Simu yangu inatumia muda mrefu kuchaji

Simu yangu inatumia muda mrefu kuchaji

View attachment 495787
check hiyo input current, kama ipo chini ya hiyo tafuta charger nyingine
8e264884013da2a02fd86589618ecba5.jpg
natumia hiyo
 
Angalia output na input za betri je zinaendana na zilizopo kwenye charge, na hapo inaonesha unatumia Charge ya usb, inatakiwa na wire nao ue na specz sawa na za kichwa chake la sivyo nalo n tatzo, .NAMAANISHA HIVI, KICHWA CHA USB , WIRE WA USB NA BETRI ZIWE NA SPECS ZINAZOFANANA
 
Jaman mbona mm cm yangu inachukua muda mwingi kujaa chaj kama maa8 nifanyeje ijae haraka
The problems may not be on USB or battery , try these . Do a little DIY repair on your hardware. The USB port might have some lints, candy and dust that prevents direct contact of charger to the USB port and hence making it slow at charging or it won't charge permanently... Zima simu then take a small pin or stick chokonoa kwenye USB port ten times na unapuliza huku unatest kwenye charge.
 
mkuu ingia playstore download app inaitwa ampere halafu chaji simu huku hio app umeifungua itakuambia ni kiasi gani cha umeme kinaingia.

kwa smartphone ya kisasa inabidi angalau 1000ma (1A) ndio inatosheleza kucharge upesi upesi.
Kuna app ya namna hiyo kwa window phone, Kama ipo jina lake please
 
mkuu ingia playstore download app inaitwa ampere halafu chaji simu huku hio app umeifungua itakuambia ni kiasi gani cha umeme kinaingia.

kwa smartphone ya kisasa inabidi angalau 1000ma (1A) ndio inatosheleza kucharge upesi upesi.
Mkuu nimedowload hiyo application, na naona hizo namba zinaongezeka kutoka 100+ hadi zimefika 450 ila bado nadhani zilikuwa zinapanda, je kama namba zinabadilika kupanda na kushuka maana yake nini? Je lazima ifike 1000?

Halafu mkuu naona Kuna maximum, minimum, nadhani na actual ambayo inabadilika badilika, je hii tafsir yake imekaaje?
 
Ubadili cable ya kuchajia. Charger na simu hazina tatizo. Mm pia nlikuwa na shida hiyo kwenye simu yangu nlipoteza cable ya simu nikachukua ya simu ingine ikawa inachelewa kujaa hadi masaa 15 bahati nzuri cable ikapatikana. Saiz only two hours kwisha kazi
 
Jaman mbona mm cm yangu inachukua muda mwingi kujaa chaj kama maa8 nifanyeje ijae haraka
Mkuu tatizo lako ni charger tu apo njoo kariakoo kesho nikuuzie fast charger za Samsung nusu SAA tu simu yako imejaa kabisa ni 10000/- za kitanzania kwa charger moja
 
Back
Top Bottom