Simuelewi mke wangu

Kaka kwanza pole kwa hilo, hiyo ni tatizo dogo mkuu, kuna vitu ameshaviona kwako upo wrong au unaenda visivyo, cha msingi kama utakuwa free, wikend hii mtoa out kaongee nae, kwa upole shida ni nini, ? Kuna kitu unaenda wrong kaka, wengine huwa hawasemi hadi umwambie ,matokeo yake hufanya kwa vitendo kama hivyo,
Kama utashindwa kimtoa out,jioni ongeeni chumbani atoe ya moyoni,mkiyamaliza hapo x2 unakula ndoa yako. Pole, usitumie hasira just calm down, ndoa za simu hizi siyo za kibabe, mtakuwa single mother na bachelor sasa hivi na watoto watateseka, huyo shemegi wala hakuna anayemtomba.
 
naheshimu mawazo yako mkuuπŸ‘πŸ‘.
Msalmie wife .
 
Kaka kwanza pole kwa hilo, hiyo ni tatizo dogo mkuu, kuna vitu ameshaviona kwako upo wrong au unaenda visivyo, cha msingi kama utakuwa free, wikend hii mtoa out kaongee nae, kwa upole shida ni nini, ? Kuna kitu unaenda wrong kaka, wengine huwa hawasemi hadi umwambie ,matokeo yake hufanya kwa vitendo kama hivyo,
Kama utashindwa kimtoa out,jioni ongeeni chumbani atoe ya moyoni,mkiyamaliza hapo x2 unakula ndoa yako. Pole, usitumie hasira just calm down, ndoa za simu hizi siyo za kibabe, mtakuwa single mother na bachelor sasa hivi na watoto watateseka, huyo shemegi wala hakuna anayemtomba.
 
Hizi presha za mwendokasi boss.
 
Sasa wewe kwa nini usimwambie kuwa kakukosea unakaa kimya tu halafu unasema ajichunguze!!! Atajuaje? Unachekesha sana.

Mwanamke akiamua kuchepuka, kaamua. Eti utaongea nae akusikilize? Unatwanga maji kwenye kinu.
 
πŸ™ŠπŸ™ˆπŸ˜³ mamaaa Nimeona aibu
Duh pole yake Aisee .
Ukisikia mtu kapigwa gunia za mkaa ndio mambo kama haya. Wanawake wa kibongo ni takataka kabisa. Na hamna anachokosa kwa mumewe hapo in terms of huduma wala hawana mikwaruzano.
 
Sasa wewe kwa nini usimwambie kuwa kakukosea unakaa kimya tu halafu unasema ajichunguze!!! Atajuaje? Unachekesha sana.

Mwanamke akiamua kuchepuka, kaamua. Eti utaongea nae akusikilize? Unatwanga maji kwenye kinu.
unakuwa unamwambia lakini still mnakuwa hamuelewani, yeye anakuwa anaona yuko sawa wakati wewe unaumia
 
Si bure, Kuna mtu anakusaidia...kaanae chini umuweke wazi ikishindikana it's viongoz wa din au wazazi ikishindikana tafuta mchepuko yeye umsuse
 
Ukisikia mtu kapigwa gunia za mkaa ndio mambo kama haya. Wanawake wa kibongo ni takataka kabisa. Na hamna anachokosa kwa mumewe hapo in terms of huduma wala hawana mikwaruzano.
Dah inauma kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…