Simu za bei nafuu zenye kamera kali (2023)

Simu za bei nafuu zenye kamera kali (2023)

Nakubali

Lakini mbona baadhi ya watumiaji wanazilalamikia upande wa battery sio kuridhisha?

Sent from my M2101K6G using JamiiForums mobile app
Kuanzia pixel 5 kwenda juu zinajitahid ukaaji chaji, chini ya hapo ni zinakaa masaa kama ukiwa mtumiaji wa internet sana au kutazama videos... Pixels hasa hizi mtumba na refurb sio za kutumia kama main daily drive, just inunue kama backup phone kwa ajili ya picha na mambo mengne ya kawaida...
 
Kuanzia pixel 5 kwenda juu zinajitahid ukaaji chaji, chini ya hapo ni zinakaa masaa kama ukiwa mtumiaji wa internet sana au kutazama videos... Pixels hasa hizi mtumba na refurb sio za kutumia kama main daily drive, just inunue kama backup phone kwa ajili ya picha na mambo mengne ya kawaida...
Tatizo GOOGLE amewekeza nguvu nyingi upande wa teknolojia ya kamera akajisahau kwenye battery life ya simu zake
 
Uzi tayari,

Ambao katika pita pita zenu mmekutana na simu zenye camera kali kwa ajili ya photo shooting & video recording njooni tufanye kushare idea

Hakikisheni bei ya simu hizo ni chini ya 400k ili kila mtanzania anayepita hapa apate haki stahiki bila matabaka

Camera ziwe na Pixels za kumwaga plus majonjo katika utendaji wake wa kazi

Uzi tayari...
Deal hilo
 
Nakubali

Lakini mbona baadhi ya watumiaji wanazilalamikia upande wa battery sio kuridhisha?

Sent from my M2101K6G using JamiiForums mobile app
Kweli haya ni maswala ya kubahatisha,Mimi nimechukua 4a china plaza kwa mabishoo flani wa kiarabu Koko na ilikuwa Moja tu,ila nisiwe mnafiki betry sio mbaya kwamba nilalamike.

Kwa mfumo wa kuwasha na kuzima data toka asubuhi saa mbili usiku inafika.
 
Kweli haya ni maswala ya kubahatisha,Mimi nimechukua 4a china plaza kwa mabishoo flani wa kiarabu Koko na ilikuwa Moja tu,ila nisiwe mnafiki betry sio mbaya kwamba nilalamike.

Kwa mfumo wa kuwasha na kuzima data toka asubuhi saa mbili usiku inafika.
Mimi nina5a.sizim data na sitembei na charge.yani nikichaj asubuh ni mpaka asubuh tena
 
Kweli haya ni maswala ya kubahatisha,Mimi nimechukua 4a china plaza kwa mabishoo flani wa kiarabu Koko na ilikuwa Moja tu,ila nisiwe mnafiki betry sio mbaya kwamba nilalamike.

Kwa mfumo wa kuwasha na kuzima data toka asubuhi saa mbili usiku inafika.
Good for you uliotea nzuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom