khaaaaaaah,we jamaaaa!!kaa apo sasa na hayo matongotongo usoni, soma alama za nyakati. kipindi unamtongoza alikuwa na mtu akidhani kwamba watafika mbali kumbe jamaa alikuwa anakula kisela na unavyoona karudi kwako jamaa keshakula kasepa so majeshi anataka kuhamishia kwako.issue sio ngumu hiyo, kuwa mtoto wa mjini bwana, hivi hujawah kutana na demu kwenye daladal au kumpa lifti kwenye gari lako then ukachukua namba asubuh. mchana ukampa lunch, jion ukampigia kumuuliza upo wapi akakujib yupo home, akakuelekeza ukaenda karibu na baa apo mtaani kwao akaja mkapata moja moto moja baridi,ukashika makono ukaenda dukani kwa mangi ukabeba kondomu sambili usiku ukaenda gest kugonga huku mkiwa mmekole akiraji kimtindo.saanne usiku ikamrudisha kwao. then ukafuta na namba. yani demu umekutana naye ndani ya massaa kadhaa mpo gest unachapa humjui hakujui yan daladala au lifti ndo imewakutanisha.
wenye macho yao hawashikwi mikono kuonyeshwa njia.kwani kwenye thread yangu kuna sehemu nimesema ananitaka mkuu,ka huoni vzr jarbu kuvaa na miwani.
Habari zenu jf!kuna mdada mmoja hvi nilimpigaga sound kama miezi miwil imeisha pita,akantolea nje then akanipa sababu yake kubwa ambayo na mimi niliiona ni ya muhimu sana kwamba alikua na boyfriend wake wa muda mrefu na wanapendana sana,well mm nkaridhka na majibu yake nkampotezea na kuendelea na maisha yangu,sasa cha kushangaza cku za hvi karbuni amekua na tabia ya kunipigia cm mara kwa mara tena muda wa ucku,ananiambia eti ananimiss sana na huwa anaipenda sauti yangu hvo anapenda mara kwa mara kuickia...me huwa namjbu 2 asante!sasa wakuu huyu kidosho ana maansha nin kunambia hvo na wkt alishaga nchinjia baharin?
Kwanini usimuulize YEYE anachomaanisha?! Hapa hamna mwenye jibu la uhakika...kila mtu anahisi ahisivyo.Muuloze mhusika!!
[/B]mmmhhhhhh.....!!!!???... lizzy hako kadada ni ka kicheche na kanataka kupigwa.... afu usiseme naropoka.. huo ndio ukweli
Hapo kwenye red sijaelewaHabari zenu jf!kuna mdada mmoja hvi nilimpigaga sound kama miezi miwil imeisha pita,akantolea nje then akanipa sababu yake kubwa ambayo na mimi niliiona ni ya muhimu sana kwamba alikua na boyfriend wake wa muda mrefu na wanapendana sana,well mm nkaridhka na majibu yake nkampotezea na kuendelea na maisha yangu,sasa cha kushangaza cku za hvi karbuni amekua na tabia ya kunipigia cm mara kwa mara tena muda wa ucku,ananiambia eti ananimiss sana na huwa anaipenda sauti yangu hvo anapenda mara kwa mara kuickia...me huwa namjbu 2 asante!sasa wakuu huyu kidosho ana maansha nin kunambia hvo na wkt alishaga nchinjia baharin?
khaaaah!!broh wizo,huo c unyama lakn?huyo mchukue mpeleke chumbanimvue nguo zote mpige vidole kisha mwambie avae nguo zake aende asije akachafua dude lako bure...alipiga teke pochi la mzungu akati lina madola lazma ajutie mshenzi huyo imekula kwako ha2bembelez wanaume wa ckuhizi ukilinga 2pa kule
sawa sawa mkuu...Msichana anayetaka uhakika kama nampenda atafute neno tofauti la kuniambia, siyo kunitamkia kuwa ana mtu na wanapendana sana... Kwangu mimi sentensi ya hivo inani-turn off na nitakuchukulia kama dadaangu, hakuna namna utanipata tena.. Kama unahitaji mda mwambie mtu, hauko tayari au unahitaji mda, nk. Lkn siyo kunijengea picha kuwa kuna mtu mnapendana sana kumbe unavuta mda sijui kufikiria au kunichunguza, hamna kitu hapo... wizi mtupu.. Kuna watu ukifanya hivyo imekula kwako.