ni ngumu
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 4,292
- 7,207
HahahaahahOur role as women is to see if a man is happy and put a stop to that nonsense









HahahaahahOur role as women is to see if a man is happy and put a stop to that nonsense









Sawa mkuuBro,nimesoma vzr,Huyu demu inaonekana ile siku ulivyo mwambia unataka upumuzike kwanza baada ya kutoka job alihisi kama uko ma demu mwingne,japo hataki kukuweka wazi ila nahis hicho ndo chanzo,Chamsingi acha kumtafuta ovyo ovyo uta onekana kama unajipendekeza na kuzid kukuletea jeuri,Pia nahis Anaweza akawa kapata mwanaume mwingine na hyo akawa anataka kuifanya kama sababu ili muachane.
Ni ngumu kuweka visa vyote hapa, ila anyway asante kwa mchango wako.Nimefikiria the same, mtoa mada yawezekana haoni makosa yake na analazimisha tu bibie ndio amuelewe, sidhani kama akichukua muda wake kumuelewa mwenzie.
Alisense something is wrong ila wala hakujali kufuatilia ni nini ili wayaweke sawa. Hapa naona yeye ndio alimchoka mwenzie akawa anamtafutia sababu.
Sweetest comment from you ever, anyway nadhani nilitakiwa kuwa mpole zaidi ila it was too late, kubembeleza penyewe ni kipajiHapo kwenye usiku mwema saa 12 nimecheka maana hata mimi nina tabia hiyo. Iko hivi, inaweza kutokea umemmiss mtu and you are dying to talk to him mpeane michapo ya siku then anakuambia anahitaji kupumzika....najikuta kwa hasira namwambia usiku mwema kwa maana kuwa kama hauna nafasi ya kuongea na mimi sasa hivi hata mimi baadae sitakuwa na nafasi pia maana nitapumzika na mimi. Lakini ikitokea ukanitafuta baadae tutaongea tu vizuri labda wewe ndio uamue kufufua kesi au naweza kukutafuta tena mwenyewe hata hiyo baadae. Ulichokosea wewe ni kutomtumia sms tena wakati unaona yupo hewani na yeye akalikuza na hatimaye mmefika hapo mlipofika....kifupi ninyi wote wawili mna visirani na huenda angekutafuta yeye ungemwambia 'si ulinitakia usiku mwema wewe'...wanawake tunapenda kubembelezwa jamani teh. Nawatakieni kila la heri
Umekumbuka shuka kumekuchaSweetest comment from you ever, anyway nadhani nilitakiwa kuwa mpole zaidi ila it was too late, kubembeleza penyewe ni kipaji


pole mkuuDaah utakuwa kweli mkuu, ila hatukugombana kabisa...Huyu alikuwa ameshakuacha,sababu umejitaftia mwenyewe tu maana yeye hakuwa na sababu kabisa.
Pole sana mkuu,ndio maana eti kuna wengine wanakushauri uwe nao wengi,akikuzingua mmoja unahamia kwa mwingine,ila mimi sikushauri hivyo.
Daah inakwaza sana, hizi shughuli za kuwekeza kwenye moyo wa mtu ni ngumuKuna mda bora muachane tu maana unaweza tumia nguvu kubwa kumshawishi akuelewe kumbe ndio unakosea, binafsi mpenzi wangu akiniambia tuachane huwa sihtaji kujua hata sababu aende tu, mapenzi mda mwingine n kero ukionesha kujali sana kumtafuta mwenzi wako mara kwa mara inakuwa kero unaonekana msumbufu, ukisema uwe kmya unaonekana hujalipole mkuu
Poleeee mamiroo kuanzia Leo takuwa nakupigia sawa mamiiiiWakati wengine tu nataka tupigiwe hata saa 8 usiku wengine wanakwepa simu. Dunia haiko fair.