Simuelewi huyu mwanamke

Simuelewi huyu mwanamke

Hapo kwenye usiku mwema saa 12 nimecheka maana hata mimi nina tabia hiyo. Iko hivi, inaweza kutokea umemmiss mtu and you are dying to talk to him mpeane michapo ya siku then anakuambia anahitaji kupumzika....najikuta kwa hasira namwambia usiku mwema kwa maana kuwa kama hauna nafasi ya kuongea na mimi sasa hivi hata mimi baadae sitakuwa na nafasi pia maana nitapumzika na mimi. Lakini ikitokea ukanitafuta baadae tutaongea tu vizuri labda wewe ndio uamue kufufua kesi au naweza kukutafuta tena mwenyewe hata hiyo baadae. Ulichokosea wewe ni kutomtumia sms tena wakati unaona yupo hewani na yeye akalikuza na hatimaye mmefika hapo mlipofika....kifupi ninyi wote wawili mna visirani na huenda angekutafuta yeye ungemwambia 'si ulinitakia usiku mwema wewe'...wanawake tunapenda kubembelezwa jamani teh. Nawatakieni kila la heri
Kweli pepo lenu Moja mi naambiwaga saa 2 usiku eti usiku mwema...

Nilichofanya nikatafuta mdada wa kuchat nae pale napoona napewa adhabu ya kipuuzi..

Hiyo approach yenu na ile ya kukomoa kwa kunyima papachu uwaga inafaulu sana mwanzoni mwa mahusiano mpk hapo mwanaume anapoamua kukuona mjinga na kukupuuza na kuondoa attention kwako na kupeleka kwa mtu mwingine na mara nyingi kurudisha attention km ile ya mwanzo kwako uwaga Ni ngumu sana.. hatupendi kuona tunateseka sababu ya mwanamke hata km kweli tunateseka, mwanamke mjanja ata maintain mikwara yake sababu mwanaume kulose interest Ni sekunde tu..
 
Hahahaha
Huo ni utoto tu unamsumbua. Kuna wakati wanawake huwa tunatamani kufikiriwa sisi tu kila muda yaani ile mtu akiamka akuwazie, akienda chooni akuwazie, akiwa na kazi zake aache akufikirie na tunaenda mbali zaidi hatutaki hata wawe na muda na marafiki na jamaa zao yaani all the time wawe na sisi tu. Na ukiona hajakutafuta ndani ya saa chache unamtishia kuachana. Nilikuaga na upumbavu huu ila mtu ukishakua ndo unaona ni upuuzi na ujinga uliopitiliza wenye uselfish ndani yake
Mapenzi ya utumwa ndo wale wadada unawasikia nimempa kila kitu lkn kaniacha hamna nilichomkosea,nikimwambia tuyamalize hataki,kaenda kwa mwingine sasa case km hiyo mwanaume anakwambiaje sababu ya kuachana na wewe km sio atakuacha juu kwa juu ubaki unajihisi malaika usiye na bahati.
 
Sawa kila la kher!au kuna nyongeza
Kwenu wanaume mnaokimbilia kusema et kapata mwingine ndo maana kakuacha nasema hvi siyo sawa kuna vtu vingi vinapelekea uhusiano usiwe na mvuto tena asa pale mtu anapojiona tyar ashakumilik
 
Huo ni utoto tu unamsumbua. Kuna wakati wanawake huwa tunatamani kufikiriwa sisi tu kila muda yaani ile mtu akiamka akuwazie, akienda chooni akuwazie, akiwa na kazi zake aache akufikirie na tunaenda mbali zaidi hatutaki hata wawe na muda na marafiki na jamaa zao yaani all the time wawe na sisi tu. Na ukiona hajakutafuta ndani ya saa chache unamtishia kuachana. Nilikuaga na upumbavu huu ila mtu ukishakua ndo unaona ni upuuzi na ujinga uliopitiliza wenye uselfish ndani yake
Well said
 
Kuna vitu vyaweza kuwa vidogo sana kwako ila kwa mwenzio vina maana sana, wakati mwingine tunapowalalamikia mtuelewe jamani na sio kuchukulia ni ujinga.
Mi nshalalamikaga sana habar ya mpenzi kunitafuta mara moja kwa siku au mbili eti kisa yuko busy yaan bora uninyime ela ila mda wako kwangu niuone...ila hawa wamaume hawajui akitoka job analala anakucheki kesho yake asubuh eti sory nilirudi nimechoka ndomana sikukutafuta..PUMBAVU.
 
Kweli pepo lenu Moja mi naambiwaga saa 2 usiku eti usiku mwema...

Nilichofanya nikatafuta mdada wa kuchat nae pale napoona napewa adhabu ya kipuuzi..

Hiyo approach yenu na ile ya kukomoa kwa kunyima papachu uwaga inafaulu sana mwanzoni mwa mahusiano mpk hapo mwanaume anapoamua kukuona mjinga na kukupuuza na kuondoa attention kwako na kupeleka kwa mtu mwingine na mara nyingi kurudisha attention km ile ya mwanzo kwako uwaga Ni ngumu sana.. hatupendi kuona tunateseka sababu ya mwanamke hata km kweli tunateseka, mwanamke mjanja ata maintain mikwara yake sababu mwanaume kulose interest Ni sekunde tu..
Hongera
 
Kweli humjali, wewe kumpigia simu mpaka utoke kazini ? Ukiwa kazin kunashindikana nini ? Halafu inaonesha ulikuwa huna cha kuongea nae zaidi ya salamu .Bora alivyokuacha unampotezea muda. Mawasiliano ni jambo la msingi katika mahusiano.
Mkuu.

Nidhamu ni muhimu sana, kama uko kazini ni muda wq kazi, kumpigia simu baby ni ziada na yeye anatakiwa kulijua hili.

Nidhamu na adabu ni muhimu sana sana.
 
Kweli humjali, wewe kumpigia simu mpaka utoke kazini ? Ukiwa kazin kunashindikana nini ? Halafu inaonesha ulikuwa huna cha kuongea nae zaidi ya salamu .Bora alivyokuacha unampotezea muda. Mawasiliano ni jambo la msingi katika mahusiano.

Bora huyo anakuwa ametenga muda wa kuwasiliana Mpenzi wake mara mbili kwa siku
Mimi huo muda sina ata ikipita wiki Kama sina kitu cha muhimu cha kukwambia sipigi wala situmi text na huwa naweka wazi kabisa kuwa ukiona nipo kimya jua nipo Poa mzima wa Afya na sina ishu Ya muhimu ya kukwambia.

Mimi nikiona upo kimya nitajua kuwa upo Poa mzima wa Afya kama kuna tatizo najua utaniambia.
 
Vumilianeni mzee hakuna sehemu utapata ambaye yuko perfect!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom