Simu yangu camon 16s inazima light wakati wa kupiga

Simu yangu camon 16s inazima light wakati wa kupiga

saligongo

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2014
Posts
303
Reaction score
343
Ni wiki la pili sasa simu yangu camon 16s inakua na tabia ya kuzima mwanga nikiwa napiga na cwezi fanya lolote mpaka niombe niliyempia akate yy ndo mwanga unatokea!!
Naombeni msaada kwa hili tatizo
 
Ni wiki la pili sasa simu yangu camon 16s inakua na tabia ya kuzima mwanga nikiwa napiga na cwezi fanya lolote mpaka niombe niliyempia akate yy ndo mwanga unatokea!!
Naombeni msaada kwa hili tatizo
Restart simu... Ikishindikana restore

Au nenda kwenye display settings
 
Mda Mwingine Tatizo Hilo Husababishwa Na Sensor Kuzibwa, Hivyo Kama Simu Yako Ina Screen Protector toa Iyo alafu Angalia Ilo tatizoKama Lipo.
 
Ok poa ngoja niibadili protector then nitaona km shida inaendelea au vp
 
Hapo hakuna namna kaka ndo inaelekea kufa hiyo,tatizo kama hilo lipo ktk infinix smart 5,wengi sana wanalia na hilo janga mfano mke wangu ilimtokea akipiga tu simu mwanga unazima na watu wengi wakawa wamefahamu tatizo hilo kila akimwambia aliyempigia akate wakawa hawakati simu yaani ikawa full utani hadi alipoiuza bei hasara.kwa hiyo mleta mada usitegemee solution ya tatizo lako ni bora ujipange kununua toleo jingine la tecno
 
Hapo hakuna namna kaka ndo inaelekea kufa hiyo,tatizo kama hilo lipo ktk infinix smart 5,wengi sana wanalia na hilo janga mfano mke wangu ilimtokea akipiga tu simu mwanga unazima na watu wengi wakawa wamefahamu tatizo hilo kila akimwambia aliyempigia akate wakawa hawakati simu yaani ikawa full utani hadi alipoiuza bei hasara.kwa hiyo mleta mada usitegemee solution ya tatizo lako ni bora ujipange kununua toleo jingine la tecno
Post namba 7 ndio jibu la ufumbuzi, hiyo sensor ipo juu kwenye kioo cha simu.
 
Screenshot_20230429-170432.png


nilikua na hilo tatizo pia kwa simu yangu.

Shida angalia Protector haijakaza vizuri ama screen touch imebanduka.
 
Ni wiki la pili sasa simu yangu camon 16s inakua na tabia ya kuzima mwanga nikiwa napiga na cwezi fanya lolote mpaka niombe niliyempia akate yy ndo mwanga unatokea!!
Naombeni msaada kwa hili tatizo
Kawaida ya redio zilizochangamka
 
Back
Top Bottom