jamani hizi simu za kutach tach hizi mbona majangaa
boss wa smile:mbona hukunipigia tena jana
smile: nilimaleza repooort usiku bosso nikaona muda huo utakuwa umelalwa sana
jamani hizi simu za kutach tach hizi mbona majangaa
boss wa smile:mbona hukunipigia tena jana
smile: nilimaleza repooort usiku bosso nikaona muda huo utakuwa umelalwa sana
Nilinunua simu ya kutachi..nikawa na mpango wa kuacha kutumia yenye keypads..nilichoka mwanzo tu nilipoanza kufanya preliminary settings..kila nikigusa kinakuja kingine.
Nilinunua simu ya kutachi..nikawa na mpango wa kuacha kutumia yenye keypads..nilichoka mwanzo tu nilipoanza kufanya preliminary settings..kila nikigusa kinakuja kingine.