luvcyna
JF-Expert Member
- Feb 24, 2009
- 1,848
- 1,940
Hata mimi nilitaka ku unlock ila ilipokuja issue ya hela nimeghairi
Kizuri gharama shekhe
Hata mimi nilitaka ku unlock ila ilipokuja issue ya hela nimeghairi
Kizuri gharama shekhe
Issue zingine ni kusaidiana tu. They say 'at times pesa sio kila kitu'
Mkuu naomba na Mimi msaada kwenye Hili nahitaji ku unlock Huawei y530
Hata mimi nilitaka ku unlock ila ilipokuja issue ya hela nimeghairi
Huawei y 100 nayo ikojeSijajua kuhusu build quality ila specs wise 530 ni nzuri
Huawei Y330 ina double line. SIM 1 unatumia Tigo na SIM 2 unatumia line yoyote
tatizo kubwa la hizi cmu za huawei ni ram, yani ram ya 512mb ni ngumu sana kuoperate jellybean 4.3, ukifungua zaidi ya apps tatu cmu ina stuck,,, nadhani kwa sasa cmu nzuri ni za kuanzia atleast 1GB ram ndo zinakuwa poa!!
kuna mtu anaweza kunisaidia Galaxy laucher ile ilio ndani ya Huawei Y330 Nimeipenda
search playstore adw luncher utapata
kuna mtu anaweza kunisaidia Galaxy laucher ile ilio ndani ya Huawei Y330 Nimeipenda
Kwani adw laucher ni Galaxy launcher.apk ilotumika kwenye huawei?
Nataka alie root ani saidie hiyo apk kutoka kwenye system files
njia ingine ni kudownload update.app ya y330 kisha extract utakuta kila kitu kuanzia recovery system boot na vinginevyo. we chagua system nayo extract