Simu yangu inapungua charge badala ya kuongezeka

Simu yangu inapungua charge badala ya kuongezeka

Quetzal

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2018
Posts
6,345
Reaction score
10,840
Habari,

Simu yangu usiku kucha imeingia 46% baada ya kuicharge.

Na kila nikicharge inashuka asilimia badala ya kuongezeka.

Je, shida itakuwa nini?

Msaada wenu tafadhali
 
Nshawahi exprience hiyo tatizo fundi akaniambia Ac sijui bla bla ila nenda kwenye official store yao kurekebisha kamauna warranty au hata kwa fundi wa third party
 
Charger imeanza kuchoka badilisha charger
Au kama unatumia charger sio yake badilisha
 
Ingia playstore download app inaitwa Ampere, chomeka charger kisha fungua hio app.

1. Kama ina charge kwa miliampere zaidi ya 600 na charge ina shuka ujue tatizo ni simu

2. Kama ina charge kwa miliampere 200 ama 300 ujue charger ama USB cable kimeo.
 
Habari,
Simu yangu usiku kucha imeingia 46% baada ya kuicharge.

Na kila nikicharge inashuka asilimia badala ya kuongezeka.

Je shida itakuwa nini?

Msaada wenu tafadhali
Njoo nikupatia simu mpya.. kabisa. Ili kuepukuna na hiyo kadhia
 
Back
Top Bottom