Simu za Nokia orginal mpya bei chee kabisa

Simu za Nokia orginal mpya bei chee kabisa

James Hungury

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2013
Posts
825
Reaction score
612
Karibuni watu wote mnunue simu orginal za nokia.
Nokia original kabisa ndogo ndogo,zile za tochi,na aina model nyingine zinapatikana.
Mzigo upo mwingi hata ukitaka PC 100 unapata..
UBORA WA HIZI SIMU:
Simu hizi ni imara na zinadumu na charge sana,hazina kelele kama simu zingine za kichina.ziko officially.nadhani baadhi ya wadau mnatambua ubora na uimara wa simu hizi.
hautajuta kutumia simu hizi.
BEI
kwa simu zote ndogo ndogo mfano,nokia za tochi na kuendelea,Bei ya simu ni elfu 17000/= kwa Jumla na elfu 20,000/= kwa wateja wa Rejareja.
Na kwa simu mfano Nokia Asha,x2,nokia Lumia na zingine Bei ni kuanzia elfu 70,000/=
hadi 150,000/=lakini na nusu.inategema ni model gani ya simu unayohitaji.
kumbuka bei hii ni promotion,haipungui hata senti tano,

ANGALIZO
Sipokei pesa ya mtu kama hajapokea simu na kukagua,maana kuna watu wanajaribu kuchafua thready yangu wakidai wametapeliwa.hivyo sipokei pesa ya mtu kama hajapokea mzgo.
wateja serious pekee wanakaribishwa
nokia-1280.jpg
View attachment 682100 View attachment 682100
1600.jpg
View attachment 669691 View attachment 669691 View attachment 669688 View attachment 669688
th.jpg
th.jpg
6080_1_b.jpg
nokia_1650.jpg
nokia_1650.jpg
th4.jpg
nokia x2.jpg
nokia x2.jpg
Nokia_XL_color_002.jpg64c054fa-36c2-4b1a-ad48-639c9a407816Large.jpg
View attachment 669688
nokia-1110.png
nokia-1680-classic.jpg
[/B]
 

Attachments

  • th2.jpg
    th2.jpg
    8.6 KB · Views: 242
Hami mi sina duka kwa sasa
.mzigo nasafir nje na kuleta...hivyo ukitaka mzigo nitafute kwa simu tuzungumze boss
Ok poa mkuu,nimejaribu kuku PM naona txt inagoma kuja nitaku DM next week tufanye bness
 
Back
Top Bottom