Simu yangu inapata moto

Simu huwa inapata joto hasa wakati processor nafanya kazi sana na hii huendeshwa na shughuli ambazo unafanya na simu.
Kuna app ambazo huwa zinatumia sana nguvu ya simu kama GPS, mwanga wa flash ya simu, display ya simu.

1. Ili simu yako ipunguze joto angalia kama GPS iko on. Ama iko on weka off. Natumia tu wakati unatumia map (Google map)
2. Pia punguza mwanga wa simu yako au weka auto.
3. Uwe unamtindo wa kuzima na kuwasha simu angalau kila siku mara moja.
4. Wakati wa kucharge simu, izime kabisa, hii huondoa joto la processor na battery.
5. Tumia charger original ya simu siku zote.

Umejibu kitaalam sana mkuu. Ubarikiwe
 
Habari JF store natumia Huawei y 300 tatizo linakuja inapata sana moto napoiweka kwenye charge au pale napoitumia hasa betri ndo inayopata sana moto..Msaada tafadhali.

vipi lakini umeshaa jaribu kuiweka kwenye frij ikawa bado tatizo linaendelea? mwee.
 
Back
Top Bottom