Una umri gani humu JF? Una umri gani hapa Duniani? Ni vyema kumheshimu Chief-Mkwawa . Sidhani kama hii ni lugha ya kumuelezea mtu nguli kama yeye kwenye mambo ya teknolojia. Zamani sisi tulilelewa vizuri na wazazi wetu,tukapata na Elimu Darasani. Tukaelimika na kustaarabika kuheshimu watu wenye weledi kwenye mambo flani.Huyo muulize kuhus ma-xiaomi tu ni dalali kabisa muombe akupe na link ya group lao la Telegram
Ni kweli sijui wamewaza nini,huo mfumo ni ngumu ku control power battery ikiwa low.Ninzuri ila wamesikosea kwenye mfumo wa kuchagua bend za netwk maana zina mfumo wa auto huwezi chsgua 3g onle wala wg onle
Wewe unayejua mbona hujachangia chochote?Huyo muulize kuhus ma-xiaomi tu ni dalali kabisa muombe akupe na link ya group lao la Telegram
sio kawaida ni lazima ivimbe nokia sio Simu tena ni redioKuvimba maada ya muda ni kawaida sana.
Una umri gani humu JF? Una umri gani hapa Duniani? Ni vyema kumheshimu Chief-Mkwawa . Sidhani kama hii ni lugha ya kumuelezea mtu nguli kama yeye kwenye mambo ya teknolojia. Zamani sisi tulilelewa vizuri na wazazi wetu,tukapata na Elimu Darasani. Tukaelimika na kustaarabika kuheshimu watu wenye weledi kwenye mambo flani.Huyo muulize kuhus ma-xiaomi tu ni dalali kabisa muombe akupe na link ya group lao la Telegram
Hizi simu hazitengenezwi na Nokia bali HMD, Nokia alishaacha kutengeneza simu tangia 2013.Nokia wameishiwa mipango hata ubunifu siku hizi ni ziro, ukiachana na specifications zake hata muonekano wake hauvutii, kama waoinzani wake.
Leo wametoa X31, G60, C31 na Tablet T21.Kila siku watu wanaongelea simu kutoka brand hizi tu mara Samsung, iPhone, Xiaomi. Lakini wanaacha kuziongelea Nokia. Kuna baadhi ya simu za Nokia zinavutia
View attachment 2338502
Ninachopendea kwenye hizi simu ni kwamba hakuna bloatware halafu huwa zinapata regular security updates. Lazima nifanye mpango wa kununua hizi simu.
Kuna baadhi ya simu zao zimenivutia ndio maana naandika hivi, hebu ziangalieni hizi hapa
1. Nokia XR20 Rugged 5G phone
View attachment 2338512
2. Nokia 8.3 5G
View attachment 2338530
3. Nokia G50
View attachment 2338531
4. Nokia 5.3
View attachment 2338532
5. Nokia 5.4
View attachment 2338536
6. Nokia G21
View attachment 2338544
7. Nokia X20
View attachment 2338546
8. Nokia 3.4
View attachment 2338547
9. Nokia G11 plus
View attachment 2338563
10. Nokia G10
View attachment 2338564
Tena hiyo Nokia G10 ya 4GB RAM na 64GB ROM nimeiona inauzwa kwa Tsh 330,000/= tu Kariakoo, halafu ina fingerprint pembeni sio nyuma kama ilivyo kwa simu nyingi za laki 3, naona inamake sense kuliko Xiaomi Redmi 10A 3GB RAM + 64GB ROM ambayo inauzwa kwa bei hiyohiyo.
Naombeni ushauri kwa mtumiaji wa Nokia au mtu aliyewahi kutumia Nokia.... Je, hizi simu ni nzuri au mnanishauri nisinunue?
Wewe usinipangie yeye ni nani anachokijua nakijua pia na ndio maana nikamuita dalali wa simu za Xiaomi!Una umri gani humu JF? Una umri gani hapa Duniani? Ni vyema kumheshimu Chief-Mkwawa . Sidhani kama hii ni lugha ya kumuelezea mtu nguli kama yeye kwenye mambo ya teknolojia. Zamani sisi tulilelewa vizuri na wazazi wetu,tukapata na Elimu Darasani. Tukaelimika na kustaarabika kuheshimu watu wenye weledi kwenye mambo flani.
Sielewi kizazi hiki imekuaje kwenye malezi na pia kukosa elimu hata ya kawaida tu. Unapaswa ujue kujifunza mambo ya msingi. Kizazi hiki mnajifunza sana ushoga kuliko mambo ya msingi. Umewakosea sana watu wa Jukwaa hili si Chie
Sina muda na sitokuwa nao.Wewe unayejua mbona hujachangia chochote?
Chief yuko vizuri sana sector hiyo akipata muda atapita Chief-Mkwawa
nunua hii simu, hutajutia "Kila siku watu wanaongelea simu kutoka brand hizi tu mara Samsung, iPhone, Xiaomi. Lakini wanaacha kuziongelea Nokia. Kuna baadhi ya simu za Nokia zinavutia
View attachment 2338502
Ninachopendea kwenye hizi simu ni kwamba hakuna bloatware halafu huwa zinapata regular security updates. Lazima nifanye mpango wa kununua hizi simu.
Kuna baadhi ya simu zao zimenivutia ndio maana naandika hivi, hebu ziangalieni hizi hapa
1. Nokia XR20 Rugged 5G phone
View attachment 2338512
2. Nokia 8.3 5G
View attachment 2338530
3. Nokia G50
View attachment 2338531
4. Nokia 5.3
View attachment 2338532
5. Nokia 5.4
View attachment 2338536
6. Nokia G21
View attachment 2338544
7. Nokia X20
View attachment 2338546
8. Nokia 3.4
View attachment 2338547
9. Nokia G11 plus
View attachment 2338563
10. Nokia G10
View attachment 2338564
Tena hiyo Nokia G10 ya 4GB RAM na 64GB ROM nimeiona inauzwa kwa Tsh 330,000/= tu Kariakoo, halafu ina fingerprint pembeni sio nyuma kama ilivyo kwa simu nyingi za laki 3, naona inamake sense kuliko Xiaomi Redmi 10A 3GB RAM + 64GB ROM ambayo inauzwa kwa bei hiyohiyo.
Naombeni ushauri kwa mtumiaji wa Nokia au mtu aliyewahi kutumia Nokia.... Je, hizi simu ni nzuri au mnanishauri nisinunue?
Nimetumia 2.1 bado ipo 4.2 , 5.4 ndo currentKila siku watu wanaongelea simu kutoka brand hizi tu mara Samsung, iPhone, Xiaomi. Lakini wanaacha kuziongelea Nokia. Kuna baadhi ya simu za Nokia zinavutia
View attachment 2338502
Ninachopendea kwenye hizi simu ni kwamba hakuna bloatware halafu huwa zinapata regular security updates. Lazima nifanye mpango wa kununua hizi simu.
Kuna baadhi ya simu zao zimenivutia ndio maana naandika hivi, hebu ziangalieni hizi hapa
1. Nokia XR20 Rugged 5G phone
View attachment 2338512
2. Nokia 8.3 5G
View attachment 2338530
3. Nokia G50
View attachment 2338531
4. Nokia 5.3
View attachment 2338532
5. Nokia 5.4
View attachment 2338536
6. Nokia G21
View attachment 2338544
7. Nokia X20
View attachment 2338546
8. Nokia 3.4
View attachment 2338547
9. Nokia G11 plus
View attachment 2338563
10. Nokia G10
View attachment 2338564
Tena hiyo Nokia G10 ya 4GB RAM na 64GB ROM nimeiona inauzwa kwa Tsh 330,000/= tu Kariakoo, halafu ina fingerprint pembeni sio nyuma kama ilivyo kwa simu nyingi za laki 3, naona inamake sense kuliko Xiaomi Redmi 10A 3GB RAM + 64GB ROM ambayo inauzwa kwa bei hiyohiyo.
Naombeni ushauri kwa mtumiaji wa Nokia au mtu aliyewahi kutumia Nokia.... Je, hizi simu ni nzuri au mnanishauri nisinunue?
Ninzuri ila wamesikosea kwenye mfumo wa kuchagua bend za netwk maana zina mfumo wa auto huwezi chsgua 3g onle wala wg onle
Kuna low end 2.1Simu zao zinafika hadi 5000mAh halafu unasema betri ni vimeo? Be serious
Androidnunua hii simu, hutajutia "
I13 Pro Max Android 6.0 5G Smart Phone 6.3inch HD Full Screen Phone, 1+8GB RAM" ina processor nzuri sana ya Deca Core
View attachment 2343549
Ilimradi tuAndroid
NdioAndroid
Ninayo Nokia G 10 inakaa na chaji siku mbili nafanya kila ya kazi lkn bado simu inakaa chaji vizuri sana...Mimi ni mdau wa Nokia Toka Nokia 1020,Nokia 830,Nokia Nokia 930 na SASA Nokia G 10 yaani Kwa kifupi haunitoi kwenye Nokia najua uzuri wa simu zao na camera zao ingawa sikuhizi technology ya pure View haipo kwenye Nokia za androidBetri vimeo...