Simuelewi huyu mwanamke

Hahaha... You requested for madness.
And so this is madness.
 
may be there is a solution toyur problemkama ni la kisaikolojia......ila akikuganda ndio inakuwaga hivo au anataka aku enjoy tu au anajua kuna benefit flani
 
Mhu halafu anasema bado anamfuata. Ningekuwa mimi naacha anipigie halafu napokea ila siongei naye ili amalize salio. hahahahaha. Mawazo ya kibibi hayo.
Hahahaah kwa kesi ya huyu jamaa si atajiua akifanyiwa hivyo
 
Kama ulizaliwa husimamishi ilo ni tatizo kuu ila kama ulikuwa unapiga mzigo afu ikasinyaa natumai utapata ufumbuzi fasta na kuongia kwenye chama chetu cha kupiga mzigo
Nikuombe tu ilo la kutokusimamisha ulifanye liwe ndo tatizo kuu maana ikisimama uyo mrembo nitakusaidia uachane naye
 
Pole mkuu...naomba no yake nimkanye asikusumbue tena
 
Mkuu nijibu swali moja...
Wewe ni mtu mwenye uwezo kifedha?? au kwenu umotokea familia ya kishua..?? yani mnajiweza kwenu>??
Nikipata jibu hili ntakupa ushauri
 
Kwan kumridhisha mwanamke kunahitaji dushelele tu,
Situngeshindwa hata chepuka kwa minajili hiyo, manake kuna siku unachepuka na unatifua kweli ukirudi home napo wife anataka mchezo
unless umeprove husimamishi kbs otherwise tatizo lako linatibika na for the time being tafuta njia mbadala ya kumridhisha mwenzi wako
 
Unachekesha mizimuu...
 
acha uboya mkuu, fanya juhudi upate ufumbuzi wa tatizo lako
 
Labda ameweka matumaini kuwa utapona siku moja, nawe uwe na matumaini hayo, unaonekana kama umekata tamaa, badili fikra zako utapona.
 
BONYEZA HAPA CHINI
DAWA YA KUONGEZA NA KURUDISHA NGUVU ZA KIUME KWA ANAYETAKA!


 


mkuu kama unapenda kumaliza hilo tatizo naeza kupa namba za rafifki yangu ni mtaalam kawasaidia wengi tuu....kama upo tayari njoo pm..am seriuos
 
Hebu ni pm nikupe ufumbuzi wa tatizo lako, ila uje kama ulikuwa unasimamisha awali.
 

Sasa utaishi na hali hiyo mpaka lini,?
Mbona wapo wataalam wengi wa matatizo hayo? Huyo binti anakupenda kweli ndiomana ameshindwa kukuacha, nahisi hata yeye anaimani siku moja utapona hali yako, tatizo wewe hujaweka jitihada zozote za kutatua tatizo.
Kuwa kama mwanaume bana,kama unampenda usimwache, mshilikishe ktk kutatua hilo tatizo na muendelee na maisha.
 
Mhu halafu anasema bado anamfuata. Ningekuwa mimi naacha anipigie halafu napokea ila siongei naye ili amalize salio. hahahahaha. Mawazo ya kibibi hayo.
Mjanja wako akikufanyia kama unavyowaza kuwa ungemfanyia jamaa utajisikiajeeee!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…