Simuelewi huyu dada kabisa

Simuelewi huyu dada kabisa

Joined
Jan 9, 2013
Posts
39
Reaction score
30
Habarini wanajamvini.

Mimi nina mpenzi wangu ambae naweza sema tunapendana sana sasa kabla hajawa na mie aliwahi kuwa na mpenzi wake yaani gf kwa maana hiyo baada ya kuachana na yule ndipo alipokuja kwangu na bahati mbayamimi sikuwahi kumjua huyo dada nilikuja mjua baada ya yeye kuanza kunitafuta na kunitukana kwa meseji .

kinachoniuma mie huyu dad amekuwa sio mstaarabu kabisa ananizushia mambo ya kila aina hasa kwa watu ambao mie naheshimiana nao ..jmatatu ya juzi ameenda kumwambia mtu naeheshimiana nae kwamba mimi mchawi na hata huyu bwana nilimpata kichawi na mbaya zaidi ananitishia amenifayia kitu kibaya sitazaa mpaka nakufa .

Ndgu zangu nafikiria nimfanyeje sipati jibu maan umepita muda mrefu zaidi ya mwaka ila yeye haachi kuchafua jina langu na kunikashifu uvumilivu wa kukaa kimya unakaribia kunishinda na mbay zaidi anadai huyo ni mume wake wakati sio kweli walikuwa tu gf na bf hata kutambulishana tu hiyo hatua hawakufika na hawakuwahi kuishi pamoja hata siku moja .

Mbaya zaidi huyu dada alishafikia hatua ya kwenda kuiba kila kitu kwa huyu jamaa na akaiba fedha benki zaidi ya milioni moja akisema anamkomesha maana hatukuwa tunajua kama ni mtu mbaya hivyo hatukuona umuhimu wa kubadili vitasa vya nyumb kumbe alikuwa ameshachongesha funguo za ziada kipindi wako wote katunza kwao baada ya kuachwa akafanya huo nyama halafu ni msumbufu sana tena sana ni kama analazimishia mapenzi ila mie kinachonichefua ni huku kuchafua jina langu.

Naombeni ushaui wenu nimshtaki au nifanyeje ikumbukwe huyu dada alishawahi kuwa na mwanaume mwingine na wakazaa mtoto ila kaachika pia
 
habarini wanajamvini.
mimi nina mpenzi wangu ambae nawea sema tunapendana ana sasa kabla hajawa na mie aliwahi kuwa na mpeni wake yaani gf kwa maana hiyo baada ya kuachana na yule ndipo alipokuja kwangu na bahai mbayamimi sikuwahi kumjua uyo dada nilikuja mjua baada ya yeye kuanza kunitafuta na kuniukana kwa meseji .kinachoniuma mie huyu dad amekuwa sio mstaarbukabisa annizushi mambo ya kila aina hasa kwa watu ambao mie naheshimiana nao ..jmatatu ya juzi meenda kumwambia mtu naeheshimiana na e kwamba mimi mchawi na hata huyu wana nilimpata kichawi na mbaya zaidi annitisha amenifayia kitu kibaya sitazaa mpaka nakufa . Ndgu zangu afikiria nimfanyeje sipati jibu maan umepita muda mrefu zaidi ya mwaka ila yeye haaci kuchafua jina langu na kunikahiu uvumilivu wa kukaa kimya unakaribia kuishinda n mbay zaii anadai huyo ni mume wake wakati sio kwli walikuwa tu gf na bf haa kutambulishana tu hiyo hatua hawakufika na hawakuwahi kishi amoja hata siku moa .mbaya zaidi huu dada alishafikia hatua ya kwenda kuiba kia kitu kwa huyu jmaa na akab fedha benki zaidi ya milioni moja akisema anamkomesha maana hatuuwa uaja kama ni mtu mbaya hivyo hatuonaumuhimu wa kubadili vitasa vya nyumb kumbealikuwa ameshanchongsha kindi wako wote kaunza kwao baada y kuachwa akafanya uo nyama halafyu ni msumbfu sana tena sana ni kama analazimishia mapenzi ila miekinachonichefua ni huk kuchafua jina langu. naombeni ushaui wennimshtaki au nifanyeje ikumbukwe huu dad alishawahi zaa n mtu mwingine na wakazaa mtoto ila kaachika pia

pole ila sijaelewa....
 
ndugu yangu sijui una haraka au ni vip ila kwa kweli uandishi wako unaumiza kichwa kusoma, sababu inabidi utumie nguvu kuunganisha sentensi zako ili kuweza kukuelewa, nimeishia njiani, ila kwa hicho kidogo nilichoelewa nakupa pole maana mtihani ulionao ni mzito, Muombe Mungu akufungulie njia na akupe ulinzi sababu huyo inavyooshesha anaweza kukufanyia kitu chochote kibaya
 
^^
Pole, kuna watu duniani jambo la kufanya ubaya kwa wivu au kushindwa kwao wenyewe ni jambo la maisha.
Jitahidi kutunza familia yako, Usiongeze mafuta ktk moto uwakao.
Uongo ni jambo la muda huja na kupotea.
Vumilia na Mungu asimamie ndoa yako.
^^
 
.tafadhari irudie tena Post yako na kuifanyia marekebisho, ukweli ni kwamba umekiuka sana taratibu za uandishi kiasi hadi ni ngumu kukuelewa wazungumzia nini..
 
dah! nimejitahidi sana kukuelewa ila huo uandishi wako "WEKA MBALI NA WATOTO!"
hebu muulize vizuri huyo mpenzi wako kuwa alimpata huyo dada katika mazingira yapi halafu nikushauri kitu!
 
hawajawahi kuishi hata siku moja kajuaje nyumba ya jamaa maka pesa zinapowekwa?
 
Kwa kweli mimi nmeielewa stori yake, ameandika fasta fasta na hajakosea kivile maana ni baadhi tu ya herufi alikuwa anaziruka.

Kwa maoni yangu, huyo dada aliachwa huku bado anampenda jamaa (alikuwa anadengua kipindi alipo kuwa naye walipo achana anagundua ameacha dhahabu)

Alivyo kutishia eti huta zaa unaamini?
Ukitaka kumdisaprove usemi wake beba mimba ili umfunge mdomo.

Halafu kama hawakuwa mume na mke na huyo jamaa mnaweza kumchukulia kama mwizi wa kawaida tu ambaye kitaa anachomwa moto, mpelekeni polisi kwa kosa la wizi.

Hayo mambo ya kukuzushia ni kwa sababu anakuonea wivu na dhahabu yako (mmeo/bf wako).

Dont let bastard get you down turning you around, keep fighting.
 
Wakati mwingine tunajiingiza kwenye mahusiano na watu wenye akili za ajabu sana kama huyo ex gf wa jamaa yako

Kwenye mazingira kama haya msimamo wa mwanaume unahitajika sana

Sijajua na hujasema huyo jamaa yako anasema nini au anachukua hatua gani kuhusiana na hili!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom