mbweta
JF-Expert Member
- Dec 10, 2010
- 600
- 81
Naombeni msaada wenu.Ninatumia LG_P970 inatumia android kama OS tatizo langu kubwa simu yangu saiz ipo slow sana hasa kwenye internet connection tofauti na hapo mwanzo ambapo nikitumiwa file kwenye watsapp au sehem nyingine inatumia mda mrefu kudownload tofauti na zamani file la 4mb ni dakika chache lakini saiz mpaka kumi huko, file la 10mb hapo masaa. Nilianza chezea setting za internet gusa hapa badilisha pale lakini wapi lakini wenzangu bado internet ipo fasta.Tatizo nililo liona kwa urahisi nikwamba saiz 3G kwangu haikubali inakubali tu EDGE, pia jumapili niliona sms kutoka tigo kuwa kama inataka kufamya smartphone yako kuwa smarter inabid kunua bundle ya tsh30,000 kwa mwezi.Je tatizo lipo kwangu au ni mabadiliko kwa wote?