Simu yangu Huawei Y300 imejiblock naomba msaada

Simu yangu Huawei Y300 imejiblock naomba msaada

Ludanha

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2014
Posts
552
Reaction score
647
Habari humu ndani.

Nina huawei ascend Y300 nilikuwa natumia laini ya tigo siku zote ila leo nimejaribu kuweka laini ya voda nikaiwasha ila ikaniomba niweke PIN NETWORK UNLOCK CODE sikuwa nazijua sasa nikawa nimejaribu hizi1234 na 0000 ila zote zikakataa na ikanipa ujumbe kuwa SIM UNLOCK BLOCK hata nikiweka laini yoyote ile haifanyi kazi.
Naomba mnisaidie je nifanye nini au nikiflash naweza nikafanikiwa?:confused3:
 
Habari humu ndani.

Nina huawei ascend Y300 nilikuwa natumia laini ya tigo siku zote ila leo nimejaribu kuweka laini ya voda nikaiwasha ila ikaniomba niweke PIN NETWORK UNLOCK CODE sikuwa nazijua sasa nikawa nimejaribu hizi1234 na 0000 ila zote zikakataa na ikanipa ujumbe kuwa SIM UNLOCK BLOCK hata nikiweka laini yoyote ile haifanyi kazi.
Naomba mnisaidie je nifanye nini au nikiflash naweza nikafanikiwa?:confused3:

nani kakwambia kuflash kunatoa lock hyo. .nenda uka unlock
 
nenda Google sachii. ...
password resetting then andika aina ya cm unayo taka master code.
 
Mkiambiwa msinunue simu za wizi hamtaki kusikia matokeo yake umeyaona, kazi kwako.
 
Habari humu ndani.

Nina huawei ascend Y300 nilikuwa natumia laini ya tigo siku zote ila leo nimejaribu kuweka laini ya voda nikaiwasha ila ikaniomba niweke PIN NETWORK UNLOCK CODE sikuwa nazijua sasa nikawa nimejaribu hizi1234 na 0000 ila zote zikakataa na ikanipa ujumbe kuwa SIM UNLOCK BLOCK hata nikiweka laini yoyote ile haifanyi kazi.Naomba mnisaidie je nifanye nini au nikiflash naweza nikafanikiwa?:confused3:
 
Sidhani kama ni rahisi kuunlock hiyo simu bila kuingia mfukoni. Ulichokosea ni kujaribujaribu codes ambazo huna uhakika nazo maana hiyo simu imelokiwa na tigo ili itumie laini ya tigo tu. Kama ulitaka kutumia laini nyingine ulipaswa kuja hapa kutafuta msaada. Unapaswa uwasubiri akina mwl RCT muwasiliane ila utagharamia zaidi.
 
Last edited by a moderator:
Mkiambiwa msinunue simu za wizi hamtaki kusikia matokeo yake umeyaona, kazi kwako.

  • Si kweli kwamba ni simu ya wizi
  • Ni hizi simu zinazouzwa na makampuni ya simu,
  • Ziko locked kwa mtandao mmoja tu , mfano tigo pekeevau vodacom pekee
 
Back
Top Bottom