Linamo JF-Expert Member Jan 12, 2011 9,976 24,488 Dec 17, 2013 Thread starter #21 hekimatele said: Yawezekana unatumia 3G mda wote? Click to expand... Hapana natuma kwa mda mchache sana...
hekimatele said: Yawezekana unatumia 3G mda wote? Click to expand... Hapana natuma kwa mda mchache sana...
Linamo JF-Expert Member Jan 12, 2011 9,976 24,488 Dec 17, 2013 Thread starter #22 pingu mkoka said: Acheni kuhangaika jibu mmepewa weken kwenye friji. Click to expand... Muda mwingne ni bora ukakaa kimya.
pingu mkoka said: Acheni kuhangaika jibu mmepewa weken kwenye friji. Click to expand... Muda mwingne ni bora ukakaa kimya.
W Walas Ba JF-Expert Member Sep 6, 2012 3,349 1,622 Dec 17, 2013 #23 Dah mbon me iko poa sana hata nikiwa nachji huku natumia
hekimatele JF-Expert Member May 31, 2011 9,884 2,781 Dec 18, 2013 #24 Linamo said: Hapana natuma kwa mda mchache sana... Click to expand... Na je , charger unayotumia ni original ya simu?
Linamo said: Hapana natuma kwa mda mchache sana... Click to expand... Na je , charger unayotumia ni original ya simu?
Linamo JF-Expert Member Jan 12, 2011 9,976 24,488 Dec 18, 2013 Thread starter #25 hekimatele said: Na je , charger unayotumia ni original ya simu? Click to expand... Ndio ni original ndo niliyonunulia simu.
hekimatele said: Na je , charger unayotumia ni original ya simu? Click to expand... Ndio ni original ndo niliyonunulia simu.
hekimatele JF-Expert Member May 31, 2011 9,884 2,781 Dec 18, 2013 #26 sasa nadhani kutakuwa na tatizo na charging system ya hiyo simu. That is a technical fault na si kingine.
sasa nadhani kutakuwa na tatizo na charging system ya hiyo simu. That is a technical fault na si kingine.