Simuelewi huyu mwanamke

ikiwa umeaua kuwaza vyovyote waza tu sitokuzuia maana kichwa ni chako
 
sure
 
binadam viumbe wa ajabu sana, hata punda ukimsaidia mzigo anashukuru!
 
Ebu funguka shida yako zaidi humu kuna madokta asilia na wakisasa ww kuwa huru kama kuna mtu unahsi anakujua zaidi kwa hii id na unataka privacy njoo na id mpya ufunguke upate msaada
 
Ebu funguka shida yako zaidi humu kuna madokta asilia na wakisasa ww kuwa huru kama kuna mtu unahsi anakujua zaidi kwa hii id na unataka privacy njoo na id mpya ufunguke upate msaada
niliyoandika ndio yanayonisibu, unafikiri nimeficha chochote?
 

Sikia Mkuu kwanza wewe huja penda kujishughurisha kabisa kuhusu swala la hizo nguvu zako maana huyo mtu anaamini kuwa ukifuatilia hilo tatizo lako litapona, Unless utuambie ukweli wewe ni gay au?

Hapo kitambo nilikuwa na demu mmoja aliwahi nipa story kama hii kuwa alimpendaga huyo jamaa mpaka kesho ila kuja kugungua ni Gay ilisha pita 6 month maana kidudu kilikuwa kikiingia tuu kamwagaaa, kwendaaaa weeeee kuja kustuka kumbe mtu hapeleki mzigo ipasavyo


Sasa na wewe hebu jicheck kwanza usimlaumu mdada kwanza
 
Me msaaada nawea kukupa kabisaa na huyo Dokta yuko Congo (zaire) huwa anakujaga huku Mwanza Dar Arusha huwaga anawateja wake anawatibu anazo dawa mzeee ukionja tuu glass moja mweeeeeeeeeeeeeeeee mbona maisha yako rahaaaa kabisaaaaaaa, Funguka nikupe namba yake ya simu ya huko Congo
 
niwekee namba yake pm
 
Mh! Pole sana... sasa unaumiaje na ulimruhusu mwenyewe... Mwe
 
Je umepata tiba?
Je tatizo lilianza ukubwani??
Je upo tayari kusaidiwa pindi ukieleza tatizo lako kiundani?
Karibu....!
 
Asikuumize kichwa huyo, wekeza nguvu na akili katika kutatua tatizo lako.
 
Kwa hiyo umejitekenya na kucheka mwenyewe? Ruksa utoe wewe halafu uumie wewe kwa nini uliintertain mambo ambayo huna uwezo nayo? Tafakari, chukua hatua.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Kwa hiyo umejitekenya na kucheka mwenyewe? Ruksa utoe wewe halafu uumie wewe kwa nini uliintertain mambo ambayo huna uwezo nayo? Tafakari, chukua hatua.
Hahahaah katoa ruhusa halafu analalamika.....!!
 
heeeee
 
Hahahaah katoa ruhusa halafu analalamika.....!!
Mhu halafu anasema bado anamfuata. Ningekuwa mimi naacha anipigie halafu napokea ila siongei naye ili amalize salio. hahahahaha. Mawazo ya kibibi hayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…