Simuelewi huyu kaka

kama kusoma hujui na pcha huwezi kuiona...tembea mbele umeingia njia ya mateja ...unapoteza mda wako au unaitwa heineken?
 
Uja Kagua Sm Yake Vzr Kuna Mwengne Kamsevu sweet16. ushaur wangu muache kabla ajakuacha soon
 
Ina maana lile Bando langu la kutafuta mchumba hujaliona kule , hebu njoo PM tuyajenge
 

dalili zote hizo bado tu unaomba ushauri hata picha tu huoni????? pole baby Heinken
 
ACHANA NAE....YANI ILO SIO SWALI WEWE....yani umeseviwa henkn hutafutwi had uanze na bado unauliza...kenge wewe...acha ujinga huo
 
 
Last edited by a moderator:

ongera kwa kuwa na roho ngumu.uwiiiii huyo kwangu hamalizi hata siku 3.

kwanza ni kosa la jinai kutonipigia sim maana akituma zaidi ya vimeseji vi 5 bila kupiga sijibu.( labda kama ni just a friend)

kaona umemzimikia ndo maana anakutesa.afu ana mtu, wew kakufanya spare tire.

dada kuanzia leo- USIMTAFUTE, akikutafta mwambie. UKO BIZE. na UKATE SIMU. Poleeee.
 
umempenda akakupenda lakini hana dalili za upendo?? sijaelewa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…