UduduSawa Mkuu
UduduSawa Mkuu
😳🤭Ududu
Kiitikio tu icho usiogope
SawAKiitikio tu icho usiogope
True yaji nimeamua nisiirudushe tu maana sasa nb8kama namsum ua mwenye duka. Kumbe olitakiwa ni test kila kitu pale pske kabla sijatoa hela.Tena?
una kila sababu ya kubadilisha simu aiseeeTrue yaji nimeamua nisiirudushe tu maana sasa nb8kama namsum ua mwenye duka. Kumbe olitakiwa ni test kila kitu pale pske kabla sijatoa hela.
Imekula kwangu. Nimeifurahia kamera tu na audio system yake ni nzuri sana ila mtandao ndio hivyo tena.
Haisomi lineTrue yaji nimeamua nisiirudushe tu maana sasa nb8kama namsum ua mwenye duka. Kumbe olitakiwa ni test kila kitu pale pske kabla sijatoa hela.
Imekula kwangu. Nimeifurahia kamera tu na audio system yake ni nzuri sana ila mtandao ndio hivyo tena.
Chaji je?Simu inayosimama hapa si nyingine ni pixel peke yake.
Nimechukua 4a juzi kwa 300k sijutii hata kidogoinagwa ni used.
Charge ni wastan,sio fridge kama iphone 7 na sio mkataba kama Infinix[emoji38][emoji38]Chaji je?
5a ni masas 17 kwa mfujaji kama wewe.ila kwa matumizi ya kawaida ni 24.Charge ni wastan,sio fridge kama iphone 7 na sio mkataba kama Infinix[emoji38][emoji38]
Mimi ni mtumiaji mfujaji wa simu ila 4a inamaliza masaa 7
Sh ngapi hii?Chukua mzigo uo apoView attachment 2767890
900000Sh ngapi hii?
Inasoma ila hai connect googleHaisomi line
Si kwamba haiwezekani kaka,ndio maana tukataja pixel.Hivi kwa nini wabongo tunapenda "vitu vizuri" kwa bei ndogo
Yaani simu yenye details nyingi na Performance kubwa upate kwa bei chee (low budget)??
Sent from my M2101K6G using JamiiForums mobile app
NakubaliSi kwamba haiwezekani kaka,ndio maana tukataja pixel.
Kwa bajeti ya chini ya lakinl 5 hakuna simu yoyote itakupa picha ya kuridhisha zaidi ya pixel 5.