Sipendi Uchawa
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 7,942
- 12,505
Ukiwa na 70k unamalizana naoHabar wataalamu.
Hivi hakuna namna hizi simu deni likikushinda ukafanya namna fulani uwapotezee uendelee kuitumia maana naona kama wananichanganya hivi
Ukiwa na 70k unamalizana naoHabar wataalamu.
Hivi hakuna namna hizi simu deni likikushinda ukafanya namna fulani uwapotezee uendelee kuitumia maana naona kama wananichanganya hivi
Kuna mngine alisema nimpe acc namba kumbe yupo kitengo weeeUsije kuwa upo kwenye kitengo cha wakopeshaji Unataka kuwakamata wanaokimbia deni
Kila mkoa kwa sasaWanapatikana wapi ofisi zao hao jamaa
kweli BONGO mambo mengi mazuri tunayakosa kwa7bu ya ujanja ujanjaIla wabongo mnapenda mteremko sana, kama kitu huna uwezo wa kununua kwanini uchukue na utegemee kujimilikisha.
Europe & America watu magari simu wengi hawanunui cash wanalipa monthly mpaka deni linaisha, hizi huduma haziwezi kufika huku kwa wabongo kupenda janja janja.
Kingine wao wakopeshaji wanaweza kuwapata hata ukiflash hizo, simu tayari taarifa nyingi mmeshawaachia.
Tuache ujanja janja, umekopa lipa deni maisha yaendelee.
Wacha weeIla wabongo mnapenda mteremko sana, kama kitu huna uwezo wa kununua kwanini uchukue na utegemee kujimilikisha.
Europe & America watu magari simu wengi hawanunui cash wanalipa monthly mpaka deni linaisha, hizi huduma haziwezi kufika huku kwa wabongo kupenda janja janja.
Kingine wao wakopeshaji wanaweza kuwapata hata ukiflash hizo, simu tayari taarifa nyingi mmeshawaachia.
Tuache ujanja janja, umekopa lipa deni maisha yaendelee.
Nshauza mkuuPicha ya hiyo simu na uwezo wake?
Ulifanikiwa kuunlock mzee.Nshauza mkuu
D light washenziHabar wataalamu.
Hivi hakuna namna hizi simu deni likikushinda ukafanya namna fulani uwapotezee uendelee kuitumia maana naona kama wananichanganya hivi