Wana JF napenda kwa aliye na uzoefu wa simu hizi anifahamishe yenye speed ya kudownload,na ina internal memory ya +50MB
inadownload software nakutazama video youtube?nunus tecno n3. ni 3g
inadownload software nakutazama video youtube?
Wana JF napenda kwa aliye na uzoefu wa simu hizi anifahamishe yenye speed ya kudownload,na ina internal memory ya +50MB
Unaweza chukua T1 ama N3 ni nzuri sn. Kiukweli kuna mshkaji wangu ana Samsung galaxy S3 hana anachonizidi kabisa. Tunafananaa hadi Screen saver na wallpaper wakati yeye ya kwake amechukua kwa 900,000 me nilichukua kwa 200,000. Tecno ndio kimbilio lililobaki la wanyonge wanaotaka smart card za ukweli. Zenyewe zinasapoti hadi 32GB Memory card
tatzo lnakuja kwenye uwezo wa simu!!!! Smu inatumia Gprs haiwez kumfikia mwenye 3g!!!! Ila tumiaga voda maana wapo stable kiasss
Nduu/Mamaya..hebu weka photo yake hapa maana naona hata mimi imenifanya nikaitafute hiyo simu..sijui kwa Moshi Mjini kama ntaweza kuipata hiyo simu..hiyo tecno ni maneno mengine.ni new model imetoka this year inatumia os ya adroid gingerbread 2.3.5 aplication zote unazozihitaji inakubali unadowload kwenye google play ambayo tayari iko istalled kwenye hiyo cm.ina display ya 3.5. dowload spead7.2mps .unaweza kuitumia kama modem kwenye pc.ni ya ukweli kuliko hata sumsung galax mini pocket. bei yake inarange laki 1.5 mpaka na80.ijategemea sehemu uliyopo.mikoa migi wanaiza laki na 70 to 80.
Nduu/Mamaya..hebu weka photo yake hapa maana naona hata mimi imenifanya nikaitafute hiyo simu..sijui kwa Moshi Mjini kama ntaweza kuipata hiyo simu..
Thanks so much for the pre coutins..ngoja nijifikirie vizuri kwanza..!!T1 is avery good phone, ila shida kubwa ni moja, charging system inasumbua sana, yangu imeharibika mara mbili sasa nimeamua kuchajia kobe.