Y530 bei gani
Na y 330 sh ngapi mpya?
Sijajua kuhusu build quality ila specs wise 530 ni nzuri
tatizo kubwa la hizi cmu za huawei ni ram, yani ram ya 512mb ni ngumu sana kuoperate jellybean 4.3, ukifungua zaidi ya apps tatu cmu ina stuck,,, nadhani kwa sasa cmu nzuri ni za kuanzia atleast 1GB ram ndo zinakuwa poa!!
kwa simu ya bei rahisi ni ngumu kukosa mapungufu. nokia x2 na moto e zina 1gb ram ila nazo kuna maeneo zina weaknestatizo kubwa la hizi cmu za huawei ni ram, yani ram ya 512mb ni ngumu sana kuoperate jellybean 4.3, ukifungua zaidi ya apps tatu cmu ina stuck,,, nadhani kwa sasa cmu nzuri ni za kuanzia atleast 1GB ram ndo zinakuwa poa!!
nisaidieni ku unlock huawei yangu y330 nitumie laini zote
Huawei Y330 ina double line. SIM 1 unatumia Tigo na SIM 2 unatumia line yoyote
Ghalama ya ku_unlock ni tsh 25'000 tu.nisaidieni ku unlock huawei yangu y330 nitumie laini zote
Ghalama ya ku_unlock ni tsh 25'000 tu.
Unachotakiwa kufanya ni KUNIPA IMEI number ya LINE 1 baada ya kufanya malipo.
Mkuu naomba na Mimi msaada kwenye Hili nahitaji ku unlock Huawei y530