Simuelewi kabisa huyu mwanamke

Ndio maana wenzangu wengi huwa nawashauri kuwa na msichana anaekupenda WEWE zaidi, awe tu na vigezo ambavyo wewe unaona vinakufaa, utajifunza kumpenda baadae. Ikiwa vice-versa kusema kweli dada zetu hawa wanaweza kukupasua kichwa.

Msichana akikupenda kwel kwel, wewe unakua best friend wake, uwe tu una maintain good balance ya upendo, happy and bad moments. Yani atakuambia vitu vyengine hata hukuulizia.

Huyo dada pengine anakupenda lakini ndo alivyo, au anakuzingua, au anaona wewe unamzingua. Kwakua umeshindwa kujua lipi ni lipi. Maamuzi magumu nakupa, mwambie kuwa unaona kama umuelewi elewi na japo kuwa umeshamuambia mara nyingi bado ni vile vile, halaf yeye ni mtu una malengo nae, inakunyima raha na kukupa msongo wa mawazo. Let's take a break ili tutathimini mapenzi yetu n.k.

Komaa, maana hyo stage sio rahisi. Kama kweli anakupenda, upendo wa kweli wa mwanamke ni kitu cha ajabu sana, unaweza ukapotelea sehemu hata 3yrs lakini ukirudi kwake bado atakupenda. Naongelea upendo wa kwel sio wa kununulika.

Hapo mganga ni muda tu ndo utasema ukweli. Kama kweli anakupenda atarudi tu kwako. Ila this time she'll be different, perhaps ataopen up to you kwa kuona uko serious nae kimtindo.

Za kuambiwa changanya na zako.
Hizi angles zote muhimu. Nimeongezea horizon mkuu. Asante
 
Mtengeneze utakavyo ukiona haelekei pokea mapungufu yake Kama yako..


Hilo tatizo la ratiba hata Mimi ninalo..kidogo kidogo naelekea.
What if kama hofu yangu ikawa sahihi kuwa hisia zake hazipo kwangu? Maana ikiwa mwenzako anakuficha hadi mambo madogo tuu, basi kuna harufu ya ama kuwa na wenzangu kwenye foleni au moyo wake unazuga tuu huku
 
Kosa liko kwako kumuamini MTU ambaye hakuamini kujiweka wazi kwa MTU kuliko kawaida uwo in uzembe wako mwenye wala usimlaumu yeye
 
Mkuu mbona simple tu ila mwanzo itakuuma,,, mpotezee

If you love thing,, just leave it,, if it's yours Will eventually come back!

The things which mean will find a way.

Ivi unaujua upendo??

Ata kumuacha mtu unae mpenda kwenda sehemu ya furaha yake,,,
Ni upendo mkubwa sna

Maisha ni haya haya find u're Joy with you..

And God will bless you.
 
Hamna ishu hapo sepa zako. Kwa dunia ya leo hujui mtu pretender tu? Mkuu tafuta mwingne hapo utapoteza muda mwisho utaenda kujirusha manzese darajani.
 
Funga
Asante mkuu. Bahati nzuri kwa kweli tumefungua joint saving account. Hili la posa ngoja nijitahidi kulifanya ila kwa akili maana neno nakupenda limekuwa wimbo kwake
Hiyo joint account hiyo ni dalili ya kwanza ya kutoaminiana why u fanye hivyo bora usitishe hiyo ndoa
 
Mkuu mbona simple tu ila mwanzo itakuuma,,, mpotezee

If you love thing,, just leave it,, if it's yours Will eventually come back!

The things which mean will find a way.

Ivi unaujua upendo??

Ata kumuacha mtu unae mpenda kwenda sehemu ya furaha yake,,,
Ni upendo mkubwa sna

Maisha ni haya haya find u're Joy with you..

And God will bless you.
Mkuu kwanza Daniel ni jina la mtoto wangu. Pili ujumbe wako umeniingia sana. Letting it go sometimes ni upendo kwa yule mtu. Ukifika wakati huu ambao siuoni mbali, nitafanya kwa moyo wa upendo kabisa. Asante mkuu
 
Back
Top Bottom