Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 49,659
- 68,626
Hii familia wapo watatu mke na mume na mama wa mke na mtoto mmoja.
Mwanzoni mke nikimsalimia aliitikia ghafla akawa haitiki salamu yangu, nikasema poa nikajikataa, nikaacha kumsalimia.
Wana tabia ya kukaa ndani sijui wanafanya kazi saa ngapi wote watatu wanatoka nje kwa nadra sana mpaka nikiikumbuka stori ya BIG ya Steve mollel naogopa, mmoja akitoka ni mafurushi tu mama mkwe hajawahi toka kabisa nje ya geti na hatujui alikuja lini hapo tulishangaa tunamuona tu.
Nikiwa Sipo home wanatoka nje wanakaa nikishinda home hawatoki kabisa wengi wanajua pale hakuna mtu maana muda mwingi wanajifungia.
Nikienda ghafla nikawakuta nje wanaingia ndani haraka au wakiniona wanajificha haraka sijui shida nini, shida imeanza nakuwa namuota huyo mwanamke anaingia ndani kwangu kama anatafuta kitu hivi anakuja hadi chumban kwangu ni mara mbili namuota, sikumuambia mtu.
Leo mtoto wangu kamuota huyo mwanamke ambae ni mke wa jamaa anaingia ndani kwetu ila akashindwa kuingia mlango wa jikoni nikamuambia ni ndoto wala hakuna kitu.
Hatuchangii umeme wala maji sijui shida nini.
Kuna sisy kaja kunitembelea walimuita wakamuambia wanajua siku yake ya kufa aende wakamuombee ndani kwao hakuenda kuombewa tukawapeleka kwa mwenyekit wakaomba radhi tukasamehe na kuna kingine kimetokea sitakisema. Sisy ananiambia mchana wanachoma udi sana ule wenye harufu kalii.
Kama wanataka nihame wala sihami na sina mpango waje tu ilimradi wasinichubue hata damu.
Nawaza tatizo sioni upande wangu sijui nimewakosea nini.
Mwanzoni mke nikimsalimia aliitikia ghafla akawa haitiki salamu yangu, nikasema poa nikajikataa, nikaacha kumsalimia.
Wana tabia ya kukaa ndani sijui wanafanya kazi saa ngapi wote watatu wanatoka nje kwa nadra sana mpaka nikiikumbuka stori ya BIG ya Steve mollel naogopa, mmoja akitoka ni mafurushi tu mama mkwe hajawahi toka kabisa nje ya geti na hatujui alikuja lini hapo tulishangaa tunamuona tu.
Nikiwa Sipo home wanatoka nje wanakaa nikishinda home hawatoki kabisa wengi wanajua pale hakuna mtu maana muda mwingi wanajifungia.
Nikienda ghafla nikawakuta nje wanaingia ndani haraka au wakiniona wanajificha haraka sijui shida nini, shida imeanza nakuwa namuota huyo mwanamke anaingia ndani kwangu kama anatafuta kitu hivi anakuja hadi chumban kwangu ni mara mbili namuota, sikumuambia mtu.
Leo mtoto wangu kamuota huyo mwanamke ambae ni mke wa jamaa anaingia ndani kwetu ila akashindwa kuingia mlango wa jikoni nikamuambia ni ndoto wala hakuna kitu.
Hatuchangii umeme wala maji sijui shida nini.
Kuna sisy kaja kunitembelea walimuita wakamuambia wanajua siku yake ya kufa aende wakamuombee ndani kwao hakuenda kuombewa tukawapeleka kwa mwenyekit wakaomba radhi tukasamehe na kuna kingine kimetokea sitakisema. Sisy ananiambia mchana wanachoma udi sana ule wenye harufu kalii.
Kama wanataka nihame wala sihami na sina mpango waje tu ilimradi wasinichubue hata damu.
Nawaza tatizo sioni upande wangu sijui nimewakosea nini.