanze kukwambia nmechoma kulala chumbani kwako? Muda utakupa majibu sahh ila jua unamegewa
Wanaume wengi au wote mwanamke akikosa hamu ya tendo cha kwanza wanawaza kutombewa! Kaa jiulize mapenzi, urafiki, ukaribu mliokuwa nao kabla ya ndoa ndiyo mlionao mpaka sasa??? Chanzo ni nn? Kuna cha kurekebisha? Sio kutumia nguvu mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…