Simu za kampuni ya d-light

Simu za kampuni ya d-light

Ila wabongo mnapenda mteremko sana, kama kitu huna uwezo wa kununua kwanini uchukue na utegemee kujimilikisha.

Europe & America watu magari simu wengi hawanunui cash wanalipa monthly mpaka deni linaisha, hizi huduma haziwezi kufika huku kwa wabongo kupenda janja janja.

Kingine wao wakopeshaji wanaweza kuwapata hata ukiflash hizo, simu tayari taarifa nyingi mmeshawaachia.

Tuache ujanja janja, umekopa lipa deni maisha yaendelee.
 
Ila wabongo mnapenda mteremko sana, kama kitu huna uwezo wa kununua kwanini uchukue na utegemee kujimilikisha.

Europe & America watu magari simu wengi hawanunui cash wanalipa monthly mpaka deni linaisha, hizi huduma haziwezi kufika huku kwa wabongo kupenda janja janja.

Kingine wao wakopeshaji wanaweza kuwapata hata ukiflash hizo, simu tayari taarifa nyingi mmeshawaachia.

Tuache ujanja janja, umekopa lipa deni maisha yaendelee.
kweli BONGO mambo mengi mazuri tunayakosa kwa7bu ya ujanja ujanja
 
Ila wabongo mnapenda mteremko sana, kama kitu huna uwezo wa kununua kwanini uchukue na utegemee kujimilikisha.

Europe & America watu magari simu wengi hawanunui cash wanalipa monthly mpaka deni linaisha, hizi huduma haziwezi kufika huku kwa wabongo kupenda janja janja.

Kingine wao wakopeshaji wanaweza kuwapata hata ukiflash hizo, simu tayari taarifa nyingi mmeshawaachia.

Tuache ujanja janja, umekopa lipa deni maisha yaendelee.
Wacha wee
 
Nimesoma ila mwisho wa komment naona hawa mafundi simu wanafanya maisha yawe magumu kwa ujinga wao.
Eti na toa tena kwa bei hii.
Ukiwa nchi za nje utatafuta fundi simu wa software mpaka utakoma sababu hawapatikani kama nyanya wanaharibu mifumo.
Jifunzeni maana ya usiri na kazi
 
Back
Top Bottom